< 1 Nyakati 11 >
1 Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako.
Então todo Israel se reuniu a David em Hebron, dizendo: “Eis que nós somos seus ossos e sua carne.
2 Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, naye Bwana Mungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’”
Em tempos passados, mesmo quando Saul era rei, foi você quem conduziu e trouxe para Israel. Javé teu Deus te disse: “Serás pastor do meu povo Israel, e serás príncipe sobre o meu povo Israel”.
3 Wazee wote wa Israeli walipokuwa wamewasili kwa Mfalme Daudi huko Hebroni, alifanya mapatano nao huko Hebroni mbele za Bwana, nao wakamtia Daudi mafuta awe mfalme wa Israeli, sawasawa na Bwana alivyoahidi kupitia kwa Samweli.
Então todos os anciãos de Israel vieram ao rei em Hebron; e Davi fez um pacto com eles em Hebron antes de Yahweh. Eles ungiram Davi rei sobre Israel, de acordo com a palavra de Iavé por Samuel.
4 Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo
David e todo Israel foram a Jerusalém (também chamada Jebus); e os jebusitas, os habitantes da terra, estavam lá.
5 wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.” Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
Os habitantes de Jebus disseram a Davi: “Você não entrará aqui”! No entanto, Davi tomou o bastião de Sião. A mesma é a cidade de Davi.
6 Daudi alikuwa amesema, “Yeyote aongozaye mashambulizi dhidi ya Wayebusi, atakuwa jemadari mkuu.” Yoabu mwana wa Seruya akawa wa kwanza kukwea, naye akawa mkuu.
David tinha dito: “Quem atacar primeiro os jebuseus será chefe e capitão”. Joab, filho de Zeruia, subiu primeiro, e foi nomeado chefe.
7 Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.
Davi vivia na fortaleza; por isso lhe chamavam a cidade de Davi.
8 Akajenga mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu.
Ele construiu a cidade ao redor, desde Millo até mesmo ao redor; e Joabe reparou o resto da cidade.
9 Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu Bwana Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.
David cresceu cada vez mais, pois Yahweh de Exércitos estava com ele.
10 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa mashujaa wa Daudi: wao pamoja na Israeli wote wakauimarisha ufalme wake ili kuenea katika nchi yote, kama Bwana alivyoahidi.
Now estes são os chefes dos homens poderosos que David teve, que se mostraram fortes com ele em seu reino, junto com todo Israel, para fazê-lo rei, de acordo com a palavra de Iavé a respeito de Israel.
11 Hii ndio orodha ya mashujaa wa Daudi: Yashobeamu, Mhakmoni, alikuwa mkuu wa maafisa; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua katika pambano moja.
Este é o número dos homens poderosos que David tinha: Jashobeam, o filho de um hachmonita, o chefe dos trinta; ele levantou sua lança contra trezentos e os matou de uma só vez.
12 Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu.
Depois dele foi Eleazar, o filho de Dodo, o Ahohite, que era um dos três homens poderosos.
13 Huyo alikuwa pamoja na Daudi huko Pas-Damimu, wakati Wafilisti walikusanyika huko kwa ajili ya vita. Huko ambapo kulikuwa na shamba lililokuwa limejaa shayiri, vikosi vya Israeli vikawakimbia Wafilisti.
Ele estava com David em Pasdammim, e ali os filisteus estavam reunidos para a batalha, onde havia um terreno cheio de cevada; e o povo fugiu de antes dos filisteus.
14 Lakini Eleazari na Daudi wakasimama imara katikati ya lile shamba, nao wakalishindania na wakawaua Wafilisti. Naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.
Eles ficaram no meio da trama, defenderam-na e mataram os filisteus; e Yahweh os salvou com uma grande vitória.
15 Wakuu watatu miongoni mwa wale thelathini, walimwendea Daudi katika mwamba huko kwenye pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.
Três dos trinta chefes desceram à rocha para David, na caverna de Adullam; e o exército dos filisteus estava acampado no vale de Rephaim.
16 Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.
David estava então na fortaleza, e a guarnição dos filisteus estava em Belém naquela época.
17 Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilichoko karibu na lango la Bethlehemu!”
David ansiava, e disse: “Oh, que alguém me desse água para beber do poço de Belém, que está junto ao portão”!
18 Kwa hivyo wale watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti, wakachota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Bwana.
Os três romperam o exército dos filisteus e tiraram água do poço de Belém que estava junto ao portão, tomaram-na e trouxeram-na a David; mas David não quis beber nada dela, mas derramou-a para Iavé,
19 Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa. Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.
e disse: “Meu Deus me livre, que eu faça isso! Devo beber o sangue destes homens que colocaram suas vidas em perigo?” Pois eles arriscaram suas vidas para trazê-lo. Portanto, ele não o beberia. Os três homens poderosos fizeram estas coisas.
20 Abishai, ndugu yake Yoabu ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.
Abishai, o irmão de Joab, era o chefe dos três; pois ele levantou sua lança contra trezentos e os matou, e tinha um nome entre os três.
21 Alitunukiwa heshima maradufu ya wale Watatu, akawa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.
Dos três, ele era mais honrado que os dois, e foi nomeado seu capitão; no entanto, ele não foi incluído nos três.
22 Benaya, mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.
Benaiah, filho de Jehoiada, filho de um valente homem de Kabzeel, que tinha feito grandes feitos, matou os dois filhos de Ariel de Moab. Ele também desceu e matou um leão no meio de um poço em um dia de neve.
23 Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi mwake, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyangʼanya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.
Ele matou um egípcio, um homem de grande estatura, de cinco côvados de altura. Na mão do egípcio estava uma lança como uma trave de tecelão; e desceu até ele com um bastão, arrancou a lança da mão do egípcio, e o matou com sua própria lança.
24 Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.
Benaiah, o filho de Jehoiada, fez estas coisas e tinha um nome entre os três homens poderosos.
25 Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu: Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.
Eis que ele era mais honrado que os trinta, mas não chegou aos três; e David o colocou sobre sua guarda.
26 Wale watu mashujaa walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
Os homens poderosos dos exércitos também incluem Asahel o irmão de Joab, Elhanan o filho de Dodo de Belém,
27 Shamothi Mharori, Helesi Mpeloni,
Shammoth o Harorita, Helez o Pelonita,
28 Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,
Ira o filho de Ikkesh o Tecoíta, Abiezer o Anatotita,
29 Sibekai Mhushathi, Ilai Mwahohi,
Sibbecai o Hushathite, Ilai o Ahohite,
30 Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,
Maharai o Netofatita, Heled o filho de Baanah o Netofatita,
31 Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini, Benaya Mpirathoni,
Ithai o filho de Ribai de Gibeah dos filhos de Benjamim, Benaiah o Piratonita,
32 Hurai kutoka mabonde ya Gaashi, Abieli Mwaribathi,
Hurai dos riachos de Gaash, Abiel o Arbatita,
33 Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
Azmaveth o Baharumita, Eliahba o Shaalbonita,
34 wana wa Hashemu Mgiloni, Yonathani mwana wa Shagee Mharari,
os filhos de Hashem o Gizonita, Jonathan o filho de Shagee o Hararita,
35 Ahiamu mwana wa Sakari Mharari, Elifale mwana wa Uru,
Ahiam o filho de Sacar o Hararita, Eliphal o filho de Ur,
36 Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni,
Hepher o Mecheratita, Ahijah o Pelonita,
37 Hezro Mkarmeli, Naarai mwana wa Ezbai,
Hezro o Carmelita, Naarai o filho de Ezbai,
38 Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri,
Joel o irmão de Nathan, Mibhar o filho de Hagri,
39 Seleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
Zelek o amonita, Naharai o berotítico (o portador da armadura de Joab o filho de Zeruiah),
40 Ira Mwithiri, Garebu Mwithiri,
Ira o itrita, Gareb o itrita,
41 Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai,
Uriah o hitita, Zabad o filho de Ahlai,
42 Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,
Adina o filho de Shiza o reubenita (um chefe dos reubenitas), e trinta com ele,
43 Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni,
Hanan o filho de Maacah, Joshaphat o Mithnite,
44 Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,
Uzzia o Ashterathite, Shama e Jeiel os filhos de Hotham o Aroerite,
45 Yediaeli mwana wa Shimri, nduguye Yoha Mtizi,
Jediael o filho de Shimri, e Joha seu irmão, o Tizite,
46 Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, Ithma Mmoabu,
Eliel o Mahavite, e Jeribai, e Joshaviah, os filhos de Elnaam, e Ithmah o Moabite,
47 Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.
Eliel, Obed, e Jaasiel o Mezobaite.