< 1 Nyakati 24 >
1 Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Vedkommende Arons sønner, så var deres skifter de som nu skal nevnes: Arons sønner var Nadab og Abihu, Eleasar og Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
Men Nadab og Abihu døde før sin far; de hadde ingen sønner, og bare Eleasar og Itamar blev prester.
3 Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
Sammen med Sadok av Eleasars sønner og Akimelek av Itamars sønner inndelte David dem efter deres embede i tjeneste-klasser.
4 Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
Da det viste sig at Eleasars sønner hadde flere overhoder enn Itamars sønner, inndelte de dem således at Eleasars sønner fikk seksten overhoder for sine familier og Itamars sønner åtte for sine familier.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
Og de inndelte dem ved loddkasting, begge ætter; for det fantes fyrster for helligdommen og Guds fyrster både blandt Eleasars sønner og blandt Itamars sønner.
6 Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
Skriveren Semaja, Netanels sønn, av Levi stamme, skrev dem op, mens kongen og høvdingene og presten Sadok og Akimelek, Ebjatars sønn, og familiehodene for prestene og levittene så på det; de tok ut en familie for Eleasar og derefter skiftevis en for Itamar.
7 Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
Det første lodd kom ut for Jojarib, det annet for Jedaja,
8 ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
det tredje for Harim, det fjerde for Seorim,
9 ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
det femte for Malkia, det sjette for Mijamin,
10 ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
det syvende for Hakkos, det åttende for Abia,
11 ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
det niende for Jesua, det tiende for Sekanja,
12 ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
det ellevte for Eljasib, det tolvte for Jakim,
13 ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
det trettende for Huppa, det fjortende for Jesebab,
14 ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
det femtende for Bilga, det sekstende for Immer,
15 ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
det syttende for Hesir, det attende for Happisses,
16 ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
det nittende for Petahja, det tyvende for Esekiel,
17 ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
det en og tyvende for Jakin, det to og tyvende for Gamul,
18 ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
det tre og tyvende for Delaja, det fire og tyvende for Ma'asja.
19 Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
Dette var den orden som de skulde gjøre tjeneste i, når de gikk inn i Herrens hus, således som det var foreskrevet dem av Aron, deres far, efter den befaling Herren, Israels Gud, hadde gitt ham.
20 Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
Vedkommende Levis andre barn, så hørte til Amrams sønner Subael, til Subaels sønner Jehdeja.
21 Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
Av Rehabjas sønner var Jissia overhodet.
22 Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
Til jisharittene hørte Selomot, til Selomots sønner Jahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
Og Hebrons sønner var Jeria, Amarja - hans annen sønn - Jahasiel, den tredje, Jekamam, den fjerde.
24 Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.
Ussiels sønn var Mika; til Mikas sønner hørte Samur.
25 Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.
Jissia var Mikas bror; til Jissias sunner hørte Sakarja.
26 Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
Meraris sønner var Mahli og Musi, sønner av hans sønn Ja'asia.
27 Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
Meraris sønner gjennem hans sønn Ja'asia var også Soham og Sakkur og Ibri.
28 Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.
Mahlis sønn var Eleasar; men han hadde ingen sønner.
29 Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi: alikuwa Yerameeli.
Til Kis, det er Kis' sønner, hørte Jerahme'el.
30 Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.
Musis sønner var Mahli og Eder og Jerimot. Dette var levittenes sønner efter sine familier.
31 Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.
De kastet og lodd likesom deres brødre Arons sønner, mens kong David og Sadok og Akimelek og prestenes og levittenes familiehoder var til stede - overhodene for familiene like så vel som deres yngste brødre.