< Salmos 83 >

1 Oh Dios, no te calles: abre tus labios y no descanses, oh Dios.
Ee Mungu, usikae kimya! usitupuuze na kustarehe, Ee Mungu.
2 Mira! aquellos que te hacen la guerra están fuera de control; tus enemigos están levantando sus cabezas.
Tazama, adui zako wanafanya vurugu, na wale wakuchukiao wameinua vichwa vyao.
3 Han hecho sabios designios contra tu pueblo, hablando juntos contra aquellos a quienes guardas en un lugar secreto.
Wanafanya hila juu ya watu wako na kwa pamoja kupanga njama dhidi ya wale uwalindao. Wamesema,
4 Han dicho: Vengan, pongamos fin a ellos como nación; para que el nombre de Israel salga de la memoria del hombre.
“Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
5 Porque todos han llegado a un acuerdo; todos están unidos contra ti:
Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
6 Las tiendas de Edom y los ismaelitas; Moab y los agarenos;
Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
7 Gebal, Amón y Amalec; los filisteos y la gente de Tiro;
Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.
8 Assur se une a ellos; se han convertido en el apoyo de los hijos de Lot. (Selah)
Ashuri pia ameshirikina nao; wanawasaidia wana wa Lutu. Serah
9 Hazles lo que hiciste con los madianitas; lo que le hiciste a Sisera y Jabin, en la corriente de Cison:
Ufanye kwao kama ulivyofanya kwa Midiani, kama ulivyofanya kwa Sisera na kwa Yabini kwenye Mto Kishoni.
10 Que vino a la destrucción en Endor; sus cuerpos se convirtieron en estiércol para la tierra.
Waliangamizwa kule Endori na wakawa kama mbolea juu ya chi.
11 Hagan sus jefes como Oreb y Zeeb; y todos sus gobernantes como Zeba y Zalmuna:
Uvifanye vyeo vyao kama Oreb na Zeeb, na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.
12 que han dicho: tomemos para nuestra herencia el lugar de reposo de Dios.
Wao walisema, natujimilikishe malisho ya Mungu.”
13 Dios mío, hazlos como el polvo que rueda; como tallos secos antes del viento.
Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
14 Como el fuego que quema un bosque, y como una llama que causa fuego en las montañas,
Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
15 Ve tras ellos con tu fuerte viento, y que estén llenos de temor a causa de tu tormenta.
Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16 Que sus caras estén llenas de vergüenza; para que puedan honrar tu nombre, oh Señor.
Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
17 Sean vencidos y atribulados para siempre; sean avergonzados y vengan a la destrucción;
Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.
18 Para que los hombres vean que tú solo, cuyo nombre es Yahweh, eres el Altísimo sobre toda la tierra.
Kisha watajua kwamba ni wewe pekee, Yahwe, Uliye Juu ya nchi yote.

< Salmos 83 >