< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam pa papa tumal Seth, ac Seth pa papa tumal Enosh, ac Enosh pa papa tumal Kenan.
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan pa papa tumal Mahalalel, ac Mahalalel pa papa tumal Jared.
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Jared pa papa tumal Enoch, su papa tumal Methuselah. Methuselah pa papa tumal Lamech,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
su papa tumal Noah. Oasr wen tolu natul Noah: Shem, Ham, ac Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Wen natul Japheth pa Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech, ac Tiras. Tulik natulos kais sie ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Fwil natul Gomer pa mwet in acn Ashkenaz, Riphath, ac Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Fwil natul Javan pa mwet in acn Elishah, Spain, Cyprus, ac Rhodes.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Wen natul Ham pa Cush, Egypt, Libya, ac Canaan. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Fwil natul Cush pa mwet in acn Seba, Havilah, Sabtah, Raamah, ac Sabteca. Fwil natul Raamah pa mwet in acn Sheba ac Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
(Oasr wen se natul Cush su pangpang Nimrod, ac el pa mwet se emeet su watwen ke mweun fin fahlu.)
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Fwil natul Egypt pa mwet in acn Lydia, Anam, Lehab, Naphtuh,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Pathrus, Casluh, ac Crete. (Mwet in acn Crete pa papa tumun mwet Philistia.)
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Wen se meet natul Canaan pa Sidon, ac wen se akluo pa Heth. Tulik natultal kais sie, ac fwil nukewa tokoltal, elos ekin papa matu tumaltal ingan.
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Fwil natul Canaan pa mwet Jebus, mwet Amor, mwet Girgash,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
mwet Hiv, mwet Ark, mwet Sin,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
mwet Arvad, mwet Zemar, ac mwet Hamath.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Wen natul Shem pa Elam, Asshur, Arpachshad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether, ac Meshek. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos, elos ekin papa matu tumalos ingan.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arpachshad pa papa tumal Shelah, su papa tumal Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Oasr wen luo natul Eber: inen sie pa Peleg, ke sripen in pacl lal ah mwet fin faclu tuh fahsrelik. Inen tulik se wial ah pa Joktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Fwil natul Joktan pa mwet in acn Almodad, Sheleph, Hazarmaveth, Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Sheba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Havilah, ac Jobab.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Pa inge fwil natul Shem fahla nwe kacl Abram: Shem, Arpachshad, Shelah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
ac Abram (su oayapa pangpang Abraham).
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Oasr wen luo natul Abraham: elos pa Isaac ac Ishmael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Wen natul Ishmael elos sifen sruf singoul luo inge: Nebaioth (el pa wounse se), Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Naphish, ac Kedemah.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Oasr mutan kulansap se kial Abraham su inel pa Keturah, ac el oswela wen onkosr natul Abraham: elos pa Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak, ac Shuah. Oasr wen luo natul Jokshan: elos pa Sheba ac Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Oasr wen limekosr natul Midian: elos pa Ephah, Epher, Hanoch, Abida, ac Eldaah.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham pa papa tumal Isaac. Oasr wen luo natul Isaac: elos pa Esau ac Jacob.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Wen natul Esau pa Eliphaz, Reuel, Jeush, Jalam, ac Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Eliphaz pa papa tumun sruf inge: Teman, Omar, Zephi, Gatam, Kenaz, Timna, ac Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Reuel pa papa tumun sruf inge: Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Wen natul Seir pa Lotan, Shobal, Zibeon, Anah, Dishon, Ezer, ac Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Wen natul Lotan pa Hori ac Homam. Tamtael lal Lotan pa Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Wen natul Shobal pa Alvan, Manahath, Ebal, Shephi, ac Onam. Wen natul Zibeon pa Aiah ac Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Wen natul Anah pa Dishon, ac wen natul Dishon pa Hamran, Eshban, Ithran, ac Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Wen natul Ezer pa Bilhan, Zaavan, ac Jaakan. Ac wen natul Dishan pa Uz ac Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Pa inge inen tokosra su leum fin acn Edom meet liki oasr tokosra lun mwet Israel: Bela, wen natul Beor, su siti sel uh pa Dinhabah.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Ke Bela el misa, Jobab wen natul Zerah in acn Bozrah el aolul.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Ke Jobab el misa, Husham, sie mwet in acn Teman, el aolul.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Ke Husham el misa, Hadad wen natul Bedad, su kutangla mwet Midian in facl Moab, el aolul. Inen siti sel pa Avith.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Ke Hadad el misa, Samlah, sie mwet in acn Masrekah, el aolul.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Ke Samlah el misa, Shaul, sie mwet in acn Rehoboth sisken Infacl Euphrates, el aolul.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Ke Shaul el misa, Baal Hanan wen natul Achbor el aolul.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Ke Baal Hanan el misa, Hadad el aolul. Inen siti sel pa Pau, ac inen mutan kial pa Mehetabel acn natul Matred, ac Matred acn natul Mezahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Na Hadad el misa. Inen sruf in acn Edom pa Timna, Alvah, Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibamah, Elah, Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenaz, Teman, Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Magdiel, ac Iram.

< 1 Nyakati 1 >