< 1 Nyakati 20 >

1 Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu.
A kad proðe godina, u vrijeme kad carevi idu na vojsku, Joav izvede vojsku, te potiraše zemlju sinova Amonovijeh, i došavši opkoli Ravu; a David bješe ostao u Jerusalimu. I Joav osvoji Ravu i raskopa je.
2 Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.
I David uze caru njihovu s glave krunu, i naðe da poteže talanat zlata, i drago kamenje bješe u njoj; i metnuše je na glavu Davidu, i odnese iz grada plijen vrlo velik.
3 Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.
A narod što bijaše u njemu izvede i isijeèe ih pilama i gvozdenijem branama i sjekirama. I tako uèini David svijem gradovima sinova Amonovijeh. Potom se vrati David sa svijem narodom u Jerusalim.
4 Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai, nao Wafilisti wakashindwa.
A poslije toga nasta rat u Gezeru s Filistejima; tada Sivehaj Husaæanin ubi Sifaja koji bijaše roda divovskoga, i biše pokoreni.
5 Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
Nasta opet rat s Filistejima, u kom Elhanan sin Jairov ubi Lamiju brata Golijata Getejina, kojemu kopljaèa bijaše kao vratilo.
6 Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
I opet nasta rat u Gatu, gdje bijaše jedan èovjek vrlo visok, koji imaše po šest prsta, skupa dvadeset i èetiri; i on bijaše roda divovskoga.
7 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
I ružaše Izrailja, te ga ubi Jonatan sin Samaje brata Davidova.
8 Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.
Ti bijahu sinovi istoga diva iz Gata, i pogiboše od ruke Davidove i od ruke sluga njegovijeh.

< 1 Nyakati 20 >