< 1 Nyakati 19 >

1 Baada ya muda, Nahashi mfalme wa Waamoni akafa, mwanawe akaingia mahali pake.
Forsothe it bifelde, that Naas, kyng of the sones of Amon, diede, and his sone regnyde for him.
2 Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea wema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Daudi walipofika kwa Hanuni katika nchi ya Waamoni ili kumfariji,
And Dauid seide, Y schal do mercy with Anoon, the sone of Naas; for his fadir yaf merci to me. And Dauid sente messageris, to coumforte hym on the deeth of his fadir. And whanne thei weren comen in to the lond of the sones of Amon,
3 wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni, “Hivi unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kuwatuma wajumbe kukufariji? Je, hawa watu hawakuja kuipeleleza na kuidadisi nchi ili waishinde?”
for to coumforte Anon, the princes of the sones of Amon seiden to Anon, In hap thou gessist, that Dauid for cause of onour in to thi fadir sente men, that schulden coumforte thee; and thou perseyuest not, that hise seruauntis ben comen to thee to aspie, and enquere, and seche thi lond.
4 Kwa hiyo Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa ndevu akakata nguo zao katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.
Therfor Anoon made ballid and schauyde the children of Dauid, and kittide the cootis of hem fro the buttokis of hem til to the feet; and lefte hem.
5 Mtu mmoja alipofika na kumpasha Daudi habari za watu hawa, akawatuma wajumbe wengine kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote, ndipo mje.”
And whanne thei hadden go, and hadden sent this to Dauid, he sente in to the meting of hem; for thei hadden suffrid greet dispit; and he comaundide, that thei schulden dwelle in Gerico, til her berde wexide, and thanne thei schulden turne ayen.
6 Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000 za fedha ili kukodisha magari ya vita pamoja na waendeshaji wa hayo magari ya kukokotwa na farasi, kutoka Aramu-Naharaimu, Aramu-Maaka na Soba.
Forsothe the sones of Amon sien, that thei hadden do wrong to Dauid, bothe Anoon and the tother puple, and thei senten a thousynde talentis of siluer, for to hire to hem charis and horsmen of Mesopotanye and Sirie, of Maacha and of Soba;
7 Wakakodisha magari ya vita 32,000 yakiwa na waendeshaji wake, pamoja na mfalme wa Maaka na vikosi vyake, wakaja na kupiga kambi karibu na Medeba. Waamoni nao wakakusanyika toka miji yao, wakatoka ili kupigana vita.
and thei hiriden to hem two and thretti thousynde of charis, and the kyng of Maacha with his puple. And whanne thei weren comen, thei settiden tentis euene ayens Medaba; and the sones of Amon weren gaderid fro her citees, and camen to batel.
8 Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.
And whanne Dauid `hadde herd this, he sente Joab, and al the oost of stronge men.
9 Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati wale wafalme wengine waliokuja nao walijipanga kwa vita uwanjani.
And the sones of Amon yeden out, and dressiden scheltrun bisidis the yate of the citee; but the kyngis, that weren comen to helpe, stoden asidis half in the feeld.
10 Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu.
Therfor Joab vndurstood, that batel was maad ayens hym `euene ayens and bihynde the bak, and he chees the strongeste men of al Israel, and yede ayens Sirus;
11 Akawaweka wale wanajeshi wengine waliobaki chini ya amri ya Abishai ndugu yake, nao wakapangwa ili wakabiliane na Waamoni.
sotheli he yaf the residue part of the puple vnder the hond of Abisai, his brother; and thei yeden ayens the sones of Amon.
12 Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itakupasa wewe unisaidie; lakini kama Waamoni watakuzidi nguvu, basi mimi nitakusaidia.
And Joab seide, If Sirus schal ouercome me, thou schalt helpe me; sotheli if the sones of Amon schulen ouercome thee, Y schal helpe thee; be thou coumfortid,
13 Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. Bwana atafanya lile lililo jema machoni pake.”
and do we manli for oure puple, and for the citees of oure God; forsothe the Lord do that, that is good in his siyt.
14 Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake.
Therfor Joab yede, and the puple that was with hym, ayens Sirus to batel, and he droof hem awei.
15 Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao pia wakakimbia mbele ya nduguye Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi Yerusalemu.
Sotheli the sones of Amon sien, that Sirus hadde fled, and thei fledden fro Abisay, his brother, and entriden in to the citee; and Joab turnede ayen in to Jerusalem.
16 Baada ya Waaramu kuona kwamba wameshindwa na Israeli, wakapeleka wajumbe na kuwataka Waaramu wengine kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakiongozwa na Shofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri.
Forsothe Sirus siy, that he felde doun bifor Israel, and he sente messageris, and brouyte Sirus, that was biyende the flood; sotheli Sophath, the prynce of chyualrie of Adadezer, was the duyk of hem.
17 Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote na kuvuka Yordani. Akasonga mbele dhidi yao na akajipanga kuwakabili. Daudi akapanga vita ili kupigana na Waaramu, nao wakapigana dhidi yake.
And whanne this was teld to Dauid, he gaderide al Israel, and passide Jordan; and he felde in on hem, and dresside scheltrun euene ayens hem, fiytynge ayenward.
18 Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari 7,000 na askari wao wa miguu 40,000. Pia akamuua Shofaki, jemadari wa jeshi lao.
`Forsothe Sirus fledde fro Israel, and Dauid killide of men of Sirie seuene thousynde of charis, and fourti thousynde of foot men, and Sophath, the prince of the oost.
19 Raiya wa Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya mapatano ya amani na Daudi, wakawa watumishi wake. Hivyo Waaramu hawakukubali kuwasaidia Waamoni tena.
Sotheli the seruauntis of Adadezer siyen, that thei weren ouercomun of Israel, and thei fledden ouer to Dauid, and seruiden hym; and Sirie wolde no more yyue helpe to the sones of Amon.

< 1 Nyakati 19 >