< Jueces 12 >

1 Entonces los hombres de Efraín se reunieron, tomaron las armas y se dirigieron a Zafon; y dijeron a Jefté: ¿Por qué fuiste a hacer la guerra contra los hijos de Amón sin enviarnos a que fuéramos contigo? Ahora pondremos tu casa en llamas sobre ti.
Watu wa Efraimu walitoka pamoja; nao wakapitia Zafoni, wakamwambia Yeftha, Kwa nini umetangulia kupigana na wana wa Amoni, wala hukutuita twende pamoja nawe? Tutachoma nyumba yako.
2 Y Jefté les dijo: Yo y mi gente estábamos en peligro, y los hijos de Amón fueron muy crueles con nosotros, y cuando envié por ti, no me diste ninguna ayuda contra ellos.
Yeftha akawaambia, Mimi na watu wangu tulikuwa katika vita kubwa na wana wa Amoni. Nilipokuita, hukuniokoa kutoka kwao.
3 Entonces, cuando vi que no tenía ayuda de ti, arriesgue mi propia vida y fui contra los hijos de Amón, y el Señor los puso en mis manos. ¿por qué has venido ¿Este día para hacerme la guerra?
Nilipoona ya kuwa hamkuniokoa, nikaweka uhai wangu na nguvu yangu mwenyewe, na kupita kipita ili kupigana na wana wa Amoni, na Bwana alinipa ushindi. Kwa nini mmekuja kupigana nami leo?”
4 Entonces Jefté reunió a todos los hombres de Galaad e hizo la guerra a Efraín; y los hombres de Galaad vencieron a Efraín.
Yeftha akawakusanya watu wote wa Gileadi na akapigana na Efraimu. Watu wa Gileadi waliwaangamiza wana wa Efraimu kwa sababu walisema, “Ninyi Wagileadi ni wakimbizi katika Efraimu-katika Efraimu na Manase.”
5 Y los de Galaad tomaron los lugares de cruce del Jordán contra los efraimitas; y cuando alguno de los hombres de Efraín que había salido huyendo les pedía paso; Los hombres de Galaad le preguntaban: ¿Eres tú un efraimita? Y si él respondía: No;
Wagileadi waliteketeza ngome za Yordani zinaelekea Efraimu. Ikiwa yeyote kati ya waliopona wa Efraimu akisema, Nipe ruhusa niende juu ya mto; watu wa Gileadi wakamwambia, “Je, wewe ni Mwefraimu?” Ikiwa akasema, “Hapana,”
6 Entonces le dijeron: Ahora, di Shibolet; y él dijo Sibolet, y no pudo decirlo de la manera correcta; luego lo tomaron y lo mataron en los cruces del Jordán; y en ese momento fueron ejecutados cuarenta y dos mil efraimitas.
basi watamwambia, Sema Shiboleth. Na kama akisema 'Sibboleth' (kwa maana hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi), Wagileadi watamkamata na kumwua kwenye mabwawa ya Yordani. Waefraimu elfu arobaini waliuawa wakati huo.
7 Y Jefté fue juez de Israel por seis años. Y Jefté, el galaadita, murió, y lo enterraron en su pueblo, Mizpa de Galaad.
Yeftha alikuwa mwamuzi juu ya Israeli kwa miaka sita. Ndipo Yeftha Mgileadi akafa, akazikwa katika moja ya miji ya Gileadi.
8 Y después de él, Ibzán de Belén fue juez de Israel.
Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi juu ya Israeli.
9 Tuvo treinta hijos y treinta hijas a quienes envió a otros lugares, y obtuvo treinta esposas de otros lugares para sus hijos. Y fue juez de Israel por siete años.
Alikuwa na wana thelathini. Aliwapeleka binti thelathini katika ndoa, naye akaleta binti thelathini kutoka nje kwa ajili ya wanawe, Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka saba.
10 Y murió Ibzán, y lo enterraron en Belén.
Ibzani alikufa na kuzikwa huko Bethlehemu.
11 Y después de él, Elón, el zebulonita, fue juez de Israel; y fue juez de Israel durante diez años.
Baada yake, Eloni wa Zabuloni akawa mwamuzi juu ya Israeli. Akawaamua Israeli kwa miaka kumi.
12 Y murió Elón el zebulonita, y lo enterraron en Ajalón, en la tierra de Zabulón.
Eloni wa Zabuloni akafa, akazikwa huko Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.
13 Y después de él, Abdón, hijo de Hilel, de piratón, fue juez de Israel.
Baada ya huyo, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi juu ya Israeli.
14 Tuvo cuarenta hijos y treinta nietos cada uno de los cuales montaba un asno; y fue juez de Israel durante ocho años.
Alikuwa na wana arobaini na wajukuu thelathini. Walikuwa wakipanda punda sabini, naye akawaamua Israeli kwa miaka nane.
15 Y murió Abdón, el hijo de Hillel, y lo enterraron en Piratón, en la tierra de Efraín, en la región montañosa de los amalecitas.
Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika kilima cha Waamaleki.

< Jueces 12 >