< 1 Nyakati 24 >

1 Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Or voici quelle fut la classification des fils d’Aaron. Les fils d’Aaron étaient Nadab, Abiu, Eléazar et Ithamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
Mais Nadab et Abiu moururent avant leur père, sans enfants; et Eléazar et Ithamar exercèrent les fonctions du sacerdoce.
3 Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
David les divisa donc, c’est-à-dire Sadoc, d’entre les fils d’Eléazar, et Ahimélech, d’entre les fils d’Ithamar, selon leurs classes et leur ministère.
4 Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
Mais il se trouva beaucoup plus de fils d’Eléazar parmi les princes, que de fils d’Ithamar. Il leur répartit donc, savoir: aux fils d’Eléazar, seize princes, selon leurs familles, et aux fils d’Ithamar, selon leurs familles et leurs maisons, huit.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
Il partagea encore l’une et l’autre famille au sort; car il y avait des princes du sanctuaire, et des princes de Dieu, tant d’entre les fils d’Eléazar, que d’entre les fils d’Ithamar.
6 Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
Séméias, fils de Nathanaël, le scribe de la tribu de Lévi, les enregistra devant le roi, les princes, Sadoc, le prêtre, Ahimélech, fils d’Abiathar, et devant les princes des familles sacerdotales et lévitiques, prenant une maison qui était à la tête des autres, celle d’Eléazar, et une autre maison qui avait sous elle les autres, celle d’Ithamar.
7 Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
Ainsi le premier sort sortit pour Joïarib; le second, pour Jédéi;
8 ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
Le troisième, pour Harim; le quatrième, pour Séorim;
9 ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
Le cinquième, pour Melchia; le sixième, pour Maïman;
10 ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
Le septième, pour Accos; le huitième, pour Abia;
11 ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
Le neuvième, pour Jésua; le dixième, pour Séchénia;
12 ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
Le onzième, pour Eliasib; le douzième, pour Jacim;
13 ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
Le treizième, pour Hoppha; le quatorzième, pour Isbaab;
14 ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
Le quinzième, pour Belga; le seizième, pour Emmer;
15 ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
Le dix-septième, pour Hézir; le dix-huitième, pour Aphsès;
16 ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
Le dix-neuvième, pour Phétéia; le vingtième, pour Hézéchiel;
17 ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
Le vingt-unième, pour Jachin; le vingt-deuxième, pour Gamul;
18 ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
Le vingt-troisième, pour Dalaïau; le vingt-quatrième, pour Maaziaü.
19 Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
Telles sont leurs classes, selon leurs fonctions, afin qu’ils entrent dans la maison du Seigneur suivant le rite qui leur est prescrit, sous la main d’Aaron leur père, comme avait ordonné le Seigneur Dieu d’Israël.
20 Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
Quant aux autres fils de Lévi, d’entre les fils d’Amram, était Subaël, et d’entre les fils de Subaël, Jéhédéia.
21 Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
De plus, d’entre les fils de Rohobia, le prince Jésias.
22 Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
Or le fils d’Isaar était Salémoth, et le fils de Salémoth, Jaath,
23 Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
Dont le fils Jériaü fut le premier; Amarias, le second; Jahaziel, le troisième; Jecmaan, le quatrième.
24 Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.
Le fils d’Oziel, Micha; le fils de Micha, Samir.
25 Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.
Le frère de Micha était Jésia, et le fils de Jésia, Zacharie;
26 Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
Les fils de Mérari, Moholi et Musi; le fils d’Osiaü, Benno.
27 Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
Le fils de Mérari fut encore Oziaü, ainsi que Soam, Zachur et Hébri;
28 Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.
Mais le fils de Moholi fut Eléazar, qui n’eut point d’enfants;
29 Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi: alikuwa Yerameeli.
Et le fils de Cis, Jéraméel.
30 Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.
Les fils de Musi furent Moholi, Eder et Jérimoth. Ce sont là les fils de Lévi, selon les maisons de leurs familles.
31 Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.
Or ceux-ci aussi, tant les grands que les petits, jetèrent les sorts, comme leurs frères, les fils d’Aaron, devant David, le roi, et devant Sadoc, Ahimélech, et les princes des familles sacerdotales et lévitiques: le sort les partagea tous également.

< 1 Nyakati 24 >