< 1 Nyakati 10 >

1 Basi Wafilisti wakapigana na Israeli. Waisraeli wakawakimbia, na wengi wakauawa katika mlima Gilboa.
Forsothe Filisteis fouyten ayens Israel, and the sones of Israel fledden Palestyns, and felden doun woundid in the hil of Gelboe.
2 Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua.
And whanne Filisteis hadde neiyed pursuynge Saul and hise sones, thei killiden Jonathan, and Abynadab, and Melchisue, the sones of Saul.
3 Mapigano yakawa makali kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale walipompata, wakamjeruhi.
And the batel was agreggid ayens Saul; and men archeris foundun hym, and woundiden hym with dartis.
4 Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Futa upanga wako unichome nao, la sivyo hawa watu wasiotahiriwa watakuja na kunidhalilisha.” Lakini mbeba silaha wake akaogopa sana wala hakuweza kufanya hivyo. Kwa hiyo Sauli akachukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia.
And Saul seide to his squiere, Drawe out thi swerd, and sle me, leste these vncircumcidid men come, and scorne me. Sothli his squyer was aferd bi drede, and nolde do this; therfor Saul took a swerd, and felde on it.
5 Mbeba silaha wake alipoona kwamba Sauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake akafa.
And whanne his squyer hadde seyn this, that is, that Saul was deed, he felde also on his swerd, and was deed.
6 Kwa hiyo Sauli na wanawe watatu wakafa, pamoja na nyumba yake yote.
Therfor Saul perischide, and hise thre sones, and al his hows felde doun togidere.
7 Waisraeli wote waliokuwa bondeni walipoona kwamba jeshi limekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, waliacha miji yao wakakimbia. Nao Wafilisti wakaja na kukaa humo.
And whanne the men of Israel, that dwelliden in feeldi places, hadden seyn this, thei fledden; and whanne Saul and hise sones weren deed, thei forsoken her citees, and weren scaterid hidur and thidur; and Filisteis camen, and dwelliden in tho.
8 Kesho yake Wafilisti walipokuja kuwavua maiti silaha, walimkuta Sauli na wanawe wameanguka katika Mlima Gilboa.
Therfor in the tother day Filisteis drowen awei the spuylis of slayn men, and founden Saul and hise sones liggynge in the hil of Gelboe.
9 Wakamvua mavazi, wakachukua kichwa chake pamoja na silaha zake, wakawatuma wajumbe katika nchi yote ya Wafilisti kutangaza habari hizi miongoni mwa sanamu zao na watu wao.
And whanne thei hadden spuylid hym, and hadden gird of the heed, and hadden maad hym nakid of armeris, thei senten in to her lond, that it schulde be borun aboute, and schulde be schewid in the templis of idols and to puplis;
10 Waliweka silaha zake katika hekalu la miungu yao, wakatundika kichwa chake katika hekalu la Dagoni.
forsothe thei halewiden his armeris in the temple of her god, and thei settiden the heed in the temple of Dagon.
11 Wakazi wote wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yote Wafilisti waliyomtendea Sauli,
Whanne men of Jabes of Galad hadden herd this, that is, alle thingis whiche the Filisteis diden on Saul,
12 mashujaa wao wote wakaondoka, wakautwaa mwili wa Sauli na miili ya wanawe, wakaileta Yabeshi. Wakaizika mifupa yao chini ya mti mkubwa huko Yabeshi, nao wakafunga kwa siku saba.
alle stronge men risiden togidere, and took the deed bodies of Saul and of hise sones, and brouyten tho in to Jabes; and thei birieden the boonus of hem vndur an ook, that was in Jabes; and thei fastiden seuene daies.
13 Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Bwana. Hakulishika neno la Bwana, hata akataka shauri kwa mwaguzi kwa ajili ya uongozi,
Therfor Saul was deed for hise wickidnessis, for he brak the comaundement of the Lord, whiche he comaundide, and kepte not it, but ferthirmore also he took counsel at a womman hauynge a feend spekynge in the wombe, and he hopide not in the Lord;
14 hakumuuliza Bwana. Kwa hiyo Bwana alimuua, na ufalme akampa Daudi mwana wa Yese.
for which thing both the Lord killide hym, and translatide his rewme to Dauid, sone of Ysay.

< 1 Nyakati 10 >