< Génesis 10 >

1 Y estas son las generaciones de los hijos de Noé, Sem, Cam y Jafet: estos son los hijos que tuvieron después del gran diluvio de las aguas.
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
2 Los hijos de Jafet: Gomer, y Magog, y Madai, y Javán, y Tubal, y Mesec, y Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3 Y los hijos de Gomer: Askenaz, Rifat y Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4 Y los hijos de Javán: Elisa, Tarsis, Kittim y Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5 De éstos vinieron las naciones de las tierras marinas, con sus diferentes familias e idiomas.
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
6 Y los hijos de Cam: Cus, y Mizraim, y Put, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
7 Y los hijos de Cus: Seba, y Havila, y Sabta, y Raama, y Sabteca; y los hijos de Raama: Seba y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
8 Y Cus fue el padre de Nimrod, que fue el primero de los grandes hombres de la tierra.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
9 Era un arquero muy grande, de modo que hay un dicho, como Nimrod, un gran arquero.
Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
10 Y al principio, su reino fue Babel, Erec, Acad y Calne, en la tierra de Sinar.
Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
11 De esa tierra salió a Asiria, construyendo Nínive con sus calles anchas, Rehobot-Ir y Cala,
Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
12 Y Resen entre Nínive y Cala, que es una ciudad muy grande.
na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
13 Y Mizraim fue padre de Ludim, Anamim, Lehabim, y Naftuhim;
Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
14 Y Patrusim, Casluhim y Cafterim, de los cuales vinieron los Filisteos.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
15 Y Canaán fue el padre de Sidón, que era su hijo mayor, y Het,
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
16 Y los jebuseos, y los amorreos, y los gergeseos,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
17 Y el heveo, el Araceos y el sineos,
Wahivi, Waariki, Wasini,
18 Y el Arvadeo, y él zemareo, y él hamateo; después de eso, las familias de los cananeos fueron por todas partes en todas las direcciones;
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
19 Su país se extiende desde Sidón hasta Gaza, en dirección a Gerar; y a Lasa, en dirección a Sodoma y Gomorra, Adma y Zeboim.
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
20 Todos estos, con sus diferentes familias, idiomas, tierras y naciones, son descendientes de Cam.
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
21 Y Sem, el hermano mayor de Jafet, padre de los hijos de Heber, tenía otros hijos además.
Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
22 Estos son los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud y Aram.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
23 Y los hijos de Aram: Uz, Hul, Geter y Mas.
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
24 Y Arfaxad fue el padre de Sala; y Sala se convirtió en el padre de Heber.
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
25 Y Heber tuvo dos hijos: el nombre de uno fue Peleg, porque en su tiempo los pueblos de la tierra se separaron; y el nombre de su hermano era Joctan.
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26 Y Joctán era el padre de Almodad, y Selef, Hazar -mavet y Jera,
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Y Adoram, Uzal, Dicla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
28 Y Obal, Abimael y Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 Y Ophir, y Havila, y Jobab; todos estos fueron los hijos de Joctán.
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Y su tierra era de Mesa, en la dirección de Sefar, el monte del oriente.
Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
31 Estos, con sus familias y sus lenguas y sus tierras y sus naciones, son descendientes de Sem.
Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
32 Estas son las familias de los hijos de Noé, según el orden de sus generaciones y de sus naciones: de éstas salieron todas las naciones de la tierra después del gran diluvio de las aguas.
Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.

< Génesis 10 >