< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jared:
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Enoch, Methuselah, Lamech:
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noah, Shem, Ham, and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
The sons of Japheth, Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
And, the sons of Gomer, Ashkenaz, and Diphath, and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
And, the sons of Javan, Elishah, and Tarshish, —Kittim, and Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
The sons of Ham, Cush, and Mizraim, Put, and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
And, the sons of Cush, Seba, and Havilah, and Sabta, and Raama, and Sabteca. And, the sons of Raamah, Sheba, and Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
And, Cush, begat Nimrod, —he, began to be a mighty one in the earth.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And, Mizraim, begat Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
and Pathrusim, and Casluhim—whence went forth the Philistines, and Caphtorim.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
And, Canaan, begat Zidon his firstborn, and Heth;
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
and the Jebusite, and the Amorite, and the Girgashite;
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
and the Hivite, and the Arkite, and the Sinite;
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
and the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
The sons of Shem, Elam, and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram, —and Uz, and Hul, and Gethur, and Meshech.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
And, Arpachshad, begat Shelah, —and, Shelah, begat Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
And, unto Eber, were born two sons, —the name of the one, was Peleg, for, in his days, was the earth divided, and, the name of his brother, was Joktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
And, Joktan, begat Almodad, and Sheleph, —and Hazarmaveth, and Jerah;
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
and Hadoram, and Uzal, and Diklah;
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
and Ebal, and Abimael, and Sheba;
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
and Ophir, and Havilah, and Jobab. All these, were the sons of Joktan.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Shem, Arpachshad, Shelah;
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram—the same, is Abraham.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
The sons of Abraham, Isaac and Ishmael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
These, are their generations, —the firstborn of Ishmael, Nebaioth, then Kedar, and Adbeel, and Mibsam;
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema;
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Naphish, and Kedemah. These, are the sons of Ishmael.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
And, the sons of Keturah, the concubine of Abraham, she bare Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah, —and, the sons of Jokshan, Sheba, and Dedan;
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
and, the sons of Midian, Ephah, and Epher, and Hanoch, and Abida, and Eldaah. All these, were the sons of Keturah.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
So then Abraham begat Isaac, —the sons of Isaac, were Esau and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
the sons of Esau, Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jalam, and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
The sons of Eliphaz, Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
The sons of Reuel, Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
And, the sons of Seir, Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, —and Dishon, and Ezer, and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
And, the sons of Lotan, Hori, and Homam, —and, Lotan’s sister, was Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
The sons of Shobal, Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi and Onam. And, the sons of Zibeon, Aiah and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
The sons of Anah, Dishon, —and, the sons of Dishon, Hamran, and Eshban, and Ithran, and Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
The sons of Ezer, Bilhan, and Zaavan, Jaakan. The sons of Dishan, Uz and Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Now, these, are the kings, who reigned in the land of Edom, before there reigned a king of the sons of Israel, —Bela the son of Beor, and, the name of his city, was Dinhabah.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
And Bela died, —and there reigned in his stead, Jobab son of Zerah, of Bozrah.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
And Jobab died, —and there reigned in his stead, Husham, of the land of the Temanites.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
And Husham died, —and there reigned in his stead, Hadad the son of Bedad, who smote Midian in the field of Moab, and, the name of his city, was Avith.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
And Hadad died, —and there reigned in his stead, Samlah of Masrekah.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
And Samlah died, —and there reigned in his stead, Shaul, of Rehoboth by the River.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
And Shaul died, —and there reigned in his stead, Baal-hanan, the son of Achbor.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
And Baal-hanan died, —and there reigned in his stead, Hadad, and, the name of his city, was Pai, —and, the name of his wife, was Mehetabel, daughter of Matred, daughter of Mezahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
And Hadad died. And there were chiefs of Edom: chief Timna, chief Aliah, chief Jetheth;
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
chief Oholibamah, chief Elah, chief Pinon;
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar;
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
chief Magdiel, chief Iram. These, were the chiefs of Edom.