< 1 Nyakati 19 >

1 Baada ya muda, Nahashi mfalme wa Waamoni akafa, mwanawe akaingia mahali pake.
Amogalu fa: no, A:mone soge hina bagade amo Na: iha: se da bogoi. Egefe Ha: inane da ea hina bagade sogebi lai.
2 Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea wema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Daudi walipofika kwa Hanuni katika nchi ya Waamoni ili kumfariji,
Hina bagade Da: ibidi da amane sia: i, “Ha: inane ea ada Na: iha: se da nama asigi galu. Amaiba: le, na da ea mano ilima asigimu da defea.” Amaiba: le, Da: ibidi da sia: adole ahoasu dunu, ea asigi sia: sia: ma: ne, Ha: inanema asunasi.
3 wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni, “Hivi unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kuwatuma wajumbe kukufariji? Je, hawa watu hawakuja kuipeleleza na kuidadisi nchi ili waishinde?”
Ilia A: mone sogega doaga: loba, A:mone ouligisu dunu ilia da hina bagadema amane sia: i, “Di adi dawa: bela: ? Da: ibidi da dia adama nodone dawa: beba: le, amo dunu dima asigi sia: sia: mane asunasibala: ? Hame mabu! Amo da desega ahoasu dunu amo Da: ibidi da nini hasalima: ne, ninia soge hou amo abodele ba: musa: asunasi.”
4 Kwa hiyo Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa ndevu akakata nguo zao katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.
Amaiba: le, Ha: inane da Da: ibidi ea sia: adola ahoasu dunu amo gagulaligili, ilia mayabo la: idi waga: ne, ilia abula mugagili damunisili, ili buhagima: ne asunasi.
5 Mtu mmoja alipofika na kumpasha Daudi habari za watu hawa, akawatuma wajumbe wengine kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote, ndipo mje.”
Ilia da buhagimu bagadewane gogosia: i. Da: ibidi da amane hamoi nababeba: le, e da ilima amane sia: si, “Dilia Yeligou moilai bai bagadega ouesalu, dilia mayabo bu sa: i galea, buhagima!”
6 Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000 za fedha ili kukodisha magari ya vita pamoja na waendeshaji wa hayo magari ya kukokotwa na farasi, kutoka Aramu-Naharaimu, Aramu-Maaka na Soba.
Hina bagade Ha: inane amola A: mone dunu ilia da Da: ibidi ilia ha lai hamoi dagoi dawa: i. Amaiba: le, ilia da silifa 40 danese agoane, sa: liode amola amoga fila heda: su dunu bidi lama: ne, Gado Mesoubouda: imia soge amola Silia soge amo Ma: iaga amola Souba, ilima iasili wele guda: i.
7 Wakakodisha magari ya vita 32,000 yakiwa na waendeshaji wake, pamoja na mfalme wa Maaka na vikosi vyake, wakaja na kupiga kambi karibu na Medeba. Waamoni nao wakakusanyika toka miji yao, wakatoka ili kupigana vita.
Ilia bidiga lai fidisu dunu, amo sa: liode 32,000 agoane amola Ma: iaga hina bagade ea dadi gagui wa: i, ilia da Mediba moilai gadenene misini, wa: i fi esalebe ba: i.
8 Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.
Da: ibidi da amo hou nababeba: le, e da Youa: be amola Isala: ili dadi gagui wa: i huluane ilima gegemusa: asunasi.
9 Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati wale wafalme wengine waliokuja nao walijipanga kwa vita uwanjani.
A: mone dadi gagui dunu da gadili mogodigili, ilia da La: ba (ilia moilai bai bagade) amo ea logo holei gadenene dadalei. Amola hina bagade amo da ili fidimusa: misi, ilia dadi gagui dunu da sogebi genebogela asili, amogai dadalei.
10 Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu.
Youa: be da ba: loba, ea ha lai da midadi amola bagia ema doagala: mu ba: i. Amaiba: le, e da Isala: ili dadi gagui dunu baligili noga: idafa amo ilegele, ilia da Silia dadi gagui dunu ilima ba: le gusuli aligima: ne asunasi.
11 Akawaweka wale wanajeshi wengine waliobaki chini ya amri ya Abishai ndugu yake, nao wakapangwa ili wakabiliane na Waamoni.
E da ea eya Abisia: i amo Isala: ili dadi gagui dunu eno ouligima: ne sia: i. Abisia: i da sia: beba: le, amo Isala: ili dadi gagui da A: mone dunu ilima ba: le gusuli dadalei.
12 Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itakupasa wewe unisaidie; lakini kama Waamoni watakuzidi nguvu, basi mimi nitakusaidia.
Youa: be da Abisia: ima amane sia: i, “Di da Silia dunu na hasalimusa: heda: be ba: sea, na fidila misa. Amola na da A: mone dunu di hasalimusa: heda: be ba: sea, na da di fidila masunu.
13 Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. Bwana atafanya lile lililo jema machoni pake.”
Di mae beda: ne gasa fima! Ninia fi dunu amola Gode Ea moilai huluane gaga: musa: , gasa fili hamoma. Amola Hina Gode Ea hamomusa: ilegei, amo ba: mu da defea!”
14 Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake.
Youa: be amola ea dunu da doagala: musa: midadi manebeba: le, Silia dunu ilia da hobea: i.
15 Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao pia wakakimbia mbele ya nduguye Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi Yerusalemu.
A: mone dunu da Silia dunu hobealebe ba: lu, ilia da Abisia: i amoma hobeale, moilai amo ganodini hehenane golili sa: i. Amalalu, Youa: be da A: mone dunuma gegenanu yolesili, Yelusaleme moilai bai bagadega buhagi.
16 Baada ya Waaramu kuona kwamba wameshindwa na Israeli, wakapeleka wajumbe na kuwataka Waaramu wengine kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakiongozwa na Shofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri.
Silia dunu da Isala: ili dunu ili hasali dagoi amo dawa: loba, ilia da ilia dadi gagui dunu huluanedafa gilisima: ne wele sia: i. Hina bagade Ha: da: disa da Silia dunu huluane amo Iufala: idisi Hano gusudili esalu, amo ema misa: ne sia: si. Ilia da Hila: me moilaiga misi. Sioubage (Souba hina bagade Ha: da: disa, amo ea dadi gagui wa: i ouligisudafa dunu galu) da ili ouligisu.
17 Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote na kuvuka Yordani. Akasonga mbele dhidi yao na akajipanga kuwakabili. Daudi akapanga vita ili kupigana na Waaramu, nao wakapigana dhidi yake.
Da: ibidi da amo sia: nababeba: le, e da Isala: ili dadi gagui dunu gilisili, Yodane Hano degei. Amogawi, ea sia: beba: le, ilia da Silia dunu ilima ba: le gusuli dadalele, gegesu da mui.
18 Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari 7,000 na askari wao wa miguu 40,000. Pia akamuua Shofaki, jemadari wa jeshi lao.
Isala: ili dunu da Silia dunuma gegesa fula se bobogei. Da: ibidi amola ea dunu da Silia sa: liode amoga fila heda: i dunu 700 agoane amola emoga ahoasu dadi gagui dunu 40,000 agoane fane lelegei. Ilia da Sioubage (ilia ha lai ouligisudafa) amo fa: ginisili, e da gegesu sogebi amogawi bogoi.
19 Raiya wa Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya mapatano ya amani na Daudi, wakawa watumishi wake. Hivyo Waaramu hawakukubali kuwasaidia Waamoni tena.
Hina bagade Ha: da: disa da eno hina bagade fonobahadi ouligisu. Ilia da Isala: ili dunu da ilima hasali dagoi ba: i. Amaiba: le, ilia da Isala: ili dunuma olofomusa: gousa: i. Amalalu, Isala: ili dunu da ili ouligilalu. Amola Silia dunu da beda: iba: le, bu A: mone dunu fidimu higa: i galu.

< 1 Nyakati 19 >