< Salmos 96 >
1 Oh, haz una nueva canción al Señor; deja que toda la tierra haga melodía al Señor.
Oh, mwimbieni Yahwe wimbo mpya; mwimbieni Yahwe, nchi yote.
2 Haz canciones al Señor, bendiciendo su nombre; da las buenas nuevas de su salvación día tras día.
Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
3 Hablen de su gloria a las naciones, y sus maravillas a todos los pueblos.
Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
4 Porque el Señor es grande y muy digno de alabanza; es más temible que todos los demás dioses.
Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
5 Porque todos los dioses de las naciones son dioses falsos; pero el Señor hizo los cielos.
Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
6 Alabanza y magnificencia delante de él; Honor y gloria; fuerte y justo es su lugar santo.
Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
7 Dad a Jehová, oh familias de los pueblos, dad al Señor gloria y fortaleza.
Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
8 Da al Señor la gloria de su nombre; toma contigo una ofrenda y ven a su casa.
Mpeni Yahwe utukufu ambao unastahili jina lake. Leteni matoleo na muingie nyuani mwake.
9 Oh, adora al Señor en su hermoso santuario; ten miedo delante de él, toda la tierra.
Mpigieni magoti Yahwe mkiwa mmevaa mavazi ambayo yanaheshimu utakatifu wake. Nchi yote tetemekeni mbele zake.
10 Di entre las naciones: Jehová es rey; sí, el mundo está ordenado para que no se mueva; él será un juez justo de los pueblos.
Semeni kati ya mataifa, Yahwe anatawala.” Ulimwengu pia umeimarishwa; hauwezi kutikiswa. Yeye huwahukumu watu kwa haki.
11 Alégrense los cielos, y la tierra se alegre; que el mar truene con todas sus aguas;
Mbingu na zifurahi, na nchi ishangilie; bahari na ivume na vyote viijazavyo vipige kelele kwa shangwe.
12 Alégrese el campo, y todo lo que está en él; sí, que todos los árboles del bosque rebosarán de alegría,
Mashamba yashangilie na vyote vilivyomo. Kisha miti ya mstuni ipige kelele kwa furaha
13 Delante del Señor, porque él ha venido; él ha venido para ser el juez de la tierra; la tierra será juzgada en justicia, y los pueblos con su verdad.
mbele za Yahwe, maana yeye anakuja. Anakuja kuihukumu nchi. Naye atauhukumu ulumwengu kwa haki na mataifa kwa uaminifu wake.