< Salmos 44 >
1 Ha llegado a nuestros oídos, oh Dios, nuestros padres nos han contado la historia de las obras que hiciste en sus días, en los viejos tiempos,
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 Arrebatando las naciones con tu mano, y plantando a nuestros padres en su lugar; reduciendo las naciones, pero aumentando el crecimiento de tu gente.
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 Porque no hicieron suya la tierra con sus espadas, y no fueron sus armas las que los salvaron; si no con tu diestra, y tu brazo, y la luz de tu rostro, porque tuviste placer en ellos.
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 Tú, eres mi Rey y mi Dios; ordenando la salvación para Jacob.
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 A través de ti venceremos a nuestros enemigos; por tu nombre serán aplastados nuestros adversarios.
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 No pondré mi confianza en mi arco, mi espada no será mi salvación.
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 Pero eres tú quien has sido nuestro salvador contra los que estaban contra nosotros, y has avergonzado a los que nos odiaban.
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 Nuestro orgullo está en Dios en todo momento, y su nombre alabamos para siempre. (Selah)
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 Pero ahora nos has apartado de ti y nos has avergonzado; no sales con nuestros ejércitos.
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 Nos hiciste retroceder delante delante del enemigo: quienes nos odian toman nuestros bienes para sí mismos.
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 Nos hiciste como ovejas que se toman para él matadero; y nos has esparcido entre las naciones.
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 vendiste a tu pueblo muy barato; su riqueza no aumenta por su precio.
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 Nos has hecho ser menospreciados por nuestros vecinos, se burlan y nos avergüenzan los que nos rodean.
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 Nuestro nombre es una palabra de vergüenza entre las naciones, al vernos. mueven la cabezas burlones entre los pueblos.
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 Mi desgracia está siempre delante de mí, y estoy cubierto de vergüenza en mi rostro;
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 Por la voz del que dice palabras de reproche y deshonra; por el que odia y por él vengativo.
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 Todo esto ha venido sobre nosotros, pero aún así te hemos mantenido en nuestra memoria; y no hemos faltado a tu pacto.
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 Nuestros corazones no han vuelto atrás. y nuestros pasos no han sido desviados de tus caminos;
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 Para que nos hayas dejado ser aplastados en lugares de miseria, y nos cubrieras con la sombra de muerte.
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 Si el nombre de nuestro Dios ha salido de nuestra mente, o si nuestras manos han sido extendidas a un dios extraño,
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 ¿No demandaria Dios esto? porque él ve los secretos del corazón.
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 En verdad, por tu causa somos muertos todos los días; somos contados como ovejas para la destrucción.
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 ¿Por qué duermes, oh Señor? ¡despierta! y ven en nuestra ayuda, no te alejes para siempre.
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 ¿Por qué escondes tu rostro, y por qué no piensas en nuestros problemas y nuestro cruel destino?
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 Porque nuestras almas son agobiadas hasta el polvo; arrastrando nuestros cuerpos sobre la tierra.
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 ¡Levántate! y ven en nuestra ayuda, y danos la salvación por tu misericordia.
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.