< 1 Nyakati 1 >
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jared,
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Enoch, Methuselah, Lamech, Noah.
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
The sons of Noah: Shem, Ham, and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
The sons of Japheth: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech, and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
The sons of Gomer: Ashkenaz, Riphath, and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
The sons of Javan: Elishah, Tarshish, Kittim, Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
The sons of Ham: Cush, Mizraim, Put, and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
The sons of Cush: Seba, Havilah, Sabta, Raamah, and Sabteca. The sons of Raamah: Sheba and Dedan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Cush was the father of Nimrod, who became the world's first tyrant.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim was the father of the Ludites, Anamites, Lehabites, Naphtuhites,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Pathrusites, Casluhites, and Caphtorites (ancestors of the Philistines),
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Canaan was the father of his firstborn son, Sidon, and of the Hittites,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Jebusites, Amorites, Girgashites,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Hivites, Arkites, Sinites,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Arvadites, Zemarites, and Hamathites.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
The sons of Shem: Elam, Asshur, Arphaxad, Lud, and Aram. The sons of Aram: Uz, Hul, Gether, and Meshech.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arphaxad was the father of Shelah, and Shelah the father of Eber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Eber had two sons. One was named Peleg, because in his time the earth was divided; the name of his brother was Joktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joktan was the father of Almodad, Sheleph, Hazarmaveth, Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obal, Abimael, Sheba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Havilah, and Jobab. These were all Joktan's sons.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Shem, Arphaxad, Shelah,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
and Abram (also called Abraham).
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
The sons of Abraham: Isaac and Ishmael.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
These were their descendants: Nebaioth was the firstborn son of Ishmael, Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jetur, Naphish, and Kedemah. These were Ishmael's sons.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
The sons born to Keturah, Abraham's concubine. She gave birth to: Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak, and Shuah. The sons of Jokshan: Sheba and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
The sons of Midian: Ephah, Epher, Hanoch, Abida, and Eldaah. These were all descendants of Keturah.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham was the father of Isaac. The sons of Isaac: Esau and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, Jeush, Jalam and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
The sons of Eliphaz: Teman, Omar, Zepho, Gatam and Kenaz; and Amalek through Timna.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
The sons of Seir: Lotan, Shobal, Zibeon, Anah, Dishon, Ezer and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
The sons of Lotan: Hori and Homam. Lotan's sister was Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
The sons of Shobal: Alvan, Manahath, Ebal, Shepho and Onam. The sons of Zibeon: Aiah and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
The son of Anah: Dishon. The sons of Dishon: Hemdan, Eshban, Ithran and Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
The sons of Ezer: Bilhan, Zaavan and Akan. The sons of Dishan: Uz and Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
These were the kings who reigned over Edom before any Israelite king reigned over them: Bela son of Beor, the name of whose city was Dinhabah.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
When Bela died, Jobab son of Zerah from Bozrah took over as king.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
When Jobab died, Husham from the land of the Temanites took over as king.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
When Husham died, Hadad son of Bedad, took over as king. He was the one who defeated Midian in the country of Moab. The name of his city was Avith.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
When Hadad died, Samlah from Masrekah took over as king.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
When Samlah died, Shaul from Rehoboth on the River took over as king.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
When Shaul died, Baal-Hanan, son of Acbor, took over as king.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
When Baal-Hanan died, Hadad took over as king. The name of his city was Pau. The name of his wife was Mehetabel, daughter of Matred, the daughter of Me-Zahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Then Hadad died. The chiefs of Edom were: Timna, Alvah, Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibamah, Elah, Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenaz, Teman, Mibzar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Magdiel, and Iram. These were Edom's chiefs.