< 1 Nyakati 23 >

1 Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli.
Da: ibidi da da: idafa hamonoba, e da egefe Soloumane da Isala: ili fi ilia hina bagade hamoi.
2 Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.
Hina bagade Da: ibidi da Isala: ili fi ouligisu dunu amola gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu huluane gilisi.
3 Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000.
E da Lifai fi dunumusu amo da ode 30 agoane lalelegele esalu, amola ode 30 baligi, amo idimusa: ilia dio dedei. Ili idi da 38,000 agoane ba: i.
4 Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, 24,000 watasimamia kazi ya Hekalu la Bwana na 6,000 watakuwa maafisa na waamuzi,
Da: ibidi da ilima hawa: hamosu agoane ilelegei. Dunu 24,000 agoane da Debolo Diasu ouligima: ne ilelegei. Dunu 6,000 agoane da dawa: musa: dedene legesu ouligima: ne amola sia: ga gegesu fofada: su ouligima: ne ilelegei. Dunu 4,000 agoane da sosodo aligisu ouligima: ne ilelegei. Dunu 4,000 agoane da gesami hea: sa dusu liligi amo Da: ibidi ea i, amoga Hina Godema nodoma: ne ilelegei.
5 na 4,000 watakuwa mabawabu, na wengine 4,000 watamsifu Bwana kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.”
6 Daudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.
Da: ibidi da gilisisu udiana hamoma: ne, Lifai fi dunu momogi. Amo gilisisu udiana da Gesione sosogo, Gouha: de sosogo amola Milalai sosogo.
7 Wana wa Wagershoni walikuwa wawili: Ladani na Shimei.
Gesione ea mano aduna da La: ida: ne amola Simiai.
8 Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
La: ida: ne ea mano udiana da Yihaiele, Sida: me amola Youele.
9 Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomothi, Hazieli na Harani. Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.
Simiai ea mano udiana da Siloumidi, Ha: isiele amola Ha: ila: ne. (Ilia da La: ida: ne egaga fi ilima fada: i dunu esafulu)
10 Nao wana wa Shimei walikuwa wanne: Yahathi, Zina, Yeushi na Beria.
Simiai ea mano biyaduale da Ya: iha: de (magobo mano), Saina, Yeuse amola Bilaia da (ufi mano). Yeuese amola Bilaia elagaga fi da bagahameba: le, ela gilisili sosogo afae fawane idi.
11 Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.
12 Wana wa Kohathi walikuwa wanne: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Gouha: de ea mano biyaduale da A: mala: me, Aisiha, Hibalone amola Asaiele.
13 Wana wa Amramu walikuwa: Aroni na Mose. Aroni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za Bwana, kuhudumu mbele zake na kutamka baraka katika Jina la Bwana milele.
Ea magobo dunu mano da A: mala: me. A: mala: me, egefela da Elane amola Mousese. (Elane amola egaga fi, ilia hawa: hamosu da agoane ilegei. Ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: hadigi liligi amo ouligimu, Godema nodoma: ne gabusiga: manoma gobele salimu, Ea hawa: hamomu, amola Isala: ili dunuma Hina Gode Ea Dioba: le hahawane dogolegele hou imunu, amo huluane hamoma: ne ilegei dagoi.
14 Wana wa Mose mtu wa Mungu walihesabiwa kama sehemu ya kabila la Lawi.
Be Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousesegefela, da Lifai fi amo ganodini idi.)
15 Wana wa Mose walikuwa: Gershomu na Eliezeri.
Mousese egefela da Gesiome amola Elia: isa.
16 Wazao wa Gershomu: Shebueli alikuwa wa kwanza.
Gesiome ea magobo mano da Sibiuele.
17 Wazao wa Eliezeri: Rehabia alikuwa wa kwanza. Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.
Elia: isa da dunu mano afadafa galu. Ea dio da Liha: baia. Be Liha: baia egaga fi dunu da bagohame galu.
18 Wana wa Ishari: Shelomithi alikuwa wa kwanza.
Gouha: de magobo bagia dunu mano da Aisiha. Aisiha egefe da Siloumidi. E da ea sosogo fi ilima fada: i galu.
19 Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.
Gouha: de egefe Aisiha amo bagia da Hibalone. Hibalone egefelali da Yelaia, A:malaia, Yaha: isiele amola Yega: mia: ne.
20 Wana wa Uzieli walikuwa: Mika wa kwanza na Ishia wa pili.
Gouha: de egefe ufi da Asaiele. Asaiele egefela da Maiga amola Yisaia: i.
21 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Wana wa Mahli walikuwa: Eleazari na Kishi.
Milalai egefela da Malai amola Miusiai. Malai egefela da Elia: isa amola Gisia.
22 Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.
Elia: isa da dunu mano hamedene, bogoi. E da uda manomusu galu. Ea uda manoni da ilia elafi (Gisia egefelali) ilima fi.
23 Wana wa Mushi: Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.
Milalai egefe magobo bagia amo Miusiai egefelali da Malai, Ide amola Yelimode.
24 Hawa walikuwa wazao wa Lawi kwa jamaa zao. Wakuu wa jamaa kama walivyoandikwa kwa majina yao na kuhesabiwa kila mmoja, yaani, wenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia miaka ishirini au zaidi, waliohudumu katika Hekalu la Bwana.
Amo dunu huluane da Lifai egaga fifi misi. Ili huluane da ilia dio amola ilia sosogo fi defele, dedene legei ba: i. Lifai egaga fi dunu amo da ode 20 amola baligi, ilia huluane afae afae da Hina Gode Ea Debolo Diasu ganodini hawa: hamonanu.
25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile Bwana, Mungu wa Israeli amewapa watu wake raha na amekuja kuishi Yerusalemu milele,
Da: ibidi da amane sia: i, “Isala: ili fi ilia Hina Gode da Ea fi ilima olofosu i dagoi. Amola Hisu da Yelusaleme ganodini eso huluane esalalalumu.
26 Walawi hawahitaji tena kubeba Maskani wala chombo chochote cha utumishi wake.”
Amaiba: le, Lifai fi dunu ilia da Hina Gode Ea Hadigi Abula Diasu amola liligi Godema nodone sia: ne gadomusa: hamoi, amo gaguli masunu hawa: hamosu da hame gala.”
27 Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi waliohesabiwa ni wale wa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi.
Da: ibidi ea dagomusa: gini hamoma: ne sia: beba: le, Lifai dunu huluane da ilia lalelegei ode 20 amoga doaga: loba, hawa: hamoma: ne dedene legei.
28 Wajibu wa Walawi ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aroni kuhudumu katika Hekalu la Bwana: Kuwa wasimamizi wa nyua, vyumba vya pembeni, kutakasa vyombo vitakatifu na utendaji mwingine wowote katika nyumba ya Mungu.
- Ilia da amo hawa: hamoma: ne ilegei: - (a) Elane egaga fi gobele salasu dunu, ilia Debolo Diasu ganodini Godema nodone sia: ne gadosu, amo fidima: ne ilegei. (b) Debolo gagoi amola sesei huluane, amola hadigi Godema nodone sia: ne gadomusa: liligi huluane amo noga: le ouligima: ne ilegei. (c) Ilia da Godema iasu liligi huluane ouligima: ne ilegei. Amo da agi, falaua, Yisidi hame sali belawagi, amola falaua amola olife susuligi gilisi iasu. (d) Ilia da Debolo gobele salasu liligi huluane dioi defei amola sedade defei, amo ba: ma: ne ilegei. (e) Ilia da hahabe, amola daeya, amola adi esoga Isala: ili dunu da Sa: bade gobele salasu amola Oubi Gaheabologa Lolo Nasu gobele salasu hamoi, Hina Godema nodone sia: ne gadosu hou, mae fisili hamonanoma: ne ilegei dagoi. (f) Ilia da Hina Gode Ea Abula Diasu amola Debolo Diasu noga: le ouligima: ne ilegei. Amola ilia da ilia fi dunu amo Elane egaga fi gobele salasu dunu, amo ilia Debolo ganodini Godema nodone sia: ne gadosu hou fidima: ne, Lifai fi da ilegei dagoi ba: i.
29 Walikuwa wasimamizi wa mikate iliyowekwa mezani, unga kwa ajili ya sadaka za nafaka, mikate isiyotiwa chachu, uokaji na uchanganyaji, pamoja na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.
30 Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu Bwana. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni
31 na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa Bwana siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za Bwana mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.
32 Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la Bwana.

< 1 Nyakati 23 >