< 1 Nyakati 21 >

1 Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli.
Satanás se levantou contra Israel, e levou David a fazer um censo de Israel.
2 Kwa hiyo Daudi akamwambia Yoabu na majemadari wa jeshi, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli kuanzia Beer-Sheba mpaka Dani. Kisha nileteeni taarifa ili kwamba niweze kufahamu wako wangapi.”
David disse a Joab e aos príncipes do povo: “Vai, conta Israel de Beersheba até Dan; e traz-me notícias, para que eu possa saber quantos são”.
3 Yoabu akajibu, “Bwana na aongeze jeshi lake mara mia na zaidi. Mfalme bwana wangu, kwani hawa wote si raiya wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu unataka kufanya hivi? Kwa nini kuleta hatia juu ya Israeli?”
Joab disse: “Que Yahweh faça de seu povo cem vezes mais pessoas do que elas são. Mas, meu senhor, o rei, não são todos eles servos de meu senhor? Por que meu senhor exige isto? Por que ele será uma causa de culpa para Israel”?
4 Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu; kwa hiyo Yoabu akaondoka na kuzunguka Israeli yote kisha akarudi Yerusalemu.
Nevertheless a palavra do rei prevaleceu contra Joab. Portanto, Joabe partiu e foi por todo Israel, depois veio a Jerusalém.
5 Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000.
Joabe deu a David a soma do censo do povo. Todos aqueles de Israel eram um milhão e cem mil homens que desembainharam uma espada; e em Judá eram quatrocentos e setenta mil homens que desembainharam uma espada.
6 Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.
Mas ele não contou Levi e Benjamim entre eles, pois a palavra do rei era abominável a Joabe.
7 Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli.
Deus estava descontente com esta coisa; por isso, ele atingiu Israel.
8 Kisha Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Sasa, ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”
David disse a Deus: “Eu pequei muito, porque fiz esta coisa. Mas agora ponha de lado, peço-lhe, a iniqüidade de seu servo, pois fiz muito loucamente”.
9 Bwana akamwambia Gadi, mwonaji wa Daudi,
Yahweh falou com Gad, o vidente de David, dizendo:
10 “Nenda ukamwambie Daudi, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’”
“Vá e fale com David, dizendo: 'Yahweh diz: “Eu lhe ofereço três coisas. Escolha uma delas, para que eu possa fazer isso com você”””.
11 Kwa hiyo Gadi akamwendea Daudi akamwambia, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Chagua:
Então Gad veio a David e lhe disse: “Javé diz: 'Faça sua escolha:
12 miaka mitatu ya njaa, au miezi mitatu ya kushindwa na adui zako, ukipatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Bwana, yaani, siku tatu za tauni katika nchi na malaika wa Bwana akiangamiza kila mahali katika Israeli.’ Sasa basi, amua jinsi nitakavyomjibu yeye aliyenituma.”
ou três anos de fome; ou três meses para ser consumido antes de seus inimigos, enquanto a espada de seus inimigos o domina; ou então três dias da espada de Javé, mesmo a pestilência na terra, e o anjo de Javé destruindo por todas as fronteiras de Israel. Agora, portanto, considere que resposta devo dar àquele que me enviou”.
13 Daudi akamwambia Gadi, “Ninayo mahangaiko makubwa. Mimi na nianguke mikononi mwa Bwana kwa maana rehema zake ni kuu mno, lakini usiniache niangukie mikononi mwa wanadamu.”
David disse a Gad: “Estou em apuros. Deixe-me cair, eu rezo, nas mãos de Yahweh, pois suas misericórdias são muito grandes. Não me deixem cair nas mãos do homem”.
14 Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa.
Então Javé enviou uma pestilência sobre Israel, e setenta mil homens de Israel caíram.
15 Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, Bwana akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Bwana alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
Deus enviou um anjo a Jerusalém para destruí-lo. Quando ele estava prestes a destruir, Javé viu, e se arrependeu do desastre, e disse ao anjo destruidor: “Basta”. Agora retire sua mão”. O anjo de Javé estava parado junto à eira de Ornan, o jebuseu.
16 Daudi akayainua macho yake akamwona huyo malaika wa Bwana akiwa amesimama katikati ya mbingu na dunia, naye ameunyoosha upanga wake juu ya Yerusalemu tayari kuangamiza. Kisha Daudi na wazee, waliokuwa wamevaa nguo za gunia, wakaanguka kifudifudi.
David levantou os olhos e viu o anjo de Javé de pé entre a terra e o céu, com uma espada desembainhada na mão estendida sobre Jerusalém. Então David e os anciãos, vestidos de pano de saco, caíram de cara.
17 Daudi akamwambia Mungu, “Je, si mimi ndiye niliyeamuru watu wahesabiwe? Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Ee Bwana, Mungu wangu, mkono wako na uwe juu yangu mimi na jamaa yangu, lakini usiache tauni hii iendelee juu ya watu wako.”
David disse a Deus: “Não fui eu quem ordenou que o povo fosse contado? Fui eu mesmo que pequei e fiz muito mal; mas essas ovelhas, o que elas fizeram? Por favor, deixe sua mão, ó Yahweh meu Deus, estar contra mim e contra a casa de meu pai; mas não contra seu povo, que eles devem ser atormentados”.
18 Kisha malaika wa Bwana akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea Bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
Então o anjo de Yahweh ordenou a Gad que dissesse a David que David deveria subir e levantar um altar para Yahweh na eira de Ornan, o jebusita.
19 Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la Bwana.
David subiu ao dizer de Gad, que ele falou em nome de Yahweh.
20 Arauna alipokuwa akipura ngano, akageuka akamwona yule malaika. Wanawe wanne waliokuwa pamoja naye wakajificha, yeye akaendelea kupura ngano.
Ornan voltou atrás e viu o anjo; e seus quatro filhos que estavam com ele se esconderam. Agora Ornan estava debulhando o trigo.
21 Kisha Daudi akakaribia, Arauna alipotazama na kumwona, akaondoka kwenye uwanja wa kupuria nafaka akamsujudia Daudi akiuinamisha uso wake ardhini.
Quando David chegou a Ornan, Ornan olhou e viu David, e saiu da eira, e se curvou diante de David com seu rosto no chão.
22 Daudi akamwambia, “Nipatie huu uwanja wako wa kupuria nafaka ili niweze kujenga madhabahu ya Bwana tauni ipate kukomeshwa katika watu. Niuzie kwa bei yake kamili.”
Então David disse a Ornan: “Venda-me o lugar desta eira, para que eu possa construir um altar para Yahweh sobre ela”. Vendê-lo-eis a mim pelo preço total, para que a praga possa ser impedida de afligir o povo”.
23 Arauna akamwambia Daudi, “Uchukue huo uwanja. Mfalme bwana wangu na afanye lolote analopenda. Tazama, nitatoa maksai kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, vifaa vya kupuria kuwa kuni, pamoja na ngano kwa ajili ya dhabihu ya nafaka. Natoa hivi vyote.”
Ornan disse a David: “Tome para si e deixe meu senhor, o rei, fazer o que é bom aos seus olhos”. Eis que eu dou os bois para as ofertas queimadas, e os instrumentos de debulha para a madeira, e o trigo para a oferta de farinha”. Eu dou tudo”.
24 Lakini Mfalme Daudi akamjibu Arauna, “La hasha! Lakini ninasisitiza kwamba nitalipa bei yake kamili. Sitachukua kilicho chako kwa ajili ya Bwana au kutoa sadaka ya kuteketezwa ambayo hainigharimu chochote.”
O rei David disse a Ornan: “Não, mas certamente vou comprá-lo pelo preço total. Pois não aceitarei o que é seu por Yahweh, nem oferecerei uma oferta queimada que não me custa nada”.
25 Basi Daudi akamlipa Arauna shekeli za dhahabu 600 kwa ajili ya ule uwanja.
Então David deu a Ornan seiscentos shekels de ouro em peso para o local.
26 Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Akamwita Bwana naye Bwana akajibu maombi yake kwa moto toka mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
David construiu ali um altar para Yahweh, e ofereceu holocaustos e ofertas de paz, e chamou Yahweh; e respondeu-lhe do céu pelo fogo sobre o altar de holocaustos.
27 Kisha Bwana akanena na yule malaika, naye akarudisha upanga wake katika ala yake.
Então Yahweh comandou o anjo, e ele colocou sua espada de volta em sua bainha.
28 Wakati huo, Daudi alipoona kwamba Bwana amemjibu kule kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi, akatoa dhabihu huko.
Naquele tempo, quando David viu que Yahweh tinha respondido a ele na eira de Ornan, o jebusita, então ele se sacrificou lá.
29 Maskani ya Bwana ambayo Mose aliitengeneza kule jangwani, pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni.
Pois o tabernáculo de Iavé, que Moisés fez no deserto, e o altar de holocausto, estavam naquela época no alto de Gibeon.
30 Lakini Daudi hakuthubutu kuisogelea ili kumuuliza Mungu, kwa sababu aliuogopa upanga wa yule malaika wa Bwana.
Mas Davi não podia ir diante dele para perguntar a Deus, pois tinha medo por causa da espada do anjo de Iavé.

< 1 Nyakati 21 >