< 1 Nyakati 20 >

1 Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu.
سال بعد در فصل بهار، فصلی که پادشاهان معمولاً درگیر جنگ هستند یوآب سپاه اسرائیل را بسیج کرد و به شهرهای عمونی‌ها حمله برد، اما داوود پادشاه در اورشلیم ماند. یوآب شهر ربه را محاصره نموده، آن را گرفت و ویران کرد.
2 Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.
وقتی داوود به میدان جنگ آمد، تاج گرانبهای پادشاه عمونی را از سر او برداشت و بر سر خود گذاشت. این تاج حدود سی و پنج کیلو وزن داشت و از طلا و جواهرات قیمتی ساخته شده بود. داوود غنیمت زیادی از شهر ربه گرفت و با خود برد.
3 Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.
داوود، مردم آن شهر را اسیر کرده، اره و تیشه و تبر به دستشان داد و آنها را به کارهای سخت گماشت. او با اهالی شهرهای دیگر عمون نیز همین‌طور عمل کرد. سپس داوود و لشکر او به اورشلیم بازگشتند.
4 Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai, nao Wafilisti wakashindwa.
پس از مدتی باز جنگی با فلسطینی‌ها در جازر درگرفت. سبکای حوشاتی، سفای را که یک غول فلسطینی بود، کشت و فلسطینی‌ها تسلیم شدند.
5 Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
در طی جنگ دیگری با فلسطینی‌ها، الحانان (پسر یاعیر)، لحمی را که برادر جلیات جتی بود و نیزه‌ای به کلفتی چوب نساجها داشت، کشت.
6 Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
یک بار هم وقتی فلسطینی‌ها در جت با اسرائیلی‌ها می‌جنگیدند، یک غول فلسطینی که در هر دست و پایش شش انگشت داشت، نیروهای اسرائیلی را به ستوه آورد. آنگاه یوناتان، برادرزادهٔ داوود که پسر شمعا بود، او را کشت.
7 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
8 Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.
این سه مرد که به دست داوود و سربازان او کشته شدند، از نسل غول‌پیکران جت بودند.

< 1 Nyakati 20 >