< 1 Nyakati 16 >

1 Wakaleta Sanduku la Mungu na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili yake, na wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Mungu.
Tako so prinesli Božjo skrinjo in jo postavili na sredo šotora, ki ga je kralj David postavil zanjo ter pred Bogom darovali žgalne daritve in mirovne daritve.
2 Baada ya Daudi kumaliza kutoa hizo sadaka za kuteketezwa na hizo sadaka za amani, akawabariki watu katika jina la Bwana.
Ko je David končal žrtvovanje žgalnih daritev in mirovnih daritev, je v Gospodovem imenu blagoslovil ljudstvo.
3 Kisha akamgawia kila Mwisraeli mwanaume na mwanamke mkate, andazi la tende na andazi la zabibu kavu.
Vsakemu iz Izraela, tako moškemu kakor ženski, vsakemu je razdelil hleb kruha, dober kos mesa in flaškon vina.
4 Akawaweka pia baadhi ya Walawi ili wahudumu mbele ya Sanduku la Bwana kufanya maombi, kumshukuru na kumsifu Bwana, Mungu wa Israeli:
Nekatere izmed Lévijevcev je določil, da služijo pred Gospodovo skrinjo in da se spominjajo, se zahvaljujejo in hvalijo Gospoda, Izraelovega Boga:
5 Asafu ndiye alikuwa mkuu wao, akisaidiwa na Zekaria, Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Matithia, Eliabu, Benaya, Obed-Edomu na Yeieli. Hawa ndio wangepiga zeze na vinubi, Asafu angepiga matoazi,
vodja Asáfa in poleg njega Zeharjá, Jeiéla, Šemiramóta, Jehiéla, Matitjája, Eliába, Benajája in Obéd Edóma; in Jeiéla s plunkami in harfami, toda Asáf je igral na cimbale;
6 nao Benaya na Yahazieli makuhani, ndio wangepiga tarumbeta mara kwa mara mbele ya Sanduku la Agano la Mungu.
tudi duhovnika Benajája in Jahaziéla s trobentami nenehno pred skrinjo Božje zaveze.
7 Siku ile, kitu cha kwanza Daudi alichofanya ni kumkabidhi Asafu na wenzake zaburi hii ya shukrani kwa Bwana:
Potem je na ta dan David prvič izročil ta psalm v roko Asáfa in njegovih bratov, da se zahvalijo Gospodu.
8 Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake; wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.
Zahvaljujte se Gospodu, kličite njegovo ime, med ljudstvom razglašajte njegova dela.
9 Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa; waambieni matendo yake yote ya ajabu.
Prepevajte mu, prepevajte mu psalme, govorite o vseh njegovih čudovitih delih.
10 Lishangilieni jina lake takatifu; mioyo ya wale wamtafutao Bwana na ifurahi.
Ponašajte se z njegovim svetim imenom. Naj se veseli srce tistih, ki iščejo Gospoda.
11 Mtafuteni Bwana na nguvu zake; utafuteni uso wake siku zote.
Iščite Gospoda in njegovo moč, neprenehoma iščite njegov obraz.
12 Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya, miujiza yake na hukumu alizozitamka,
Spominjajte se njegovih čudovitih del, ki jih je storil, njegovih čudežev in sodb njegovih ust;
13 enyi wazao wa Israeli mtumishi wake, enyi wana wa Yakobo, wateule wake.
oh vi seme Izraela, njegovega služabnika, vi Jakobovi otroci, njegovi izbranci.
14 Yeye ndiye Bwana Mungu wetu; hukumu zake zimo duniani pote.
On je Gospod, naš Bog, njegove sodbe so po vsej zemlji.
15 Hulikumbuka agano lake milele, neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,
Vedno se zavedajte njegove zaveze, besede, katero je zapovedal tisočim rodovom,
16 agano alilolifanya na Abrahamu, kiapo alichomwapia Isaki.
celo zaveze, ki jo je sklenil z Abrahamom in njegove prisege Izaku
17 Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri, kwa Israeli liwe agano la milele:
in isto je potrdil Jakobu za zakon in Izraelu za večno zavezo,
18 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”
rekoč: »Tebi bom dal kánaansko deželo, žreb vaše dediščine, «
19 Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake,
ko vas je bilo le malo, celo peščica in tujci v njej.
20 walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
Ko so hodili od naroda k narodu in od enega kraljestva k drugemu ljudstvu,
21 Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:
nobenemu človeku ni pustil, da jim stori krivico; da, zaradi njih je grajal kralje,
22 “Msiwaguse niliowatia mafuta; msiwadhuru manabii wangu.”
rekoč: »Ne dotikajte se mojih maziljencev in mojim prerokom ne delajte hudega.«
23 Mwimbieni Bwana dunia yote; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
Poj Gospodu, vsa zemlja, iz dneva v dan naznanjaj njegovo rešitev duše.
24 Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
Oznanjajte njegovo slavo med pogani, njegova čudovita dela med vsemi narodi.
25 Kwa kuwa Bwana ni mkuu, mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
Kajti velik je Gospod in silno naj bo hvaljen. Njega se je treba bati nad vsemi bogovi.
26 Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
Kajti vsi bogovi ljudstva so maliki, toda Gospod je naredil nebesa.
27 Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
Slava in čast sta v njegovi prisotnosti, moč in veselje sta na njegovem kraju.
28 Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu,
Dajajte Gospodu, ve sorodstva ljudstev, dajajte Gospodu slavo in moč.
29 mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake. Leteni sadaka na mje katika nyua zake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
Dajajte Gospodu slavo, primerno njegovemu imenu, prinesite daritev in pridite predenj. Obožujte Gospoda v lepoti svetosti.
30 Dunia yote na itetemeke mbele zake! Ulimwengu ameuweka imara; hauwezi kusogezwa.
Boj se pred njim, vsa zemlja. Tudi zemeljski [krog] bo trden, ki ne bo omajan.
31 Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; semeni katikati ya mataifa, “Bwana anatawala!”
Naj bodo nebesa vesela in naj se zemlja veseli, in ljudje naj govorijo med narodi: » Gospod kraljuje.«
32 Bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake; mashamba na yashangilie, na vyote vilivyomo ndani yake.
Naj buči morje in njegova polnost. Naj se polja veselijo in vse, kar je na njih.
33 Kisha miti ya msituni itaimba, itaimba kwa furaha mbele za Bwana, kwa maana anakuja kuihukumu dunia.
Potem bodo gozdna drevesa prepevala ob Gospodovi prisotnosti, ker on prihaja, da sodi zemljo.
34 Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
Oh zahvaljujte se Gospodu, ker je dober, kajti njegovo usmiljenje traja za vedno.
35 Mlilieni, “Ee Mungu Mwokozi wetu, tuokoe. Tukusanye tena na utukomboe kutoka kwa mataifa, ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu, na kushangilia katika sifa zako.”
Recite: »Reši nas, oh Bog rešitve naših duš, zberi nas skupaj in nas osvobodi pred pogani, da se bomo lahko zahvaljevali tvojemu svetemu imenu in slavili v tvoji hvali.
36 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele. Nao watu wote wakasema, “Amen,” na “Msifuni Bwana.”
Blagoslovljen bodi Gospod, Izraelov Bog na veke vekov.« In vse ljudstvo je reklo: »Amen« in hvalilo Gospoda.
37 Daudi akamwacha Asafu na wenzake mbele ya Sanduku la Agano la Bwana ili wahudumu humo mara kwa mara, kulingana na mahitaji ya kila siku.
Tako je tam, pred skrinjo Gospodove zaveze, pustil Asáfa in njegove brate, da nenehno služijo pred skrinjo, kakor je zahtevalo vsakodnevno delo,
38 Pia akamwacha Obed-Edomu pamoja na wenzake sitini na wanane wahudumu pamoja nao. Obed-Edomu mwana wa Yeduthuni na pia Hosa walikuwa mabawabu wa lango.
in Obéd Edóma z oseminšestdesetimi njihovimi brati; tudi Jedutúnovega sina Obéd Edóma in Hosája, da bosta vratarja;
39 Daudi akamwacha kuhani Sadoki pamoja na makuhani wenzake mbele ya hema ya ibada ya Bwana katika mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni
in duhovnika Cadóka in njegove brate duhovnike pred Gospodovim šotorskim svetiščem na visokem kraju, ki je bil pri Gibeónu,
40 ili kutoa sadaka za kuteketezwa kwa Bwana kwenye madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa mara kwa mara, asubuhi na jioni, sawasawa na kila kitu kilichoandikwa katika sheria ya Bwana ambayo alikuwa amempa Israeli.
da darujejo žgalne daritve Gospodu na oltarju, nenehne žgalne daritve, jutranje in večerne in da storijo glede na vse, kar je pisano v Gospodovi postavi, ki jo je zapovedal Izraelu;
41 Waliohudumu pamoja nao walikuwa Hemani, Yeduthuni na wale wote waliochaguliwa na kutajwa kwa jina kumpa Bwana shukrani, “Kwa maana fadhili zake zadumu milele.”
in z njimi Hemána, Jedutúna in druge, ki so bili izbrani, ki so bili določeni po imenu, da se zahvaljujejo Gospodu, ker njegovo usmiljenje traja večno;
42 Hemani na Yeduthuni walikuwa na wajibu wa kupiga tarumbeta, matoazi na kutumia vyombo vingine kwa ajili ya nyimbo za sifa kwa Mungu. Wana wa Yeduthuni waliwekwa langoni.
in z njimi Hemána in Jedutúna s trobentami in cimbalami za tiste, da bi igrali in z Božjimi glasbenimi instrumenti. Jedutúnovi sinovi pa so bili vratarji.
43 Kisha watu wote wakaondoka, kila mmoja akarudi nyumbani kwake, naye Daudi akarudi nyumbani kuibariki jamaa yake.
In vse ljudstvo je odšlo vsak človek k svoji hiši, in David se je vrnil, da blagoslovi svojo hišo.

< 1 Nyakati 16 >