< 1 Nyakati 11 >

1 Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako.
Israel pum te Hebron kah David taengla tingtun uh tih, “Kaimih he na rhuh neh na saa ni he.
2 Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, naye Bwana Mungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’”
Hlaem hlavai kah na manghai Saul a om vaengah pataeng Israel te na vuenva puei tih na kunael puei. Te dongah ni na Pathen BOEIPA loh namah taengah, “Nang tah ka pilnam Israel na luem puei vetih nang he ka pilnam Israel soah rhaengsang la na om ni, ' a ti,” a ti na uh.
3 Wazee wote wa Israeli walipokuwa wamewasili kwa Mfalme Daudi huko Hebroni, alifanya mapatano nao huko Hebroni mbele za Bwana, nao wakamtia Daudi mafuta awe mfalme wa Israeli, sawasawa na Bwana alivyoahidi kupitia kwa Samweli.
Israel kah a ham boeih khaw Hebron kah manghai taengla pawk uh tih David loh amih neh Hebron kah BOEIPA mikhmuh ah paipi a saii. Te phoeiah Samuel kut dongkah BOEIPA ol vanbangla David te Israel sokah manghai la a koelh uh.
4 Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo
Te vaengah David neh Israel boeih tah Jebus Jerusalem la cet uh. Te khohmuen kah khosa rhoek tah Jebusi rhoek ni.
5 wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.” Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
Te vaengah Jebus kah khosa rhoek loh David te, “Hela ha kun boeh,” a ti nah. Tedae David loh David khopuei kah Zion rhalvong te a rhawt pah.
6 Daudi alikuwa amesema, “Yeyote aongozaye mashambulizi dhidi ya Wayebusi, atakuwa jemadari mkuu.” Yoabu mwana wa Seruya akawa wa kwanza kukwea, naye akawa mkuu.
Te phoeiah David loh, “Lamhma la Jebusi aka ngawn boeih tah boeilu la, mangpa la om saeh,” a ti nah. Te dongah Zeruiah capa Joab te lamhma la cet tih boeilu la pahoi om van.
7 Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.
David loh te kah rhalmahim ah kho a sak dongah ni David khopuei la a khue uh.
8 Akajenga mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu.
Khopuei te a kaepvai kah vaikhap lamloh khotaeng khovai hil a thoh tih a caknoi khopuei te Joab loh a hing sak.
9 Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu Bwana Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.
David te pongpa, pongpa tih a pantai vanbangla caempuei BOEIPA khaw anih taengah om.
10 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa mashujaa wa Daudi: wao pamoja na Israeli wote wakauimarisha ufalme wake ili kuenea katika nchi yote, kama Bwana alivyoahidi.
He tah a ram khuiah anih aka duel David kah boeilu hlangrhalh rhoek neh Israel sokah BOEIPA ol bangla anih aka manghai sak Israel cungkuem rhoek coeng ni.
11 Hii ndio orodha ya mashujaa wa Daudi: Yashobeamu, Mhakmoni, alikuwa mkuu wa maafisa; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua katika pambano moja.
David kah hlangrhalh hlangmi he tah sawmthum kah boeilu, rhalboei Hakhomi capa Jashobeam. Anih loh a caai te a haeng tih ya thum te voei khat la a rhokpam sak.
12 Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu.
Anih hmatoeng ah Akhohi Dodo capa Eleazar. Anih khaw hlangrhalh pathum khuikah ni.
13 Huyo alikuwa pamoja na Daudi huko Pas-Damimu, wakati Wafilisti walikusanyika huko kwa ajili ya vita. Huko ambapo kulikuwa na shamba lililokuwa limejaa shayiri, vikosi vya Israeli vikawakimbia Wafilisti.
Anih te Pasdammin ah khaw David taengah ni a. om. Te vaengah Philisti rhoek tah caemtloek la pahoi tingtun uh. Lohma kah khamyai te cangtun khawk om pueng dae pilnam tah Philisti mikhmuh lamloh rhaelrham uh.
14 Lakini Eleazari na Daudi wakasimama imara katikati ya lile shamba, nao wakalishindania na wakawaua Wafilisti. Naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.
Lohma li ah pai uh tih khohmuen te a huul uh. Te dongah Philisti te a ngawn uh vaengah khaw BOEIPA loh loeihnah a len neh a khang.
15 Wakuu watatu miongoni mwa wale thelathini, walimwendea Daudi katika mwamba huko kwenye pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.
Boeilu sawmthum lamkah pathum te Adullam lungko lungpang kah David taengla a suntlak uh vaengah Philisti caem tah Rephaim kol ah rhaeh uh.
16 Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.
David te rhalvong ah a om kuelhuelh vaengah Philisti khohung te Bethlehem ah om van.
17 Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilichoko karibu na lango la Bethlehemu!”
David loh Bethlehem vongka kah tuito lamkah tui te a ngaidam, a ngaidam vaengah tah, “Kai he u long nim n'tul lah ve?” a ti.
18 Kwa hivyo wale watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti, wakachota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Bwana.
Pathum long te Philisti rhaehhmuen te a va uh tih vongka taengkah Bethlehem tuito lamkah tui te a than uh. Te phoeiah a khuen uh tih David taengla pawk uh. Tedae David loh te te a ok ham huem pawt tih BOEIPA ham a suep.
19 Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa. Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.
Te phoeiah, “He saii ham he kamah lamkah khaw, ka Pathen taeng lamkah khaw savisava saeh. A hinglu te a kun puei uh coeng dongah hinglu dongkah hlang thii he a ka ok eh?” a ti. Te dongah hlangrhalh pathum loh a saii pah te ok hamla huem pawh.
20 Abishai, ndugu yake Yoabu ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.
Te vaengah Joab mana Abishai tah te rhoek pathum kah a lu la om. Anih loh a caai a haeng tih ya thum te a rhokpam sak. Te dongah pawt nim anih te pathum lakli ah ming a om.
21 Alitunukiwa heshima maradufu ya wale Watatu, akawa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.
Pathum lakah khaw rhaep nit la a thangpom tih amih taengah mangpa la a om coeng dongah pathum lakli ah mop voel pawh.
22 Benaya, mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.
Kabzeel lamkah bisai aka ping, tatthai hlang capa, Jehoiada koca Benaiah loh Moab kah sathueng hlang rhoi te a tloek. Te phoeiah anih te vuelsong khohnin ah khaw suntla tih tangrhom khui kah sathueng te a ngawn bal.
23 Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi mwake, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyangʼanya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.
Anih loh Egypt hlang te khaw a ngawn. Tekah hlang te cungnueh ah dong nga lo. Egypt kut dongkah caai te hni tak kah tampai bangla om. Tedae anih te conghol neh a suntlak thil mai tih Egypt kut lamkah caai te a rhawth pah. Te phoeiah amah caai neh amah te a ngawn.
24 Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.
He tlam he Jehoiada capa Benaiah loh a saii dongah ni anih te a ming khaw hlangrhalh pathum lakah a om.
25 Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu: Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.
Sawmthum lakah khaw anih te amah la thangpom coeng ne. Tedae pathum taengla a mop thai voel pawt dongah anih te David loh a taengom la a khueh.
26 Wale watu mashujaa walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
Te vaengkah tatthai hlangrhalh rhoek tah Joab mana Asahel, Bethlehem lamkah Dodo capa Elhanan.
27 Shamothi Mharori, Helesi Mpeloni,
Haroree Shammoth, Pelonee Helez.
28 Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,
Tekoa Ikkesh capa Ira, Anatoth Abiezer.
29 Sibekai Mhushathi, Ilai Mwahohi,
Khushathi Sibbekhai neh Akhohi Ilai.
30 Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,
Netophah Maharai neh Netophah Baanah capa Heled.
31 Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini, Benaya Mpirathoni,
Benjamin koca Gibeah lamkah Ribai capa Ithai. Pirathon kah Benaiah.
32 Hurai kutoka mabonde ya Gaashi, Abieli Mwaribathi,
Gaash soklong lamkah Hurai neh Arbahi Abiel.
33 Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
Baharumi Azmaveth neh Shaalbin Eliaba.
34 wana wa Hashemu Mgiloni, Yonathani mwana wa Shagee Mharari,
Gizoni Hashem koca rhoek ah Harari Shagee capa Jonathan.
35 Ahiamu mwana wa Sakari Mharari, Elifale mwana wa Uru,
Harari Sakar capa Ahiam, Ur capa Eliphal.
36 Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni,
Mekerathi Hepher neh Pelonee Ahijah.
37 Hezro Mkarmeli, Naarai mwana wa Ezbai,
Karmel Hezro neh Ezbai capa Naari.
38 Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri,
Nathan mana Joel neh Hagri capa Mibhar.
39 Seleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
Ammoni Zelek neh Zeruiah capa Joab kah hno phuei Beroth Naharai.
40 Ira Mwithiri, Garebu Mwithiri,
Yitha Ira neh Yitha Gareb.
41 Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai,
Khitti Uriah neh Ahlai capa Zabad.
42 Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,
Reuben boeilu Reuben Shiza capa Adina neh a taengkah sawmthum.
43 Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni,
Maakah capa Hanan neh Mithini Joshaphat.
44 Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,
Ashtrarity Uzzia, Shamma, Jeuel neh Jeiel. Arori Hotham koca rhoek.
45 Yediaeli mwana wa Shimri, nduguye Yoha Mtizi,
Shimri capa Jediael neh a mana Tizi Joha.
46 Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, Ithma Mmoabu,
Makhavim Eliel, Jeribai, Elnaam koca Joshavi, Moab Ithmah.
47 Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.
Eliel, Obed neh Mezobah Jaasiel.

< 1 Nyakati 11 >