< Salmos 75 >

1 A ti, oh Dios, te alabamos, a ti alabamos; y los que honran tu nombre aclaran tus obras de poder.
Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
2 Cuando haya llegado el tiempo correcto, seré el juez en rectitud.
Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
3 Cuando la tierra y toda su gente se debilitan, yo soy el sostén de sus pilares. (Selah)
Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
4 Digo a los hombres de soberbia: que se haya ido tu orgullo, y a los pecadores: no se levante tu orgullo.
Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
5 No se levante tu orgullo; no dejes más palabras de soberbia en tus cuellos estirados.
Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
6 Porque el honor no viene del este, ni del oeste, ni del sur;
Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
7 Pero Dios es el juez, a éste humilla y levanta a otro.
Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
8 Porque en la mano del Señor hay una copa, y el vino es rojo; está bien mezclado, desbordando de su mano: hará que todos los pecadores de la tierra se apoderen de él, hasta la última gota.
Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
9 Pero estaré siempre lleno de gozo, haciendo canciones de alabanza al Dios de Jacob.
Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
10 Por él cortará todos los poderíos de los pecadores; pero él poder de los rectos se levantará.
Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”

< Salmos 75 >