< 1 Nyakati 20 >

1 Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu.
И бысть в находящее лето во время исхождения царей (ко брани), и собра Иоав всю силу воинства, и опустоши землю сынов Аммоних: приидоша же и обседоша Равваф. Давид же пребываше во Иерусалиме: Иоав же порази Равваф и разори его.
2 Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.
Взя же Давид венец Молхома царя их от главы его, и обретеся вес в нем талант злата, и в нем камень драгий, и бе на главе Давидове: плены же градски взя многи зело,
3 Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.
и людий сущих в нем изведе и претре пилами и орудии железными и разсецающими: тако сотвори Давид всем градом сынов Аммоних, и возвратися Давид и вси людие его во Иерусалим.
4 Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai, nao Wafilisti wakashindwa.
И бысть по сем, и начася еще брань в Газере со иноплеменники: тогда порази Совохай Усафитянин Сафута от сынов Исполиновых и смири его.
5 Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
И бысть еще брань противу иноплеменник, и порази Елеанан сын Иаиров Лаомиа, брата Голиафа Гефейскаго, емуже древо копия его яко навой ткущих.
6 Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
И бысть еще брань в Гефе, и бе муж зело велик, по шести имеющь перстов, всех двадесять четыре, и сей бе от колена Исполинов,
7 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
и поноси Израиля: и порази его Ионафан сын Саммаа брата Давидова.
8 Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.
Сии родишася Рафаю в Гефе, всех их бе четыри исполины, и падоша рукою Давидовою и рукою рабов его.

< 1 Nyakati 20 >