< 1 Nyakati 20 >
1 Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu.
Pripetilo se je, potem ko je minilo leto, ob času, ko gredo kralji na bitko, da je Joáb vodil moč vojske in opustošil deželo Amónovih otrok in prišel ter oblegal Rabo. Toda David je ostal v Jeruzalemu. In Joáb je udaril Rabo ter jo uničil.
2 Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.
David je snel krono njihovega kralja iz njegove glave in spoznal, da tehta talent zlata in v njej so bili dragoceni kamni, in ta je bila postavljena na Davidovo glavo. In iz mesta je prinesel tudi silno mnogo plena.
3 Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.
Ljudstvo, ki je bilo v njem, je privedel ven in jih razsekal z žagami, branami iz železa in sekirami. Celo tako je David postopal z vsemi mesti Amónovih otrok. In David in vse ljudstvo se je vrnilo v Jeruzalem.
4 Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai, nao Wafilisti wakashindwa.
Pripetilo se je za tem, da se je vzdignila vojna s Filistejci pri Gezerju. Takrat je Hušán Sibeháj usmrtil Sipája, ki je bil izmed otrok velikana; in bili so podjarmljeni.
5 Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
Ponovno je bila vojna s Filistejci. Jaírov sin Elhanán je usmrtil Lahmíja, brata Gitéjca Goljata, katerega kopjišče je bilo podobno tkalčevemu brunu.
6 Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
Ponovno je bila vojna pri Gatu, kjer je bil mož visoke postave, katerega prstov in palcev je bilo štiriindvajset, šest na vsaki roki in šest na vsakem stopalu in tudi ta je bil sin velikana.
7 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
Toda ko je izzival Izraela, ga je Jonatan, Šimájajev sin, Davidov brat, usmrtil.
8 Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.
Ti so bili rojeni velikanu v Gatu in padli so po Davidovi roki in po roki njegovih služabnikov.