< 1 Nyakati 15 >

1 Baada ya Daudi kujijengea nyumba zake katika Mji wa Daudi, akatengeneza sehemu kwa ajili ya Sanduku la Mungu, kisha akasimamisha hema kwa ajili yake.
Da: ibidi da Da: ibidi Moilai Bai Bagade amo ganodini ea diasu gaguli gagai. Amola, e da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ligisimusa: , abula diasu gagui.
2 Kisha Daudi akasema, “Hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kulibeba Sanduku la Mungu isipokuwa Walawi peke yao, kwa sababu Bwana aliwachagua kulibeba Sanduku la Bwana na kuhudumu mbele zake milele.”
Amalalu, e amane sia: i, “Lifai fi dunu, ilia fawane da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli masunu. Bai Gode da ilia amo gaguli masa: ne amola Ea hawa: eso huluane hamonanoma: ne ilegei.
3 Daudi akawakusanya Israeli wote huko Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la Bwana na kulileta hadi kwenye sehemu aliyokuwa ametengeneza kwa ajili yake.
Amaiba: le, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli misa: ne, Da: ibidi da Isala: ili dunu huluane ema misa: ne sia: i.
4 Kisha Daudi akawakusanya pamoja wazao wa Aroni na Walawi:
Amalalu, e da Elane egaga fi dunu amola Lifai fi dunu huluane, ema misa: ne sia: i.
5 Kutoka wazao wa Kohathi, Urieli kiongozi na ndugu zake 120,
Lifai fi sosogo afae da Gouha: de sosogo fi. Gouha: de sosogo amoga, dunu ea dio amo Iuiele da misi. E da 120 dunu agoane ouligi.
6 Kutoka wazao wa Merari, Asaya kiongozi na ndugu zake 220.
Milalai sosogo amoga, Asa: ia da misi. E da dunu 220 agoane ouligi.
7 Kutoka wazao wa Gershoni, Yoeli kiongozi na ndugu zake 130.
Gesione sosogo amoga, Youele da misi. E da dunu 130 agoane ouligi.
8 Kutoka wazao wa Elisafani, Shemaya kiongozi na ndugu zake 200.
Elisa: ifa: ne sosogo amoga, Siema: ia da misi. E da dunu 200 agoane ouligi.
9 Kutoka wazao wa Hebroni, Elieli kiongozi na ndugu zake 80.
Hibalone sosogo amoga, Ilaiele da misi. E da dunu 80 agoane ouligi.
10 Kutoka wazao wa Uzieli, Aminadabu kiongozi na ndugu zake 112.
Asaiele sosogo amoga, Aminada: be da misi. E da dunu 112 agoane ouligi.
11 Kisha Daudi akawaita makuhani Sadoki na Abiathari, pamoja na Walawi Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli na Aminadabu.
Da: ibidi da gobele salasu dunu Sa: idoge amola Abaia: da amola Lifai dunu gafeale (Iuliele, Asa: ia, Youele, Siema: ia, Ilaiele amola Aminada: be) amo ema misa: ne sia: i.
12 Akawaambia, “Ninyi ndio viongozi wa jamaa za Walawi. Ninyi pamoja na Walawi wenzenu inawapasa mjitakase na kulipandisha Sanduku la Bwana, Mungu wa Israeli hadi mahali ambapo nimetengeneza kwa ajili yake.
E da Lifai dunuma amane sia: i, “Dilia da Lifai sosogo fi ilima ouligisu dunu. Dilia amola dilia fi dunu, nigima: noga: le dodofema: ne, hano ulima! Bai dilia da Isala: ili Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili, amo na hamoi sogebiga gaguli misunu.
13 Ilikuwa ni kwa sababu hii, ninyi Walawi, hamkulipandisha Sanduku la Bwana mara ya kwanza, hata ikasababisha Bwana Mungu wetu kuwaka hasira dhidi yetu. Hatukumuuliza jinsi ya kufanya ili tupate kulileta jinsi alivyoagiza.”
Ninia da musa: amo gaguli misunu galu. Be dilia da amo gaguli misa: ne hame madelaiba: le, ninia Hina Gode da ninima se iasu i. Bai ninia Ema nodone sia: ne gadosu hou da defele hame ba: i.
14 Kwa hiyo makuhani pamoja na Walawi wakajitakasa ili kulipandisha Sanduku la Bwana, Mungu wa Israeli.
Amalalu, Isala: ili Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli masa: ne momagemusa: , gobele salasu dunu amola Lifai fi dunu ilia nigima: noga: le dodofei.
15 Nao Walawi wakalichukua Sanduku la Mungu mabegani mwao wakitumia mipiko, kama vile Mose alivyoamuru sawasawa na neno la Bwana.
Lifai dunu da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i Mousese ea lafidili sia: i defele, ilia da Gode Ea Gousa: su Sema gagili, doufale, lelegele gisawane asi.
16 Daudi akawaambia viongozi wa Walawi kuwaweka ndugu zao waimbaji ili waimbe nyimbo za shangwe, wakiwa na vyombo vya uimbaji: zeze, vinubi na matoazi.
Da: ibidi da sia: beba: le, Lifai fi ouligisu dunu ilia da Lifai fi dunu mogili, gesami hea: ma: ne amola sani baidama amola giga: mesa duma: ne ilegei.
17 Basi Walawi wakawaweka Hemani mwana wa Yoeli; kutoka miongoni mwa ndugu zake, Asafu mwana wa Berekia; kutoka miongoni mwa ndugu zao Wamerari, Ethani mwana wa Kushaiya;
Ilia da gesami hea: su fi amoga, dunu da balasega hamoi giga: mesa duma: ne ilegei. Amo dunu da, Hima: ne (Youele egefe), Hima: ne sosogo fi dunu A: isa: fe (Belegaia egefe) amola Milalai fi dunu Ida: ne (Giusia: ia egefe). Amo dunu fidima: ne, ilia da hagudu dedei Lifai dunu amo sani baidama hegesuane duma: ne, ilegei. Amo dunu da Segalaia, Ya: isiele, Similamode, Yihaiele, Unai, Ilaia: be, Ma: iasia amola Bina: ia. Hagumui sani baidama duma: ne, ilia da amo Lifai fi dunu ilegei: - Ma: didaia, Ilaifelehiu, Miginia, A:isasaia amola Debolo Diasu sosodo aligisu dunu (Oubede Idome amola Yiaiele).
18 hawa ndio waliochaguliwa kuwa wasaidizi wao: Zekaria, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaya, Maaseya, Matithia, Elifelehu, Mikneya, pamoja na mabawabu Obed-Edomu na Yehieli.
19 Waimbaji Hemani, Asafu na Ethani walichaguliwa kupiga matoazi ya shaba;
20 Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Maaseya na Benaya walikuwa wapiga zeze kufuatana na sauti ya alamothi,
21 na Matithia, Elifelehu, Mikneya, Obed-Edomu, Yehieli na Azazia walikuwa wapiga vinubi, wakiongozwa kwa kufuata sauti ya sheminithi.
22 Kenania kiongozi wa Walawi alikuwa msimamizi wa uimbaji; huu ndio uliokuwa wajibu wake kwa sababu alikuwa stadi katika hilo.
Ilia da Lifai fi dusu liligi dawa: dunu huluane ouligima: ne, Belegaia, Elega: ina, Oubede Idome amola Yiaiele amo ilegei.
23 Berekia na Elikana walikuwa mabawabu kwa ajili ya Sanduku.
Ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili sosodo aligima: ne, Belegaia, Elega: ina, Oubede Idome amola Yiaiele amo ilegei. Ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili midadi dalabede fulaboma: ne, gobele salasu dunu ilelegei. Ilia da Siebanaia, Yosiafa: de, Nida: niele, Amasa: iai, Segalaia, Bina: ia amola Elia: isa.
24 Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, makuhani, walikuwa wapiga tarumbeta mbele ya Sanduku la Mungu. Obed-Edomu na Yehiya waliwekwa pia kuwa mabawabu wa Sanduku.
25 Basi Daudi pamoja na wazee wa Israeli na majemadari wa vikosi vya elfu wakaenda ili kulipandisha Sanduku la Agano la Bwana kutoka nyumba ya Obed-Edomu kwa shangwe.
Hina bagade Da: ibidi, Isala: ili ouligisu dunu amola dadi gagui wa: i ouligisu dunu da Oubede Idome ea diasuga Gode Ea Gousa: su Sema Gagili lamusa: asi. E da hahawane gilisisu bagade hamone, Gousa: su Sema Gagili amo Oubede Idome ea diasuga lale, bu Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asi.
26 Kwa sababu Mungu alikuwa amewasaidia Walawi waliokuwa wanalichukua Sanduku la Agano la Bwana, mafahali saba na kondoo dume saba walitolewa dhabihu.
Gode da Lifai dunu amo da Sema Gagili gaguli masa: ne esalu, amo noga: le fidima: ne, ilia da bulamagau gawali fesuale amola sibi fesuale gala Godema gobele sali.
27 Basi Daudi alikuwa amevaa joho la kitani safi, kama walivyokuwa wamevaa Walawi wote waliokuwa wanalichukua lile Sanduku, waimbaji nao walivaa vivyo hivyo, pamoja na Kenania aliyekuwa anaongoza nyimbo za waimbaji. Daudi alivaa pia kisibau cha kitani safi.
Da: ibidi, gesami hea: lala dusu dunu, ilia ouligisu dunu Sienanaia amola Lifai dunu amo da Sema Gagili gaguli ahoa, ili huluane da ahea: iai abula noga: idafa buluale gale idiniginisi. Da: ibidi amola da ahea: iai abula Ifode (da: i salasu agoai) ga: i.
28 Hivyo Israeli wote wakalipandisha Sanduku la Agano la Bwana kwa shangwe, wakipiga pembe za kondoo dume, tarumbeta, matoazi, wakipiga zeze na vinubi.
Amola e amola Isala: ili dunu huluane ilia da nodone wele sisa: ne amola ‘dalabede’ fulabolala, edado fasu dunana, ilia da Gousa: su Sema Gagili Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asi.
29 Sanduku la Agano la Bwana lilipokuwa linaingia katika Mji wa Daudi, Mikali binti Sauli akachungulia dirishani. Naye alipomwona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea, akamdharau moyoni mwake.
Ilia da Gousa: su Sema Gagili amo Yelusaleme ganodini gaguli ahoanoba, Solo idiwi Maiga: le da fo misa: ne agenesi amoga gadili ba: lu, hina bagade Da: ibidi giginisa lalebe amola soagala: ga gadolalebe ba: beba: le, e higale ba: i.

< 1 Nyakati 15 >