< 1 Nyakati 22 >

1 Ndipo Daudi akasema, “Nyumba ya Bwana Mungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”
سپس داوود در کنار مذبحی که ساخته بود، ایستاد و گفت: «این همان جایی است که باید خانهٔ یهوه خدا بنا شود و این مذبح برای قربانیهای قوم اسرائیل خواهد بود.»
2 Kwa hiyo Daudi akatoa amri wakusanyike wageni wote waliokuwa wanaishi Israeli, na kutoka miongoni mwao akaweka waashi ili kuchonga mawe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu.
داوود تمام ساکنان غیریهودی اسرائیل را برای ساختن خانهٔ خدا به کار گرفت. از بین آنها افرادی را برای تراشیدن سنگ تعیین کرد.
3 Daudi akatoa chuma tele ili kutengenezea misumari kwa ajili ya mafungo ya malango ya nyumba na shaba tele isiyopimika.
او مقدار زیادی آهن تهیه کرد تا از آن میخ و گیره برای دروازه‌ها درست کنند. او همچنین به قدری مفرغ تهیه کرد که نمی‌شد آن را وزن نمود!
4 Pia akatoa magogo ya mierezi yasiyohesabika, kwa kuwa Wasidoni na Watiro walikuwa wamemletea Daudi idadi kubwa ya mierezi.
مردان صور و صیدون نیز تعداد بیشماری الوار سرو برای داوود آوردند.
5 Daudi akasema, “Mwanangu Solomoni bado ni mdogo wa umri na hana uzoefu. Nyumba itakayojengwa kwa ajili ya Bwana inatakiwa iwe yenye uzuri mwingi na sifa na fahari mbele ya mataifa yote. Kwa hiyo nitaifanyia matayarisho.” Daudi akafanya matayarisho makubwa kabla ya kifo chake.
داوود گفت: «پسرم سلیمان، جوان و کم‌تجربه است و خانهٔ خداوند باید پرشکوه و در دنیا معروف و بی‌نظیر باشد. بنابراین، من از حالا برای بنای آن تدارک می‌بینم.» پس داوود پیش از وفاتش، مصالح ساختمانی زیادی را فراهم ساخت
6 Kisha akamwita Solomoni mwanawe akamwagiza kujenga nyumba kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli.
و به پسر خود سلیمان سفارش کرد خانه‌ای برای خداوند، خدای اسرائیل بنا کند.
7 Daudi akamwambia Solomoni: “Mwanangu, nilikuwa na jambo hili ndani ya moyo wangu kujenga nyumba kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu.
داوود به سلیمان گفت: «ای پسرم، من خودم می‌خواستم خانه‌ای برای نام یهوه، خدای خود بسازم،
8 Lakini neno hili la Bwana likanijia, kusema: ‘Wewe umemwaga damu nyingi na kupigana vita vingi. Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu umemwaga damu nyingi juu ya nchi machoni pangu.
اما خداوند به من فرمود: تو خونهای بسیار ریخته‌ای و جنگهای بزرگ کرده‌ای، پس نمی‌توانی خانه‌ای برای نام من بسازی، زیرا دستت به خون انسانهای زیادی آلوده شده است.
9 Lakini utakuwa na mwana ambaye atakuwa mtu wa amani na utulivu nami nitampa utulivu mbele ya adui zake wote pande zote. Jina lake ataitwa Solomoni, nami nitawapa Israeli amani na utulivu wakati wa utawala wake.
ولی او به من وعده داده، فرمود: پسری به تو می‌دهم که مردی صلح‌جو خواهد بود و من شر تمام دشمنان را از سر او کم خواهم کرد. نام او سلیمان یعنی”صلح“خواهد بود. در طی سلطنت او به قوم اسرائیل صلح و آرامش خواهم بخشید.
10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu. Yeye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Nami nitakifanya imara kiti chake cha enzi cha utawala wake katika Israeli milele.’
او خانه‌ای برای من بنا خواهد کرد. او پسر من و من پدر او خواهم بود، و پسران و نسل او را تا به ابد بر تخت سلطنت اسرائیل خواهم نشاند.
11 “Sasa, mwanangu, Bwana awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya Bwana Mungu wako, kama alivyosema utafanya.
«پس حال ای پسرم، خداوند همراه تو باشد و تو را کامیاب سازد تا همان‌طور که فرموده است بتوانی خانهٔ خداوند، خدایت را بسازی.
12 Bwana na akupe hekima na ufahamu wakati atakuweka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Bwana Mungu wako.
خداوند به تو بصیرت و حکمت عطا کند تا وقتی پادشاه اسرائیل می‌شوی تمام قوانین و دستورهای او را بجا آوری.
13 Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa utakuwa na bidii kutii amri na sheria Bwana alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe hodari na ushujaa. Usiogope wala usikate tamaa.
چون اگر مطیع دستورها و احکام خداوند که توسط موسی به بنی‌اسرائیل داده است باشی، او تو را موفق می‌گرداند. پس قوی و دلیر باش، و ترس و واهمه را از خود دور کن!
14 “Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa ajili ya Hekalu la Bwana: talanta 100,000 za dhahabu, talanta 1,000,000 za fedha na kiasi kisichopimika cha shaba na chuma, pia mbao na mawe. Nawe waweza kuviongeza.
«من با تلاش زیاد سه هزار و چهارصد تن طلا و سی و چهار هزار تن نقره جمع‌آوری کرده‌ام، و این علاوه بر آهن و مفرغ بی‌حساب، الوار و سنگی است که برای خانهٔ خداوند آماده ساخته‌ام. تو نیز باید به این مقدار اضافه کنی.
15 Unao wafanyakazi wengi: Wachonga mawe, waashi na maseremala, pamoja na watu walio na ustadi katika kila kazi
تو سنگتراشها و بنّاها و نجّارها و صنعتگران ماهر بسیار برای انجام هر نوع کاری در خدمت خود داری.
16 wa kufua dhahabu, fedha, shaba na chuma, mafundi wasiohesabika. Sasa basi anza kazi hii, naye Bwana awe pamoja nawe.”
ایشان در زرگری و نقره‌سازی و فلزکاری مهارت بسیار دارند. پس کار را شروع کن. خداوند با تو باشد!»
17 Kisha Daudi akawaamuru viongozi wote wa Israeli wamsaidie Solomoni mwanawe.
سپس داوود به تمام بزرگان اسرائیل دستور داد که پسرش را در انجام این کار کمک کنند.
18 Akawaambia, “Je, Bwana Mungu wenu si yuko pamoja na ninyi? Pia si amewapa raha pande zote? Kwa maana amewatia wenyeji wa nchi mkononi mwangu, nayo nchi iko chini ya Bwana na watu wake.
داوود به آنان گفت: «خداوند، خدای شما با شماست. او از هر طرف به شما صلح و آرامش بخشیده، زیرا من به یاری خداوند دشمنان این سرزمین را شکست دادم و آنها الان مطیع شما و خداوند هستند.
19 Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta Bwana Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya Bwana Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la Bwana na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la Bwana.”
پس با تمام نیروی خود خداوند، خدای خویش را اطاعت کنید. دست به کار شوید و خانهٔ خداوند را بسازید تا بتوانید صندوق عهد و سایر اشیاء مقدّس را به خانهٔ خداوند بیاورید!»

< 1 Nyakati 22 >