< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,
Estes são os filhos de Israel: Ruben, Simeão, Levi, Judá, Issacar e Zebulon;
2 Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.
Dan, José e Benjamin, Naphtali, Gad e Aser.
3 Wana wa Yuda walikuwa: Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua.
Os filhos de Judá foram Er, e Onan, e Sela: estes três lhe nasceram da filha de Sua, a Cananeia: e Er, o primogênito de Judá, foi mau aos olhos do Senhor, pelo que o matou.
4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
Porém Tamar, sua nora, lhe pariu a Perez e a Serah: todos os filhos de Judá foram cinco.
5 Wana wa Peresi walikuwa: Hesroni na Hamuli.
Os filhos de Perez foram Hezron e Hamul.
6 Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
E os filhos de Serah: Zimri, e Ethan, e Heman, e Calcol, e Dara: cinco ao todo.
7 Mwana wa Karmi alikuwa: Akari, ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.
E os filhos de Carmi foram Acar, o perturbador de Israel, que pecou no anátema.
8 Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya.
E os filhos de Ethan foram Azarias.
9 Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.
E os filhos de Hezron, que lhe nasceram, foram Jerahmeel, e Ram, e Chelubai.
10 Ramu alimzaa Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.
E Ram gerou a Amminadab, e Amminadab gerou a Nahasson, príncipe dos filhos de Judá.
11 Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi,
E Nahasson gerou a Salma, e Salma gerou a Booz.
12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.
E Booz gerou a Obed, e Obed gerou a Jessé.
13 Yese akawazaa Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,
E Jessé gerou a Eliah, seu primogênito, e Abinadab, o segundo, e Simea, o terceiro,
14 wa nne Nethaneli, wa tano Radai,
Nathanael, o quarto, Radda, o quinto,
15 wa sita Osemu, na wa saba Daudi.
Osem, o sexto, David, o sétimo.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.
E foram suas irmãs Zeruia e Abigail: e foram os filhos de Zeruia: Abisai, e Joab, e Asael, três.
17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
E Abigail pariu a Amasa: e o pai de Amasa foi Jether, o ishmaelita.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
E Caleb, filho de Hezron, gerou filhos de Azuba, sua mulher, e de Jerioth: e os filhos desta foram estes: Jeser, e Sobab, e Ardon.
19 Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.
E morreu Azuba; e Caleb tomou para si a Ephrath, a qual lhe pariu a Hur.
20 Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.
E Hur gerou a Uri, e Uri gerou a Besaleel.
21 Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu.
Então Hezron entrou à filha de Machir, pai de Gilead, e, sendo ele de sessenta anos, a tomou: e ela lhe pariu a Segub.
22 Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.
E Segub gerou a Jair: e este tinha vinte e três cidades na terra de Gilead.
23 (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.
E Gesur e Aram tomaram deles as aldeias de Jair, e Kenath, e seus lugares, sessenta cidades: todos estes foram filhos de Machir, pai de Gilead.
24 Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.
E, depois da morte de Hezron, em Caleb de Ephrata, Abia, mulher de Hezron, lhe pariu a Ashur, pai de Tekoa.
25 Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa: Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya.
E os filhos de Jerahmeel, primogênito de Hezron, foram Ram, o primogênito, e Buna, e Oren, e Osem, e Ahija.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.
Teve também Jerahmeel ainda outra mulher cujo nome era Atara: esta foi a mãe de Onam.
27 Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa: Maasi, Yamini na Ekeri.
E foram os filhos de Ram, primogênito de Jerahmeel: Maas, e Jamin, e Eker.
28 Wana wa Onamu walikuwa: Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa: Nadabu na Abishuri.
E foram os filhos de Onam: Sammai e Judá; e os filhos de Sammai: Nadab e Abisur.
29 Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.
E era o nome da mulher de Abisur Abiail, que lhe pariu a Ahban e a Molid.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.
E foram os filhos de Nadab Seled e Appaim: e Seled morreu sem filhos.
31 Apaimu akamzaa: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani. Sheshani akamzaa Alai.
E os filhos d'Appaim foram Ishi; e os filhos de Ishi: Sesan. E os filhos de Sesan: Ahlai.
32 Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.
E os filhos de Jada, irmão de Sammai, foram Jether e Jonathan: e Jether morreu sem filhos.
33 Wana wa Yonathani walikuwa: Pelethi na Zaza. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.
E os filhos de Jonathan foram Peleth e Zaza: estes foram os filhos de Jerahmeel.
34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.
E Sesan não teve filhos, mas filhas: e tinha Sesan um servo egípcio, cujo nome era Jarha.
35 Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
Deu pois Sesan sua filha por mulher a Jarha, seu servo: e lhe pariu a Attai.
36 Atai akamzaa Nathani, Nathani akamzaa Zabadi,
E Attai gerou a Nathan, e Nathan gerou a Zabad.
37 Zabadi akamzaa Eflali, Eflali akamzaa Obedi,
E Zabad gerou a Eflal, e Eflal gerou a Obed.
38 Obedi akamzaa Yehu, Yehu akamzaa Azaria,
E Obed gerou a Jehu, e Jehu gerou a Azarias.
39 Azaria akamzaa Helesi, Helesi akamzaa Eleasa,
E Azarias gerou a Heles, e Heles gerou a Eleasa.
40 Eleasa akamzaa Sismai, Sismai akamzaa Shalumu,
E Eleasa gerou a Sismai, e Sismai gerou a Sallum.
41 Shalumu akamzaa Yekamia, naye Yekamia akamzaa Elishama.
E Sallum gerou a Jekamias, e Jekamias gerou a Elisama.
42 Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa: Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.
E foram os filhos de Caleb, irmão de Jerahmeel, Mesa, seu primogênito (este foi o pai de Ziph), e os filhos de Maresa, pai de Hebron.
43 Hebroni alikuwa na wana wanne: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.
E foram os filhos de Hebron: Korah, e Tappuah, e Rekem, e Sema.
44 Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai.
E Sema gerou a Raham, pai de Jorkeam: e Rekem gerou a Sammai.
45 Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.
E foi o filho de Sammai Maon: e Maon foi pai de Bethzur.
46 Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.
E Epha, a concubina de Caleb, pariu a Haran, e a Mosa, e a Gazez: e Haran gerou a Gazez.
47 Wana wa Yadai walikuwa: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.
E foram os filhos de Johdai: Regem, e Jotham, e Gesan, e Pelet, e Epha, e Saaph.
48 Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana.
De Maaca, concubina, gerou Caleb a Seber e a Tirhana.
49 Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.
E a mulher de Saaph, pai de Madmanna, pariu a Seva, pai de Machbena e pai de Gibea: e foi a filha de Caleb Acsa.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu,
Estes foram os filhos de Caleb, filho de Hur, o primogênito de Ephrata: Sobal, pai de Kiriath-jearim,
51 Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.
Salma, pai dos bethlehemitas, Hareph, pai de Beth-gader.
52 Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi,
E foram os filhos de Sobal, pai de Kiriath-jearim: Haroe e metade dos menuhitas.
53 pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.
E as famílias de Kiriath-jearim foram os jethreos, e os putheos, e os sumatheos, e os misraeos: destes sairam os zoratheos, e os esthaoleos.
54 Wazao wa Salma walikuwa: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori,
Os filhos de Salma foram Beth-lehem e os nethophatitas, Atroth, e Beth-joab, e metade dos manahthitas, e os zoritas.
55 pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.
E as famílias dos escribas que habitavam em Jabez foram os thirathitas, os simathitas, e os sucathitas: estes são os kineos, que vieram de Hammath, pai da casa de Rechab.

< 1 Nyakati 2 >