< Salmos 135 >

1 Deja que el Señor sea alabado. Oh siervos del Señor, alaben el nombre del Señor.
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 Tú que estás en la casa del Señor, y en los espacios abiertos de la casa de nuestro Dios,
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Alaben a Jah, porque él es bueno; hagan melodía a su nombre, porque es agradable.
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 Porque el Señor tomó consigo a Jacob, y a Israel por su propiedad.
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 Sé que el Señor es grande, y que nuestro Señor es más grande que todos los demás dioses.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 El Señor hizo todo lo que le agradaba, en el cielo, en la tierra, en los mares y en todas las aguas profundas.
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 Él hace que las nieblas suban desde los confines de la tierra; él hace llamas de trueno por la lluvia; Él envía los vientos desde sus almacenes.
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 El mató las primicias de Egipto, de hombres y de bestias.
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 Envió señales y maravillas en medio de ti, oh Egipto, sobre Faraón y sobre todos sus siervos.
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Él venció a las grandes naciones, y mató a los reyes fuertes;
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Sehón, rey de los amorreos, y Og, rey de Basán, y todos los reinos de Canaán;
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 Y dieron su tierra por heredad, por heredad a Israel su pueblo.
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 Oh Señor, tu nombre es eterno; y el recuerdo de ti no tendrá fin.
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 Porque el Señor juzgará la causa de su pueblo; tiene compasión de sus sirvientes.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 Las imágenes de las naciones son plata y oro, obra de manos de hombres.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 Tienen bocas, pero ninguna voz; tienen ojos, pero no ven;
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 Tienen oídos, pero no oyen; y no hay aliento en sus bocas.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 Los que los hacen son como ellos; y también lo es todo el que pone su esperanza en ellos.
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 Alaben a Jehová, oh hijos de Israel; alaben á Jehová, oh hijos de Aarón.
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 Alaben al Señor, hijos de Leví, alaben todos los adoradores del Señor.
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Bendito sea el Señor desde Sión, el Señor cuya casa está en Jerusalén, sea alabado Jehová.
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.

< Salmos 135 >