< Josué 12 >

1 Estos son los reyes de la tierra a quienes vencieron los hijos de Israel, tomando como herencia su tierra en el lado este del Jordán, desde el valle del Arnón hasta el Monte Hermón, y toda la región al este del Jordán:
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 Sehón, rey de los amorreos, que vivía en Hesbón, gobernaba desde Aroer, que se encuentra en el borde del valle del Arnón, y la ciudad en el centro del valle, y la mitad de Galaad, hasta el río Jaboc, los límites de los hijos de Amón;
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
3 Y el Arabá al mar de Cineret, al este, y al mar del Arabá, que es el Mar Salado, al este, el camino a Bet-jesimot; y al sur, bajo las laderas de Pisga:
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 Y la tierra de Og, rey de Basán, del resto de los Refaitas, que vivía en Astarot y en Edrei,
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
5 Gobernando en la montaña de Hermón, y en Salca, y en todo Basán, hasta los límites de Gesur y Maaca, y la mitad de Galaad, a la tierra de Sehón, rey de Hesbón.
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 Moisés, y los hijos de Israel los vencieron; a estos reyes y Moisés, el siervo del Señor, dio su tierra como herencia a los rubenitas, y a los gaditas, y a la media tribu de Manasés.
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 Y estos son los reyes de la tierra que Josué y los hijos de Israel vencieron en el lado oeste del Jordán, desde Baal-gad en el valle del Líbano hasta el monte Halac, que sube hacia Seir; y Josué dio la tierra a las tribus de Israel por herencia, de acuerdo con sus divisiones;
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
8 En la región montañosa, en las tierras bajas, del río Jordán, en las laderas de las montañas, en las tierras baldías y en el sur; los hititas, los amorreos y los cananeos, los ferezeos, los heveos y los jebuseos.
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9 El rey de Jericó, uno; el rey de Hai, que está cerca de Bet-el,
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
10 El rey de Jerusalén, el rey de Hebrón,
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
11 El rey de Jarmut, el rey de Laquis,
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
12 El rey de Eglón, el rey de Gezer,
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
13 El rey de Debir, el rey de Geder,
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
14 El rey de Horma, el rey de Arad,
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
15 El rey de Libna, el rey de Adulam,
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
16 El rey de Maceda, el rey de Bet-el,
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
17 El rey de Tapua, uno; el rey de Hefer,
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
18 El rey de Afec, el rey de Saron,
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
19 El rey de Madon, el rey de Hazor,
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
20 El rey de Simron-meron, el rey de Acsaf,
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
21 El rey de Taanac, el rey de Megiddo,
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
22 El rey de Cades, el rey de Jocneam en el Carmelo,
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
23 El rey de Dor en la colina de Dor, uno; el rey de Goim en Gilgal,
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
24 El rey de Tirsa, uno; Todos los reyes juntos fueron treinta y uno.
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

< Josué 12 >