< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,
Isala: ili egefelali da Liubene, Simiane, Lifai, Yuda, Isaga, Sebiulane,
2 Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.
Da: ne, Yousefe, Bediamini, Na: fadalai, Ga: de amola A: sie.
3 Wana wa Yuda walikuwa: Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua.
Yuda egefelali da E, Ouna: ne amola Sila. Amo mano udiana da Siua idiwi (e da Ga: ina: ne uda) ema lalelegei. Yuda ea magobo mano E, e da Gode ba: ma: ne, wadela: le bagade hamoi. Amaiba: le, Gode da e medole legei.
4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
Yuda ea nawi (Da: ima) da Yuda ea mano aduna lalelegei. Ela dio da Bilese amola Sela. Yuda egefelali huluane ilia idi da biyale galu.
5 Wana wa Peresi walikuwa: Hesroni na Hamuli.
Bilase egefela da Heselone amola Ha: imale.
6 Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
Sela egefelali da biyale galu. Ilia dio da Similai, Ida: ne, Hima: ne, Ga: lagole amola Dada:
7 Mwana wa Karmi alikuwa: Akari, ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.
Gami egefe da A: iga. E da Godema ima: ne ilegei liligi wamolaiba: le, Isala: ili fi da se bagade nabi.
8 Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya.
Ida: ne egefe da A: salaia.
9 Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.
Heselone egefelali da Yilamiele, La: me amola Ga: ilebe.
10 Ramu alimzaa Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.
La: me egefe da Aminada: be. Aminada: be egefe da Nasione. Nasione da Yuda fi ouligisu dunu esalu.
11 Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi,
Nasione egefe da Sa: mone. Sa: mone egefe da Boua: se.
12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.
Boua: se egefe da Oubede amola Oubede egefe da Yesi.
13 Yese akawazaa Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,
Yesi ea magobo mano da Ilaia: be. Amo bagia da Abinada: be. Amo bagia eno da Simiai.
14 wa nne Nethaneli, wa tano Radai,
Biyadu da Nida: niele amola bi da La: da: iai.
15 wa sita Osemu, na wa saba Daudi.
Gafe da Ouseme amola fesu da Da: ibidi.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.
Ilia dalusila da Seluaia amola A: biga: ile. Seluaia ea mano osodayale da Abisia: i, Youa: be amola A: sahele.
17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
A: biga: ile ea mano da Ama: isa. Ama: isa ea eda da Yidahe (Isama: ile fi dunu.)
18 Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
Heselone egefe Ga: ilebe amola idua Asiuba amola Yeliode elea lalelegei mano da Yisie, Sioubabe amola Adone.
19 Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.
Asiuba da bogoloba, Ga: ilebe da Efalada lai. Ema mano lalelegei da He.
20 Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.
He egefe da Ulai amola Ulai egefe da Bisaliele.
21 Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu.
Fa: no, Heselone da Gilia: de egefe Ma: ige amo idiwi gilisili golaiba: le, (Heselone da lalegele, ode 60 esalu, amo uda lai) amalu Sigabe da lalelegei.
22 Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.
Sigabe egefe da Ya: ie. Ya: ie da Gilia: de soge ganodini, moilai bai bagade23 agoane ouligisu.
23 (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.
(Be Gisie amola A: ila: me da Ha: ifode Ya: ie moilai amola Gina: de moilai bai bagade amola Gina: de moilai sisiga: i 60 agoane, amo huluane hasali.) Amo dunu huluane da Gilia: de ea mano amo Ma: ige egaga fifi misi.
24 Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.
Heselone da Ga: ilebe Efalada moilaiga bogoloba, ea uda Abaidia da Heselone ea mano A: sie lalelegei. A: sie egefe da Degoua galu.
25 Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa: Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya.
Heselone ea magobo mano Yilamiele, amo egefelali da La: me (magobo), Biuna, Oulene, Ouseme amola Ahaidia.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.
Yilamiele da uda eno galu. Amo ea dio da A: dala. A: dala ea mano da Ouna: me.
27 Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa: Maasi, Yamini na Ekeri.
Yilamiele ea magobo mano La: me amo egefelali da Ma: iase, Ya: imine amola Ige.
28 Wana wa Onamu walikuwa: Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa: Nadabu na Abishuri.
Ouna: me egefela da Sia: ma: iai amola Ya: ida. Sia: ma: iai egefela da Na: ida: be amola Abaisia.
29 Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.
Abaisia idua dio da A: biha: ile. A: biha: ile egefela da Aba: ne amola Moulide.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.
Na: ida: be egefela da Silede amola A: ba: ime. Silede da mano madele bogoi.
31 Apaimu akamzaa: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani. Sheshani akamzaa Alai.
A: ba: ime ea mano da Isiai. Isiai ea mano da Sisiane. Sisiane egefe da Alai.
32 Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.
Sia: ma: iai eya da Ya: ida. Ya: ida egefela da Yidahe amola Yonada: ne. Ya: ida da mano madele bogoi.
33 Wana wa Yonathani walikuwa: Pelethi na Zaza. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.
Yonada: ne egefela da Bilede amola Sa: isa. Amo huluane da Yilamiele egaga fifi misi.
34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.
Sisiane da dunu mano madele, uda mano fawane galu. E da Idibidi hawa: hamosu dunu ea dio Ya: ila galu.
35 Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
Sisiane da idiwi amo Ya: ila lama: ne asuli. Amo uda ea mano lalelegei ea dio da A: da: i.
36 Atai akamzaa Nathani, Nathani akamzaa Zabadi,
A: da: i egefe da Na: ida: ne. Na: ida: ne ea egefe da Sa: iba: de.
37 Zabadi akamzaa Eflali, Eflali akamzaa Obedi,
Sa: iba: de egefe da Ifala: le. Ifala: le egefe da Oubede.
38 Obedi akamzaa Yehu, Yehu akamzaa Azaria,
Oubede egefe da Yihiu. Yihiu egefe da A: salaia.
39 Azaria akamzaa Helesi, Helesi akamzaa Eleasa,
A: salaia egefe da Hilese. Hilese egefe da Elia: isa.
40 Eleasa akamzaa Sismai, Sismai akamzaa Shalumu,
Elia: isa egefe da Sisimai. Sisimai egefe da Sia: lame.
41 Shalumu akamzaa Yekamia, naye Yekamia akamzaa Elishama.
Sia: lame egefe da Yegamaia, amola Yegamaia egefe da Ilisiama.
42 Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa: Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.
Ga: ilebe da Yilamiele ea eya. Ga: ilebe ea magobo mano da Misia. Misia egefe da Sife. Sife egefe da Malisia. Malisia egefe da Hibalone.
43 Hebroni alikuwa na wana wanne: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.
Hibalone egefelali da Goula, Da: biua, Legeme amola Sima.
44 Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai.
Sima egefe da La: iha: me. La: iha: me egefe da Yogiame. Legeme ea mano da Sia: ma: iai.
45 Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.
Sia: ma: iai egefe da Ma: ione amola Ma: ione egefe da Bede Se.
46 Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.
Ga: ilebe ea gidisedagi uda ea dio da Ifa. Ifa ea manolali da Ha: ila: ne, Mousa amola Ga: isese. Ga: isese ea eda da Ha: ila: ne.
47 Wana wa Yadai walikuwa: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.
Yahada: iai egefelali da Ligeme, Youda: me, Gisiane, Bilede, Ifa amola Sia: ia: fe.
48 Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana.
Ga: ilebe ea gidisedagi uda eno ea dio da Ma: iaga. Ma: iaga ea manolali da Sibe, Dehana, Sia: ia: fe (Ma: dama: na ea eda) amola Sifa. Sifa egefela da Ma: siabina amola Gibia. Ga: ilebe idiwi da A: igasa.
49 Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu,
Amo huluane da Ga: ilebe egaga fifi misi. Efala: de ea magobo mano da He. He egefelali da Siouba: le (Gilia: de Yialimi ea eda), Sa: lama (Bedeleheme ea eda) amola Ha: ilefe (Bede Ga: ida ea eda).
51 Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.
52 Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi,
Gilia: de Yilimi egefe da Siouba: le. Siouba: le egaga fifi misi da Haloue, Mana: ihadaide fi dogoa mogi, amola sosogo fi eno amo Gilia: de Yilimi, Idalaide, Biudaide, Siuma: daide amola Misialaide. Amo sosogo fi ilima da Soula: daide amola Esiada: iolaide dunu fifi misi.
53 pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.
54 Wazao wa Salma walikuwa: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori,
Sa: lama egaga fifi misi da Bedeleheme, Nidofadaide, A:dalodi Bede Youa: be, Mana: iha: daide fi dogoa mogi, Soulaide, sia: dedesu fi dunu amo da Ya: ibese sogega esalu, Daila: daide, Simia: daide amola Siuga: daide. Amo huluane da Ginaide fi dunu. Ilia da dunu ea dio amo Ha: ima: de amogaga fifi misi. Ha: ima: de da Liga: be sosogo fi ilia eda esalu.
55 pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.

< 1 Nyakati 2 >