< Salmos 134 >

1 Alaben al Señor, todos ustedes siervos del Señor, que toman sus lugares en la casa del Señor de noche.
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2 Alaben al Señor, levantando sus manos en su lugar santo.
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
3 Que el Señor, que hizo los cielos y la tierra, te envíe bendición desde Sión,
Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.

< Salmos 134 >