< 1 Nyakati 18 >

1 Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka utawala wa Wafilisti.
Te phoeiah khaw David loh Philisti te a ngawn tih amih te a kunyun sak. Te vaengah Gath neh a khobuel rhoek te Philisti kut lamloh a lat.
2 Pia Daudi akawashinda Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru.
Moab te a ngawn bal dongah Moab khaw David taengah khocang aka thak sal la om uh.
3 Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi, wakati alikwenda kuimarisha utawala wake katika Mto Frati.
Zobah manghai Hadadezer loh a kut dongah Perath tuiva phai te khueh hamla a caeh vaengah David loh Khamath duela a ngawn.
4 Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100.
Anih taeng lamkah te David loh leng thawngkhat, marhang caem thawng rhih, rhalkap tongpa thawng kul a tuuk pah. Te vaengah David loh leng khaw boeih a haih pah tih leng yakhat bueng a paih pah.
5 Waaramu wa Dameski, walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.
Te vaengah Aram Damasku tah Zobah manghai Hadadezer bom hamla ha pawk. Tedae David loh Aram kah hlang thawng kul neh thawng hnih a ngawn.
6 Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski. Basi Waaramu wakawa watumwa wa Daudi, na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.
David loh Aram Damasku ah khohung a khueh tih Aram te David taengah khocang aka thak sal om. David te a caeh nah takuem ah BOEIPA loh a khang.
7 Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.
David loh Hadadezer sal rhoek pum dongah aka om sui photling te a loh tih Jerusalem la a khuen.
8 Kutoka miji ya Tibhathi na Kuni, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Daudi akatwaa shaba nyingi sana, ambayo Solomoni aliitumia kutengenezea ile Bahari ya shaba, zile nguzo na vifaa mbalimbali vya shaba.
Hadadezer khopuei Tibhath lamkah neh Kun lamkah rhohum te yet te David loh bahoeng a loh pah. Te nen te Solomon loh rhohum tuili khaw, tung khaw, rhohum hnopai khaw a saii.
9 Tou mfalme wa Hamathi aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri mfalme wa Soba,
David loh Zobah manghai Hadadezer kah caem boeih a ngawn pah te Khamath manghai Toi loh a yaak.
10 akamtuma mwanawe, Hadoramu kwa Mfalme Daudi ili kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Mfalme Hadadezeri, kwa kuwa alikuwa amepigana vita mara nyingi na Tou. Hadoramu akamletea Daudi vifaa mbalimbali vya dhahabu, fedha na shaba.
Hadadezer a vathoh thil tih Toi kah caemtloek hlang rhoek hamla Hadadezer te a ngawn pah. Te dongah amah te sading kawng dawt ham neh amah uem puei hamla manghai David taengah a capa Hadoram te a tueih tih sui hnopai boeih neh cak khaw rhohum khaw a khuen sak.
11 Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu aliyokuwa ameitwaa katika mataifa yote haya: Edomu na Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki.
Te rhoek te khaw Manghai David loh BOEIPA taengah namtom cungkuem taeng lamkah, Edom lamkah, Moab lamkah, Ammon koca taeng lamkah, Philisti lamkah, Amalek lamkah a phueih cak neh sui neh a ciim.
12 Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.
Zeruiah capa Abishai loh kolrhawk ah Edom te thawng hlai rhet a ngawn.
13 Akaweka kambi za askari walinzi huko Edomu, nao Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi. Bwana akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
Te dongah Edom ah khohung rhoek a khueh tih Edom boeih te David taengah sal om uh. A caeh nah takuem ah David te BOEIPA loh a khang.
14 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
David te Israel boeih soah a manghai vaengah a pilnam boeih ham khaw tiktamnah neh duengnah aka saii la om.
15 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
Zeruiah capa Joab tah caempuei soah, Ahilud capa Jehoshaphat loh khocil aka khoem la om.
16 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa mwandishi;
Ahitub capa Zadok neh Abiathar capa Abimelek te khosoih, Shavsha te cadaek la om.
17 naye Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa maafisa wakuu katika utumishi wa mfalme.
Jehoiada capa Benaiah te Kerethi neh Phelethi soah a khueh. David koca rhoek te tah manghai kut ah lamhma uh.

< 1 Nyakati 18 >