< 1 Nyakati 22 >

1 Ndipo Daudi akasema, “Nyumba ya Bwana Mungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”
Amaiba: le, Da: ibidi da amane sia: i, “Ninia da goeguda: Hina Gode Ea Debolo Diasu gagumu. Oloda amo da: iya Isala: ili dunu ilia gobele salimu, da goeguda: dialebe ba: mu.
2 Kwa hiyo Daudi akatoa amri wakusanyike wageni wote waliokuwa wanaishi Israeli, na kutoka miongoni mwao akaweka waashi ili kuchonga mawe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu.
Hina bagade Da: ibidi da sia: beba: le, ga fi dunu huluane Isala: ili soge ganodini esalu, da gilisi. Da: ibidi da ilima hawa: hamosu olelei. Ilia mogili da Debolo Diasu gaguma: ne, igi fofaga: ne fasilalu.
3 Daudi akatoa chuma tele ili kutengenezea misumari kwa ajili ya mafungo ya malango ya nyumba na shaba tele isiyopimika.
Da: ibidi da igogo amola logo ga: su madelagisu liligi hahamoma: ne, ouli bagade gilisi. Amola e da balase dioi defei idimu hamedei, Debolo Diasu gagumusa: i dagoi.
4 Pia akatoa magogo ya mierezi yasiyohesabika, kwa kuwa Wasidoni na Watiro walikuwa wamemletea Daudi idadi kubwa ya mierezi.
Ea sia: beba: le, Daia amola Saidone fi dunu, ilia da dolo ifa bagohame ema gaguli misi.
5 Daudi akasema, “Mwanangu Solomoni bado ni mdogo wa umri na hana uzoefu. Nyumba itakayojengwa kwa ajili ya Bwana inatakiwa iwe yenye uzuri mwingi na sifa na fahari mbele ya mataifa yote. Kwa hiyo nitaifanyia matayarisho.” Daudi akafanya matayarisho makubwa kabla ya kifo chake.
Da: ibidi da amane dawa: i, “Na mano Soloumane da Debolo noga: idafa gagumu da defea. Amola osobo bagade fifi asi gala, ilia amo Debolo da mimogodafa dawa: mu da defea. Be Soloumane da goi ayeligi agoane amola buludui galu. Amaiba: le, e da fa: no gaguma: ne, na da hidadea liligi momagemu da defea.” Amaiba: le, Da: ibidi da mae bogole, Debolo guguma: ne liligi bagohame momagei.
6 Kisha akamwita Solomoni mwanawe akamwagiza kujenga nyumba kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli.
E da egefe Soloumane ema misa: ne sia: ne, e da Isala: ili fi ilia Hina Godema Debolo Diasu gaguma: ne sia: i.
7 Daudi akamwambia Solomoni: “Mwanangu, nilikuwa na jambo hili ndani ya moyo wangu kujenga nyumba kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu.
Da: ibidi da ema amane sia: i, “Nagofe! Na da Hina Godema nodoma: ne, Ema Debolo Diasu gaguma: ne dawa: i galu.
8 Lakini neno hili la Bwana likanijia, kusema: ‘Wewe umemwaga damu nyingi na kupigana vita vingi. Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu umemwaga damu nyingi juu ya nchi machoni pangu.
Be Hina Gode da na dunu bagohame medole legeiba: le, amola gegesu bagohame hamoiba: le, na da Ema Debolo Diasu gagumu da hamedei sia: i.
9 Lakini utakuwa na mwana ambaye atakuwa mtu wa amani na utulivu nami nitampa utulivu mbele ya adui zake wote pande zote. Jina lake ataitwa Solomoni, nami nitawapa Israeli amani na utulivu wakati wa utawala wake.
Be E da nama amane ilegele sia: i, ‘Dia mano da olofoiwane, Isala: ili fi ouligimu. Bai Na hamobeba: le, ea ha lai dunu da ema hame gegemu. Ema Soloumane dio asulima. Bai e Isala: ili fi ouligisia, Na da Isala: ili fi ilima olofosu hou amola gaga: su imunu.
10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu. Yeye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Nami nitakifanya imara kiti chake cha enzi cha utawala wake katika Israeli milele.’
E da Na Debolo Diasu gagumu. E da Nagofe esalumu amola Na da ea Eda esalumu. Egaga fi da mae fisili, Isala: ili fi ouligilalumu.’”
11 “Sasa, mwanangu, Bwana awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya Bwana Mungu wako, kama alivyosema utafanya.
Da: ibidi da eno amane sia: i, “Nagofe! Dia Hina Gode da ali esalumu da defea. E da Ea ilegele sia: i defele, di Debolo Diasu didili gaguma: ne, E noga: le fidimu da defea.
12 Bwana na akupe hekima na ufahamu wakati atakuweka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Bwana Mungu wako.
Amola di da Hina Gode Ea Sema amola hamoma: ne sia: i dedei defele, Isala: ili fi noga: le ouligima: ne, Hina Gode da dima bagade dawa: su imunu da defea.
13 Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa utakuwa na bidii kutii amri na sheria Bwana alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe hodari na ushujaa. Usiogope wala usikate tamaa.
Di da Isala: ili fi ilia Sema amo Hina Gode da Mousesema i, amo huluane nabawane hamosea, di da didili hamomu. Di gasa fili, noga: le hamoma. Amola liligi huluane amoma mae beda: ma.
14 “Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa ajili ya Hekalu la Bwana: talanta 100,000 za dhahabu, talanta 1,000,000 za fedha na kiasi kisichopimika cha shaba na chuma, pia mbao na mawe. Nawe waweza kuviongeza.
Be Debolo Diasu gaguma: ne, na liligi gilisi da gadenene gouli 3,000 danese agoane amola silifa 30,000 danese agoane. Amola balase amola gula dioi defei idimu hame gala. Na da igi bagohame amola ifa bagohame momagei dagoi. Be di da eno lamu gala.
15 Unao wafanyakazi wengi: Wachonga mawe, waashi na maseremala, pamoja na watu walio na ustadi katika kila kazi
Dia hawa: hamosu dunu da bagohame gala. Amo da igi fofaga: ne fasisu dunu, igiga diasu gagusu dunu, ifaga diasu gagusu dunu amola medenegini hawa: hamosu dunu bagohame amo da gouli, silifa balase amola gula amoga hawa: hamosu dawa: Defea! Hawa: muni hamoma! Amola Hina Gode ali esaloma!”
16 wa kufua dhahabu, fedha, shaba na chuma, mafundi wasiohesabika. Sasa basi anza kazi hii, naye Bwana awe pamoja nawe.”
17 Kisha Daudi akawaamuru viongozi wote wa Israeli wamsaidie Solomoni mwanawe.
Da: ibidi da Isala: ili fi ouligisu dunu huluane, ili Soloumane fidima: ne sia: i.
18 Akawaambia, “Je, Bwana Mungu wenu si yuko pamoja na ninyi? Pia si amewapa raha pande zote? Kwa maana amewatia wenyeji wa nchi mkononi mwangu, nayo nchi iko chini ya Bwana na watu wake.
E amane sia: i, “Hina Gode da olofosudafa dilima i dagoi. E da na fidibiba: le, na da dunu fi amo da musa: ninia soge ganodini esalu, amo huluane hasalasi dagoi. Amola wali dilia amola Hina Gode da amo fi dunu huluane ouligisa.
19 Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta Bwana Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya Bwana Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la Bwana na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la Bwana.”
Wali dilia gasaga amola asigi dawa: suga, dilia Hina Gode Ea hawa: fawane hamoma. Dilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amola eno liligi amoga dilia Ema nodone sia: ne gadosa, amo Ea diasudafa ganodini ligisima: ne, Debolo Diasu muni gaguma.”

< 1 Nyakati 22 >