< Isaías 2 >

1 La palabra que Isaías, hijo de Amoz, vio acerca de Judá y Jerusalén.
Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
2 Y acontecerá en los últimos días, que la montaña del Señor se colocará en la cima de las montañas, y se levantará sobre las colinas; y todas las naciones vendrán a él.
Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
3 Y los pueblos dirán: Vengan, subamos al monte del Señor, a la casa del Dios de Jacob, y él nos dará a conocer sus caminos, y seremos guiados por su palabra; porque de Sión saldrá la enseñanza, y la palabra del Señor de Jerusalén.
Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
4 Y él será el juez entre las naciones, y hará decisiones por muchos pueblos; y sus espadas se convertirán en hojas de arado, y sus lanzas en cuchillos de vid: ya no se volverán las naciones sus espadas una contra la otra, y el conocimiento de la guerra se habrá ido para siempre.
Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
5 Oh familia de Jacob, ven y vamos a la luz del Señor.
Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
6 Porque tú, Señor, has abandonado a tu pueblo, la familia de Jacob, porque están llenos de los caminos malvados del este, y hacen uso de artes secretas como los filisteos, y son amigos de los hijos de países extranjeros.
Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
7 Y su tierra está llena de plata y oro, y sus almacenes no tienen fin; su tierra está llena de caballos, y sus carros no tienen fin.
Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
8 Su tierra está llena de imágenes. Dan culto a la obra de sus manos, incluso a lo que sus dedos han hecho.
Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
9 Y la cabeza del hombre pobre está inclinada, y el gran hombre cae sobre su rostro; por esta causa no habrá perdón por su pecado.
Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
10 Entra en una cueva en la roca, cubriéndose de polvo, con temor del Señor, ante la gloria de su poder.
Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
11 Las miradas del hombre serán avergonzadas, y el orgullo de los hombres será humillado, y solo el Señor será levantado en ese día.
Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
12 Porque vendrá el día del Señor de los ejércitos sobre todo hombre soberbio y altivo y sobre todos los que se han ensalzado serán humillados;
Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
13 Y en todos los árboles altos del Líbano, y en todos los árboles fuertes de Basán;
na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
14 Y en todos los montes altos, y en todos los cerros que se alzan;
Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
15 Y en toda torre alta, y en todo muro fuerte;
na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
16 Y en todos los barcos de Tarsis, y en todas las pinturas preciadas.
na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
17 Y las miradas de los hombres serán avergonzadas, y el orgullo de los hombres será humillado; y solo el Señor será levantado en ese día.
Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
18 Y las imágenes nunca más serán vistas.
Sanamu zote zitaondolewa.
19 Y los hombres irán a las grietas de las rocas y a los agujeros de la tierra, por temor al Señor, y ante la gloria de su poder, cuando salga de su lugar, sacudiendo la tierra con su fuerza.
Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
20 En ese día los hombres pondrán sus imágenes de plata y oro, que hicieron para la adoración, en la custodia de las bestias de los lugares oscuros;
Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
21 Para cubrirse en las grietas de las rocas y en los hoyos de las colinas, por temor al Señor, y ante la gloria de su poder, cuando él sale de su lugar, sacudiendo la tierra con su fuerza.
Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
22 No tenga más que ver con el hombre, cuya vida es solo un aliento, porque no tiene valor.
usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?

< Isaías 2 >