< 1 Nyakati 11 >

1 Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako.
Derpaa samlede hele Israel sig hos David i Hebron og sagde: »Vi er jo dit Kød og Blod!
2 Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, naye Bwana Mungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’”
Allerede før i Tiden, medens Saul var Konge, var det dig, som førte Israel ud i Kamp og hjem igen; og HERREN din Gud sagde til dig: Du skal vogte mit Folk Israel og være Hersker over mit Folk Israel!«
3 Wazee wote wa Israeli walipokuwa wamewasili kwa Mfalme Daudi huko Hebroni, alifanya mapatano nao huko Hebroni mbele za Bwana, nao wakamtia Daudi mafuta awe mfalme wa Israeli, sawasawa na Bwana alivyoahidi kupitia kwa Samweli.
Og alle Israels Ældste kom til Kongen i Hebron, og David sluttede i Hebron Pagt med dem for HERRENS Aasyn, og de salvede David til Konge over Israel efter HERRENS Ord ved Samuel.
4 Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo
Derpaa drog David med hele Israel til Jerusalem, det er Jebus; der boede Jebusiterne, Landets oprindelige Indbyggere;
5 wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.” Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
og Indbyggerne i Jebus sagde til David: »Her kan du ikke trænge ind!« Men David indtog Klippeborgen Zion, det er Davidsbyen.
6 Daudi alikuwa amesema, “Yeyote aongozaye mashambulizi dhidi ya Wayebusi, atakuwa jemadari mkuu.” Yoabu mwana wa Seruya akawa wa kwanza kukwea, naye akawa mkuu.
Og David sagde: »Den, der først slaar en Jebusit, skal være Øverste og Hærfører!« Og da Joab, Zerujas Søn, var den første, der steg derop, blev han Øverste.
7 Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.
Saa tog David Bolig i Klippeborgen, hvorfor man kaldte den Davidsbyen;
8 Akajenga mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu.
og han befæstede Byen hele Vejen rundt fra Millo af; Resten af Byen genopførte Joab.
9 Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu Bwana Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.
Og David blev mægtigere og mægtigere; Hærskarers HERRE var med ham.
10 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa mashujaa wa Daudi: wao pamoja na Israeli wote wakauimarisha ufalme wake ili kuenea katika nchi yote, kama Bwana alivyoahidi.
Følgende var de ypperste at Davids Helte, som sammen med hele Israel kraftig stod ham bi med at naa Kongedømmet, saa de fik ham valgt til Konge efter HERRENS Ord til Israel.
11 Hii ndio orodha ya mashujaa wa Daudi: Yashobeamu, Mhakmoni, alikuwa mkuu wa maafisa; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua katika pambano moja.
Navnene paa Davids Helte var følgende: Isjba'al, Hakmonis Søn, Anføreren for de tre; det var ham, som engang svang sit Spyd over 300 faldne paa een Gang.
12 Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu.
Blandt de tre Helte kom efter ham Ahohiten El'azar, Dodos Søn;
13 Huyo alikuwa pamoja na Daudi huko Pas-Damimu, wakati Wafilisti walikusanyika huko kwa ajili ya vita. Huko ambapo kulikuwa na shamba lililokuwa limejaa shayiri, vikosi vya Israeli vikawakimbia Wafilisti.
han var med David ved Pas-Dammim, dengang Filisterne samlede sig der til Kamp. Marken var fuld af Byg, og Folkene flygtede for Filisterne;
14 Lakini Eleazari na Daudi wakasimama imara katikati ya lile shamba, nao wakalishindania na wakawaua Wafilisti. Naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.
men han stillede sig op midt paa Marken og holdt den og huggede Filisterne ned; og HERREN gav dem en stor Sejr.
15 Wakuu watatu miongoni mwa wale thelathini, walimwendea Daudi katika mwamba huko kwenye pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.
Engang drog tre af de tredive ned til David paa Klippen, til Adullams Hule, medens Filisternes Hær var lejret i Refaimdalen.
16 Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.
David var dengang i Klippeborgen, medens Filisternes Foged var i Betlehem.
17 Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilichoko karibu na lango la Bethlehemu!”
Saa vaagnede Lysten hos David, og han sagde: »Hvem skaffer mig en Drik Vand fra Cisternen ved Betlehems Port?«
18 Kwa hivyo wale watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti, wakachota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Bwana.
Da banede de tre Helte sig Vej gennem Filisternes Lejr, øste Vand af Cisternen ved Betlehems Port og bragte David det. Han vilde dog ikke drikke det, men udgød det for HERREN
19 Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa. Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.
med de Ord: »Gud vogte mig for at gøre det! Skulde jeg drikke de Mænds blod, som har vovet deres Liv? Thi med Fare for deres Liv har de hentet det!« Og han vilde ikke drikke det. Den Daad udførte de tre Helte.
20 Abishai, ndugu yake Yoabu ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.
Abisjaj, Joabs Broder, var Anfører for de tredive. Han svang sit Spyd over de faldne, og han var navnkundig blandt de tredive;
21 Alitunukiwa heshima maradufu ya wale Watatu, akawa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.
iblandt de tredive var han højt æret, og han var deres Anfører; men de tre naaede han ikke.
22 Benaya, mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.
Benaja, Jojadas Søn, var en tapper Mand fra Kabze'el, der havde udført store Heltegerninger; han fældede de to Arielsønner fra Moab; og han steg ned og fældede en Løve i en Cisterne, en Dag den var faldet Sne.
23 Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi mwake, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyangʼanya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.
Ligeledes fældede han Ægypteren, en kæmpestor Mand, fem Alen høj. Ægypteren havde et Spyd som en Væverbom i Haanden, men han gik ned imod ham med en Stok, vristede Spydet ud af Haanden paa ham og dræbte ham med hans eget Spyd.
24 Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.
Disse Heltegerninger udførte Benaja, Jojadas Søn, og han var navnkundig iblandt de tredive Helte;
25 Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu: Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.
iblandt de tredive var han højt æret, men de tre naaede han ikke. David satte ham over sin Livvagt.
26 Wale watu mashujaa walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
De tapre Helte var: Asa'el, Joabs Broder; Elhanan, Dodos Søn, fra Betlehem;
27 Shamothi Mharori, Helesi Mpeloni,
Haroriten Sjammot; Peloniten Helez;
28 Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,
Ira, Ikkesj's Søn, fra Tekoa; Abiezer fra Anatot;
29 Sibekai Mhushathi, Ilai Mwahohi,
Husjatiten Sibbekaj; Ahohiten Ilaj;
30 Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,
Maharaj fra Netofa; Heled, Ba'anas Søn, fra Netofa;
31 Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini, Benaya Mpirathoni,
Itaj, Ribajs Søn, fra det benjaminitiske Gibea; Benaja fra Pir'aton;
32 Hurai kutoka mabonde ya Gaashi, Abieli Mwaribathi,
Huraj fra Nahale-Ga'asj; Abiel fra Araba;
33 Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
Azmavet fra Bahurim; Sja'alboniten Eljaba;
34 wana wa Hashemu Mgiloni, Yonathani mwana wa Shagee Mharari,
Guniten Jasjen; Harariten Jonatan, Sjammas, Søn;
35 Ahiamu mwana wa Sakari Mharari, Elifale mwana wa Uru,
Harariten Ahi'am, Sakars Søn; Elifal, Urs Søn;
36 Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni,
Mekeratiten Hefer; Peloniten Ahija;
37 Hezro Mkarmeli, Naarai mwana wa Ezbai,
Hezro fra Karmel; Na'araj, Ezbajs Søn;
38 Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri,
Joel, Natans Broder; Mibhar, Hagritens Søn;
39 Seleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
Ammoniten Zelek; Naharaj fra Berot, der var Joabs, Zerujas Søns, Vaabendrager;
40 Ira Mwithiri, Garebu Mwithiri,
Ira fra Jattir; Gareb fra Jattir;
41 Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai,
Hetiten Urias; Zabad, Alajs Søn;
42 Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,
Rubeniten Adina, Sjizas Søn, et af Rubeniternes Overhoveder over tredive;
43 Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni,
Hanan, Ma'akas Søn; Mitniten Josjafat;
44 Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,
Uzzija fra Asjtarot; Sjama og Je'uel, Aroeriten Hotams Sønner;
45 Yediaeli mwana wa Shimri, nduguye Yoha Mtizi,
Jediael, Sjimris Søn, og hans Broder Tiziten Joha;
46 Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, Ithma Mmoabu,
Mahaviten Eliel; Jeribaj og Josjavja, Elna'ams Sønner; Moabiten Jitma;
47 Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.
Eliel, Obed og Ja'asiel fra Zoba.

< 1 Nyakati 11 >