< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Ni Adan ket putotna ni Set, ni Set ket putotna ni Enos, ni Enos ket putotna ni Kenan,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
ni Kenan ket putotna ni Mahalalel, ni Mahalalel ket putotna ni Jared, ni Jared ket putotna ni Enoc,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
ni Enoc ket putotna ni Matusalem, ni Matusalem ket putotna ni Lamec, ni Lamec ket putotna ni Noe,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
ni Noe ket putotna da Sem, Ham ken Japet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Dagiti putot a lallaki ni Jafet ket da Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mesec ken Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Dagiti putot a lallaki ni Gomer ket da Askenas, Rifat ken Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Dagiti putot a lallaki ni Javan ket da Elisa, Tarsis, Kitim ken Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Dagiti putot a lallaki ni Ham ket da Cus, Mizraim, Put ken Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Dagiti putot a lallaki ni Cus ket da Seba, Havila, Sabta, Raama ken Sabteca. Dagiti putot a lallaki ni Raama ket ni Seba kenni Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Ni Cus ket putotna ni Nimrod nga isu ti kaunaan a mannakigubat iti rabaw ti daga.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Ni Mizraim ket isu ti kapuonan dagiti Ludim, Anam, Lehab, Naftu,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Patrus, Caslu (nga isu ti nagtaudan dagiti Filisteo), ken dagiti Caftor.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Ni Canaan ket putotna ni Sidon nga isu ti inaunana, ken ni Het.
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Isuna met laeng ti kapuonan dagiti Jebuseo, Amorreo, Gergaseo,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Heveo, Arkeo, Siniteo,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Arvadeo, Zemareo ken dagiti Hamateo.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Dagiti putot a lallaki ni Shem ket da Elam, Assur, Arfaxad, Lud ken Aram. Dagiti putot a lallaki ni Aram ket da Uz, Hul, Geter, ken Mesec.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Ni Arfaxad ti ama ni Sela, ket ni Sela ti ama ni Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Addaan iti dua a putot a lallaki ni Eber. Peleg ti nagan ti maysa, ta nabingay ti daga bayat a sibibiag isuna. Joktan ti nagan ti kabsatna a lalaki.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Ni Joktan ti ama da Almodad, Selef, Hazamavet,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Seba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir Havila, ken Jobab. Amin dagitoy ket putot a lallaki ni Joktan.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Dagiti kaputotan ni Shem ket da Arfaxad, Sela,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
ken Abram nga isu ni Abraham.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Dagiti putot a lallaki ni Abraham ket da Isaac ken Ismael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Dagitoy dagiti putotda a lallaki: ti inauna a putot ni Ismael ket ni Nebayot, simmaruno da Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Massa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Nafis, ken Kedema. Dagitoy dagiti putot a lallaki ni Ismael.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Dagiti annak a lallaki ni Keturah, a maysa pay nga asawa ni Abraham, ket da Zimran, Joksan, Medan, Midian, Isbak, ken Sua. Dagiti putot lallaki ni Joksan ket da Seba ken Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Dagiti putot a lallaki ni Midian ket da Efa, Efer, Hanoc, Abida, ken Eldaa. Amin dagitoy ket kaputotan ni Ketura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Ni Abraham ket pinutotna ni Isaac. Dagiti putot a lallaki ni Isaac ket da Esau ken Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Dagiti putot a lallaki ni Esau ket da Elifaz, Reuel, Jeus, Jalam, ken Kora.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Dagiti putot a lallaki ni Elifaz ket da Teman, Oman, Zefo, Gatam, Kenaz, Timna ken Amalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Dagiti putot a lallaki ni Reuel ket da Nahat, Zera, Samma, ken Mizza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Dagiti putot a lallaki ni Seir ket da Lotan, Zibeon, Ana, Dison, Ezer, ken Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Dagiti putot a lallaki ni Lotan ket da Hori ken Homam, ken ni Timna ket kabsat a babai ni Lotan.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Dagiti putot a lallaki ni Sobal ket da Alvan, Manahat, Ebal, Sefo, ken Onam. Dagiti putot a lallaki ni Zibeon ket da Aya ken Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Ti putot a lalaki ni Ana ket ni Dison. Dagiti putot a lallaki ni Dison ket da Hamran, Esban, Itran ken Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Dagiti putot a lallaki ni Ezer ket da Bilhan, Zaavan ken Jaakan. Dagiti putot a lallaki ni Disan ket da Uz ken Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Dagitoy dagiti ar-ari a nagturay iti daga ti Edom sakbay nga adda iti ari a nagturay kadagiti Israelita: ni Bela a putot a lalaki ni Beor, ket Dinhaba ti nagan ti siudadna.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Idi natay ni Bela, ket ni Jobab a putot a lalaki ni Zera a taga-Bozra, ti simmukat kenkuana a nagturay a kas ari.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Idi natay ni Jobab, ni Husam a nagtaud iti daga dagiti Teminita, ti simmukat kenkuana a nagturay a kas ari.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Idi natay ni Husam, ni Hadad a putot a lalaki ni Bedad, a nangparmek kadagiti Midianita iti daga ti Moab, ti simmukat kenkuana a nagturay a kas ari. Avit ti nagan ti siudadna.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Idi natay ni Hadad, ket ni Samla a taga-Masreka, ti simmukat kenkuana a nagturay a kas ari.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Idi natay ni Samla, ket ni Saul a taga Rehobot, a nagnaed iti igid ti Karayan Eufrates, ti simmukat kenkuana a nagturay a kas ari.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Idi natay ni Saul, ket ni Baal Hanan a putot a lalaki ni Akbor, ti simmukat kenkuana a nagturay a kas ari.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Idi natay ni Baal Hanan a putot a lalaki ni Akbor, ket ni Hadar, ti simmukat kenkuana a nagturay a kas ari. Pai ti nagan ti siudadna. Ti nagan ti asawana ket Mehetabel nga anak a babai ni Matred, nga apoko a babai ni Me Zahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Natay ni Hadad. Dagiti pangulo dagiti puli iti Edom ket da Timna, Alva, Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibama, Ela, Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenaz, Teman, Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Magdiel ken Iram. Dagitoy dagiti pangulo dagiti puli iti Edom.

< 1 Nyakati 1 >