< 1 Nyakati 21 >

1 Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli.
Israel douna din, Satan’in Israel chate mijat simdin David lengpa atildoh tai.
2 Kwa hiyo Daudi akamwambia Yoabu na majemadari wa jeshi, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli kuanzia Beer-Sheba mpaka Dani. Kisha nileteeni taarifa ili kwamba niweze kufahamu wako wangapi.”
Hijeh hin David nin Joab le a sepai lamkai ho jah ah, “Sahlam gamkai Bersheba apat lhumlam gamkai Dan chan gei Israel mijat gasim uvin lang, nasimdoh jat u chu kaheng’a hinchoi’un, keiman kahet nom’e.
3 Yoabu akajibu, “Bwana na aongeze jeshi lake mara mia na zaidi. Mfalme bwana wangu, kwani hawa wote si raiya wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu unataka kufanya hivi? Kwa nini kuleta hatia juu ya Israeli?”
Ahin Joab’in adonbut’in, “Pakaiyin Israel chate ajat ja’n hin punsah hen. Ahin ka Pakai le ka Lengpa, amaho khu namite hilou ham? Iding’a ka Pakaipa’n hiche nabol nom ham? Iding’a Israelte chung’a themmona lhunsah ding nagot ham?” ati.
4 Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu; kwa hiyo Yoabu akaondoka na kuzunguka Israeli yote kisha akarudi Yerusalemu.
Ahivang’in, lengpan athusei chu apetchah in, hijehchun Joab jong lengpa thupeh nit’in Israel chate chenna gam jousea mijat agasim in Jerusalem ahung kile tai.
5 Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000.
Hichun ajatsimdoh jat chu David heng’a ahetsah tai. Gaalhang chemjam lamthei cheh chu mi nel khat le sang jakhat alhingin, Judah mite jong Sang jali le sang somsagi alhing uve.
6 Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.
Hiche jatsim ahin Joab in Levi mite le Benjamin mite vang asimtha pon ahi ajehchu, lengpa thupeh chu Joab in ama boldia adeimo behseh jeng ahi.
7 Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli.
Hichun, Pathen in mijatsim kibolchu alunghanpi jeh in ami Israelte chu gotna achantan ahi.
8 Kisha Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Sasa, ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”
Chuphat’in David in Pathen jah a hitin aseitai, “Vo Kapathen, keiman nangma doumahtah kaboldoh tai, ngolhoitah hijongle neingaidam kit in,” ati.
9 Bwana akamwambia Gadi, mwonaji wa Daudi,
Chuphatchun, Pathenin David ding’a mitva neiya pangpa Gad heng’a hitin aseitai,
10 “Nenda ukamwambie Daudi, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’”
“David heng’a gache’n lang Pathen in hitin aseiye tin gaseipeh tan”, gimbolna thum lah a hin khat kilhen inlang, hichu keiman ka guilhun sah teiding ahi”, ati.
11 Kwa hiyo Gadi akamwendea Daudi akamwambia, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Chagua:
Hijeh chun David heng’a Gad ahung’in hitin aseitai, “Pathenin hicheng thum hi nagon pehtai,”
12 miaka mitatu ya njaa, au miezi mitatu ya kushindwa na adui zako, ukipatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Bwana, yaani, siku tatu za tauni katika nchi na malaika wa Bwana akiangamiza kila mahali katika Israeli.’ Sasa basi, amua jinsi nitakavyomjibu yeye aliyenituma.”
“Kum thum sung’a kel lhah ding nadei’am, na galmiten chemjam a lhathum sungsea nasuhgam ding nalhen ding ham ahiloule, ni thum sung a gamna hise nasatah a lhung’a nalenggam sung pumpia pakai vantil in namite asuhgam ding hoichi nalhen joh ding ham?” “Eihin solpa Pathen heng’a iti kalhut ding nalhen joh hitam?” ati.
13 Daudi akamwambia Gadi, “Ninayo mahangaiko makubwa. Mimi na nianguke mikononi mwa Bwana kwa maana rehema zake ni kuu mno, lakini usiniache niangukie mikononi mwa wanadamu.”
“Kadinmun ahahsa valtai” tin David in Gad jah a aseitai. “iti nama jongle mihem khut a kipeh sang’in Ka Pakai, Ka Pathen khut joh’in kipelut tang’e. Ajehchu, amihepina kidangtahchu kakinem nalaiye” ati.
14 Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa.
Hichun, Pathenin Israelte lah a gamna hise alan sah tan, mi sangsom sagi jen in thina atoh tai.
15 Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, Bwana akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Bwana alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
Chuban’a jong, Pathenin Jerusalem sugamhel din mithat vantil ahinsoltan ahileh, akigotjinglai un, Pathenin alung ahin heiyin, vantil jah’a, “Aphaset tai, ngatan” tin aseitai. Chupettah chun, mithat vantil chu Jerusalem chungvum’a ana pansa tan ahi. Hichu Jebus mipa Araunah changphol ahitai.
16 Daudi akayainua macho yake akamwona huyo malaika wa Bwana akiwa amesimama katikati ya mbingu na dunia, naye ameunyoosha upanga wake juu ya Yerusalemu tayari kuangamiza. Kisha Daudi na wazee, waliokuwa wamevaa nguo za gunia, wakaanguka kifudifudi.
David in vanlang a Pakai vantil ten chemjam pum a Jerusalem suhgam ding agot u amu phat’in. Israel lamkai pipuho toh kisih pumin tol lang ngan, khaodip ponsil pum’in.
17 Daudi akamwambia Mungu, “Je, si mimi ndiye niliyeamuru watu wahesabiwe? Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Ee Bwana, Mungu wangu, mkono wako na uwe juu yangu mimi na jamaa yangu, lakini usiache tauni hii iendelee juu ya watu wako.”
Chuin, David in Pathen jah’a aseitai, “Israelte mijatsim ding’a thupeh nei chu keima kahi, abolkhel le achonse chu keima kahi, kamite vang kelngoi bang’a themmona ipi aboldoh u hitam? O ka Pakai le ka Pathen’u, nalunghanna kei le ka insung mite chung’a chuhsah tan, namite vang sugam hih hel in.
18 Kisha malaika wa Bwana akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea Bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
Hichun, Pakai vantil’in Gad jah a David achetou a Jebus mipa Araunah changphol a maichamphung asah din thupeh aneitai.
19 Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la Bwana.
Hijeh chun David in Gad thulhut bangin Pathen thupeh chu boldin achetou tai.
20 Arauna alipokuwa akipura ngano, akageuka akamwona yule malaika. Wanawe wanne waliokuwa pamoja naye wakajificha, yeye akaendelea kupura ngano.
Araunah le achapate mi li chun suhlou chang ana den pettah in Vantil chu amu uvin ahileh, achapate chu akichat jeh un ajam uvin akisel gam taove.
21 Kisha Daudi akakaribia, Arauna alipotazama na kumwona, akaondoka kwenye uwanja wa kupuria nafaka akamsujudia Daudi akiuinamisha uso wake ardhini.
Araunah in David chu changphol ahinphah amu phat’in, a bolban dalhan Lengpa chu ana bohkhup tai.
22 Daudi akamwambia, “Nipatie huu uwanja wako wa kupuria nafaka ili niweze kujenga madhabahu ya Bwana tauni ipate kukomeshwa katika watu. Niuzie kwa bei yake kamili.”
David in Araunah jah a hitin aseitai, “Na Changphol mun hi aman lhingsel keiman nape’ng ting, Pakai maicham phungkhat satang’e, chuteng Pakai lunghan na hiche gimna hise jong thip tante”.
23 Arauna akamwambia Daudi, “Uchukue huo uwanja. Mfalme bwana wangu na afanye lolote analopenda. Tazama, nitatoa maksai kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, vifaa vya kupuria kuwa kuni, pamoja na ngano kwa ajili ya dhabihu ya nafaka. Natoa hivi vyote.”
“Kilah inlang nadei bangtah in mangcha tan Kapu, chujongleh keiman Pumgo thilto a manchah din Bongchalte, maicham mei ti nadin changsuh thing chule, thilto din suhlou chang jong pehtha nge” tin Araunah in David jah a aseitai.
24 Lakini Mfalme Daudi akamjibu Arauna, “La hasha! Lakini ninasisitiza kwamba nitalipa bei yake kamili. Sitachukua kilicho chako kwa ajili ya Bwana au kutoa sadaka ya kuteketezwa ambayo hainigharimu chochote.”
Ahivangin Leng David in Araunah adonbut in, “keiman aman lhingset napeng ting, nangma thil vang maicham thilto din kilah tha pong’e”.
25 Basi Daudi akamlipa Arauna shekeli za dhahabu 600 kwa ajili ya ule uwanja.
Chuin, David in Araunah chu sana pheng jagup chu changphol man dingin apetai.
26 Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Akamwita Bwana naye Bwana akajibu maombi yake kwa moto toka mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
Hilaimun hin David in maicham phungkhat asan, pumgo thilto le kichamna maicham asemin, taona amang tan ahile, Pathenin asanpeh hetna din van'a kon meikou ahin sol lhan pumgo thilto jouse akavam hel tai.
27 Kisha Bwana akanena na yule malaika, naye akarudisha upanga wake katika ala yake.
Hijeh chun Pathenin Chemjam ana lam’a kigo vantil chu a chempai a anungkoi din thu ape tai.
28 Wakati huo, Daudi alipoona kwamba Bwana amemjibu kule kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi, akatoa dhabihu huko.
Pathen in amaicham sem asanpeh ahet phat’in David in jong Araunah changphol mun chun kilhaina maicham asemtai.
29 Maskani ya Bwana ambayo Mose aliitengeneza kule jangwani, pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni.
Hiche phat laiya hi, Pakai houbuh maicham le pumgo thilto maicham phung, Mose in gammang laiya anasem chu Gibeon mun a aumpet ahi.
30 Lakini Daudi hakuthubutu kuisogelea ili kumuuliza Mungu, kwa sababu aliuogopa upanga wa yule malaika wa Bwana.
Ahivangin David chun hiche laimun a chu Pathen lung gahol a gache ding chu agel le mithat vantil chemjam toh gotsa dem a anaum jeh chun angapcha pon ahi.

< 1 Nyakati 21 >