< 1 Nyakati 19 >
1 Baada ya muda, Nahashi mfalme wa Waamoni akafa, mwanawe akaingia mahali pake.
Ie añe izay le nivilasy t’i Nakase mpanjaka’ o ana’ i Amoneo, le nandimbe aze nifehe i ana-dahi’ey.
2 Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea wema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Daudi walipofika kwa Hanuni katika nchi ya Waamoni ili kumfariji,
Le hoe t’i Davide: ho tretrezeko t’i Kanone ana’ i Nakase amy te nitretrezen-drae’e. Aa le nañitrifa’ i Davide ìrake hañohò aze ty aman-drae’e. Aa le nimb’an-tane’ o ana’ i Amoneo mb’ amy Kanone ao o mpitoro’ i Davideo hañohò’ aze,
3 wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni, “Hivi unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kuwatuma wajumbe kukufariji? Je, hawa watu hawakuja kuipeleleza na kuidadisi nchi ili waishinde?”
fe hoe o roandria’ o ana’ i Amoneo amy Kanone; Atao’o te hiasy an-drae’o hao t’i Davide, ie nañihitrifa’e mpañohò? tsy mone nimb’ ama’o mb’etoy i mpitoro’e rey hijilojilo naho hitsoetsoeke vaho hitingatingañe an-tane atoy?
4 Kwa hiyo Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa ndevu akakata nguo zao katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.
Aa le rinambe’ i Kanone i mpitoro’ i Davide rey vaho niharate’e naho tinampa’e añivo o saro’eo, pak’ am-piambesara’e vaho nanoe’e soike.
5 Mtu mmoja alipofika na kumpasha Daudi habari za watu hawa, akawatuma wajumbe wengine kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote, ndipo mje.”
Nimb’eo amy zao ty nitalily amy Davide i nanoañe indaty reiy. Le nirahe’e ty hifanalaka ama’e; fa loho salatse indaty rey. Le hoe i mpanjakay, Mandiñisa e Ieriko ao ampara’ te mitombo o tateahe’ areoo, izay vaho mimpoly.
6 Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000 za fedha ili kukodisha magari ya vita pamoja na waendeshaji wa hayo magari ya kukokotwa na farasi, kutoka Aramu-Naharaimu, Aramu-Maaka na Soba.
Ie napota’ o ana’ i Amoneo t’ie mañati-fofots’ amy Davide, le nihitrife’ i Kanone naho o ana’ i Amoneo ty volafoty arivo hañaramà’ iareo sarete naho mpiningi-tsoavala boake Arame-naharaime naho boak’e Arame-maakà vaho boak’ amy Tsobà.
7 Wakakodisha magari ya vita 32,000 yakiwa na waendeshaji wake, pamoja na mfalme wa Maaka na vikosi vyake, wakaja na kupiga kambi karibu na Medeba. Waamoni nao wakakusanyika toka miji yao, wakatoka ili kupigana vita.
Aa le nañeke sarete telo-ale-tsi-ro’arivo naho ty mpanjaka’ i Maakà rekets’ ondati’eo; le nimb’e Medebà mb’eo iereo vaho nitobe. Nifanontoñe ka o ana’ i Amone boak’ an-drova’eo, le nimb’eo hialy.
8 Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.
Ie jinanji’ i Davide, le nirahe’e mb’eo t’Ioabe naho ze fonga fanalolahy amy valobohokey.
9 Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati wale wafalme wengine waliokuja nao walijipanga kwa vita uwanjani.
Niavotse o ana’ i Amoneo nandahatse i aliy an-dalambei’ i rovay vaho niereñereñe an-kivoke ey o mpanjaka niavio.
10 Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu.
Ie nizoe’ Ioabe te niatrek’ aze aolo naho amboho’ i hotakotakey, le jinobo’e iaby ty fanalolahi’ Israele vaho nampiatrefe’e amo nte-Arameo.
11 Akawaweka wale wanajeshi wengine waliobaki chini ya amri ya Abishai ndugu yake, nao wakapangwa ili wakabiliane na Waamoni.
Nafanto’e ho am-pità’ i Abisay rahalahi’e ondaty ila’eo le sindre nilahatse hiatreke amo ana’ i Amoneo.
12 Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itakupasa wewe unisaidie; lakini kama Waamoni watakuzidi nguvu, basi mimi nitakusaidia.
Aa hoe re, Naho loho maozatse amako o nte-Arameo le ihe ty hañolotse ahy; aa naho maozatse te ama’o ka o ana’ i Amoneo le izaho ty hañolotse azo.
13 Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. Bwana atafanya lile lililo jema machoni pake.”
Mahasibeha le antao tika hamente t’ie maozatse ho am’ondatin-tikañeo naho ho amo rovan’ Añaharen-tikañeo; le hanoe’ Iehovà ze arofoana’e hahasoa.
14 Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake.
Aa le niheo mb’eo t’Ioabe naho ondaty mpiama’eo nihotakotak’ amo nte Arameo, ie nitriban-day aolo’e eo.
15 Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao pia wakakimbia mbele ya nduguye Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi Yerusalemu.
Aa ie nioni’ o ana’ i Amoneo te nilay añe o nte-Arameo le nilay añatrefa’ i Abisay, rahalahi’e ka vaho nimoak’ an-drova ao. Aa le nimpoly mb’e Ierosalaime añe t’Ioabe.
16 Baada ya Waaramu kuona kwamba wameshindwa na Israeli, wakapeleka wajumbe na kuwataka Waaramu wengine kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakiongozwa na Shofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri.
Ie nirendre’ o nte-Arameo te ginio’ Israele, le nañitrike ìrake, nangalake o nte-Arame alafe’ i Sakaio, rekets’ i Sopake mpifehe’ ty valobohò’ i Hadadezere ho mpiaolo.
17 Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote na kuvuka Yordani. Akasonga mbele dhidi yao na akajipanga kuwakabili. Daudi akapanga vita ili kupigana na Waaramu, nao wakapigana dhidi yake.
Natalily amy Davide, le natonto’e iaby t’Israele naho nitsake Iordaney mb’eo naho nivotrak’ am’ iereo vaho nalaha’e am’ iereo i hotakotakey. Aa ie nalaha’ i Davide amo nte-Arameo i aley le nifandrapaha’e.
18 Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari 7,000 na askari wao wa miguu 40,000. Pia akamuua Shofaki, jemadari wa jeshi lao.
Nilay añ’ atrefa’ Israele o nte-Arameo; le zinevo’ i Davide ty fito-arivo amo nte-Arame an-tsareteo naho ty efats-ale an-tomboke vaho vinono’e t’i Sopake mpifehe’ i valobohòkey.
19 Raiya wa Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya mapatano ya amani na Daudi, wakawa watumishi wake. Hivyo Waaramu hawakukubali kuwasaidia Waamoni tena.
Ie tendrek’ amo mpitoro’ i Haderezereo te ginio’ Israele, le nifampilongo amy Davide naho nitoroñe aze vaho tsy nimete handrombake o ana’ i Amoneo ka o nte-Arameo.