< 1 Nyakati 18 >

1 Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka utawala wa Wafilisti.
In kutu pacl tok, Tokosra David el sifilpa mweuni mwet Philistia ac kutangulosla. El eisla selos siti Gath wi inkul ma oan raunela.
2 Pia Daudi akawashinda Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru.
El oayapa kutangla mwet Moab, ac elos mutawauk in orekma nu sel ac sang takma nu sel.
3 Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi, wakati alikwenda kuimarisha utawala wake katika Mto Frati.
Toko, David el mweun lainul Hadadezer, tokosra lun Zobah in Syria. El mweunul apkuran nu in acn Hamath, mweyen Hadadezer el srike elan eisla acn we, su oan tafunyen lucng ke Infacl Euphrates.
4 Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100.
David el sruokya sie tausin chariot, itkosr tausin mwet kasrusr fin horse, ac longoul tausin sin mwet mweun su fahsrna. El sruokya pisen horse fal nu ke chariot siofok, ac horse nukewa saya el kunausla nialos.
5 Waaramu wa Dameski, walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.
Ke mwet Syria in acn Damascus elos supwala un mwet mweun in kasrel Tokosra Hadadezer, David el mweunelos ac uniya mwet longoul luo tausin.
6 Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski. Basi Waaramu wakawa watumwa wa Daudi, na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.
Na David el oakiya nien muta lun mwet mweun lal fin acn Syria ac Damascus, ac mwet in facl inge mutawauk in orekma nu sel David, ac sang takma nu sel. LEUM GOD El oru tuh David elan eis kutangla in acn nukewa.
7 Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.
David el eisla mwe loang gold liki poun mwet mweun fulat lal Hadadezer, ac el us ma inge nu Jerusalem.
8 Kutoka miji ya Tibhathi na Kuni, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Daudi akatwaa shaba nyingi sana, ambayo Solomoni aliitumia kutengenezea ile Bahari ya shaba, zile nguzo na vifaa mbalimbali vya shaba.
El oayapa eisla ma puspis ma orekla ke osra bronze liki acn Tibhath ac Kun, su siti lal Hadadezer. (Tok Solomon el orekmakin bronze inge in orala sie nien kof lulap, oayapa sru ac kufwen mwe orekma lun Tempul.)
9 Tou mfalme wa Hamathi aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri mfalme wa Soba,
Tokosra Toi lun Hamath el lohng lah David el kutangla mwet mweun nukewa lal Hadadezer.
10 akamtuma mwanawe, Hadoramu kwa Mfalme Daudi ili kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Mfalme Hadadezeri, kwa kuwa alikuwa amepigana vita mara nyingi na Tou. Hadoramu akamletea Daudi vifaa mbalimbali vya dhahabu, fedha na shaba.
Ouinge el supwalla Joram, wen natul, in paingul Tokosra David ac kaksakunul ke kutangla lal facl Hadadezer, su Toi el tuh lain pacl puspis. Joram el us mwe lung nu sel David ma orekla ke gold, silver ac osra bronze.
11 Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu aliyokuwa ameitwaa katika mataifa yote haya: Edomu na Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki.
David el srela ma inge tuh in orekmakinyuk ke pacl in alu mukena, weang pac gold ac silver ma el tuh sruokya liki mutunfacl el kutangla inge: Edom, Moab, Ammon, Philistia, ac Amalek.
12 Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.
Abishai, su nina kial pa Zeruiah, el kutangla mwet Edom ke sie mweun in Infahlfal Sohl, ac el uniya mwet singoul oalkosr tausin.
13 Akaweka kambi za askari walinzi huko Edomu, nao Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi. Bwana akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
El oakiya un mwet mweun lal fin acn Edom nufon, ac mwet we elos mutawauk in orekma nu sel Tokosra David. LEUM GOD El oru tuh David elan eis kutangla in acn nukewa.
14 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
David el leum fin acn Israel nufon, ac el arulana karinganang tuh ma orek nu sin mwet lal in fahsr fal ac suwohs pacl nukewa.
15 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
Joab, tamulel lal Abishai, pa captain lun un mwet mweun. Jehoshaphat, wen natul Ahilud, pa karinganang ma simla.
16 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa mwandishi;
Zadok wen natul Ahitub, ac Ahimelech wen natul Abiathar, elos mwet tol. Seraiah el mwet sim inkul lun tokosra.
17 naye Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa maafisa wakuu katika utumishi wa mfalme.
Benaiah wen natul Jehoiada, pa kol mwet mweun karinginyal tokosra. Wen natul Tokosra David elos muta ke wal fulat inmasrlon mwet pwapa fulat lal.

< 1 Nyakati 18 >