< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Set, Enoŝ,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Ĥanoĥ, Metuŝelaĥ, Lemeĥ,
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noa, Ŝem, Ĥam, kaj Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
La filoj de Jafet: Gomer, Magog, Madaj, Javan, Tubal, Meŝeĥ, kaj Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
La filoj de Gomer: Aŝkenaz, Rifat, kaj Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
La filoj de Javan: Eliŝa, Tarŝiŝ, Kitim, kaj Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
La filoj de Ĥam: Kuŝ, Micraim, Put, kaj Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
La filoj de Kuŝ: Seba, Ĥavila, Sabta, Raama, kaj Sabteĥa. La filoj de Raama: Ŝeba kaj Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Kuŝ naskigis ankaŭ Nimrodon; ĉi tiu komencis esti potenculo sur la tero.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Micraim naskigis la Ludidojn, la Anamidojn, la Lehabidojn, la Naftuĥidojn,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
la Patrusidojn, la Kasluĥidojn (de kiuj devenis la Filiŝtoj), kaj la Kaftoridojn.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
De Kanaan naskiĝis Cidon, lia unuenaskito, kaj Ĥet,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
la Jebusidoj, la Amoridoj, la Girgaŝidoj,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
la Ĥividoj, la Arkidoj, la Sinidoj,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
la Arvadidoj, la Cemaridoj, la Ĥamatidoj.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
La filoj de Ŝem: Elam, Aŝur, Arpaĥŝad, Lud, Aram, Uc, Ĥul, Geter, kaj Meŝeĥ.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
De Arpaĥŝad naskiĝis Ŝelaĥ, de Ŝelaĥ naskiĝis Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Al Eber naskiĝis du filoj: la nomo de unu estis Peleg, ĉar en lia tempo estis dividita la tero; la nomo de lia frato estis Joktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
De Joktan naskiĝis Almodad, Ŝelef, Ĥacarmavet, Jeraĥ,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Ŝeba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ofir, Ĥavila, kaj Jobab. Ĉiuj ĉi tiuj estis la filoj de Joktan.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Ŝem, Arpaĥŝad, Ŝelaĥ,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Naĥor, Teraĥ,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram (tio estas Abraham).
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
La filoj de Abraham: Isaak kaj Iŝmael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Jen estas ilia genealogio: de Iŝmael, la unuenaskito Nebajot, poste Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Miŝma, Duma, Masa, Ĥadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Nafiŝ, kaj Kedma. Tio estas la filoj de Iŝmael.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
La filoj de Ketura, kromvirino de Abraham, kiujn ŝi naskis: Zimran, Jokŝan, Medan, Midjan, Jiŝbak, kaj Ŝuaĥ. Kaj la filoj de Jokŝan estis Ŝeba kaj Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
La filoj de Midjan: Efa, Efer, Ĥanoĥ, Abida, kaj Eldaa. Ĉiuj ĉi tiuj estis la filoj de Ketura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham naskigis Isaakon. La filoj de Isaak: Esav kaj Izrael.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
La filoj de Esav: Elifaz, Reuel, Jeuŝ, Jalam, kaj Koraĥ.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
La filoj de Elifaz: Teman, Omar, Cefi, Gatam, Kenaz, Timna, kaj Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
La filoj de Reuel: Naĥat, Zeraĥ, Ŝama, kaj Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
La filoj de Seir: Lotan, Ŝobal, Cibeon, Ana, Diŝon, Ecer, kaj Diŝan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
La filoj de Lotan: Ĥori kaj Homam; la fratino de Lotan estis Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
La filoj de Ŝobal: Aljan, Manaĥat, Ebal, Ŝefi, kaj Onam. La filoj de Cibeon: Aja kaj Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
La filoj de Ana: Diŝon. La filoj de Diŝon: Ĥamran, Eŝban, Jitran, kaj Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
La filoj de Ecer: Bilhan, Zaavan, kaj Jaakan. La filoj de Diŝan: Uc kaj Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Jen estas la reĝoj, kiuj reĝis en la lando de Edom, antaŭ ol aperis reĝo ĉe la Izraelidoj: Bela, filo de Beor; la nomo de lia urbo estis Dinhaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Kaj Bela mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Jobab, filo de Zeraĥ, el Bocra.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Kaj Joab mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Ĥuŝam, el la lando de la Temanidoj.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Kaj Ĥuŝam mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Hadad, filo de Bedad, kiu venkobatis la Midjanidojn sur la kampo de Moab; la nomo de lia urbo estis Avit.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Kaj Hadad mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Samla el Masreka.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Kaj Samla mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Ŝaul el Reĥobot ĉe la Rivero.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Kaj Ŝaul mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Baal-Ĥanan, filo de Aĥbor.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Kaj Baal-Ĥanan mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Hadad; la nomo de lia urbo estis Pai; la nomo de lia edzino estis Mehetabel, filino de Matred, filino de Me-Zahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Kaj Hadad mortis. Tiam la ĉefoj de Edom estis: ĉefo Timna, ĉefo Alva, ĉefo Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
ĉefo Oholibama, ĉefo Ela, ĉefo Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
ĉefo Kenaz, ĉefo Teman, ĉefo Mibcar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
ĉefo Magdiel, ĉefo Iram. Tio estas la ĉefoj de Edom.

< 1 Nyakati 1 >