< Deuteronomio 18 >
1 Los sacerdotes, los levitas, es decir, toda la tribu de Leví, no tendrán ninguna parte o herencia con Israel: su alimento y su herencia serán las ofrendas del Señor hechas por fuego.
Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
2 Y no tendrán herencia entre sus compatriotas: el Señor es su herencia, como él les ha dicho.
Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
3 Y esto es un derecho de los sacerdotes: los que hacen una ofrenda de una oveja o un buey deben entregar al sacerdote la parte superior de la pierna y los dos lados de la cabeza y el estómago.
Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
4 Y además tienes que darle lo primero de tu grano y vino y aceite, y la primera lana cortada de tus ovejas.
Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
5 Porque él, y sus hijos después de él para siempre, han sido escogidos por el Señor tu Dios de todas tus tribus, para hacer el trabajo de los sacerdotes en el nombre del Señor.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
6 Y si un levita, movido por un fuerte deseo, viene de cualquier ciudad en todo Israel donde vive al lugar señalado por el Señor;
Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
7 Entonces hará la obra de un sacerdote en el nombre del Señor su Dios, con todos sus hermanos los levitas que están allí delante del Señor.
basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
8 Su comida será igual a la de ellos, además de lo que le ha llegado como el precio de su propiedad.
Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
9 Cuando hayas venido a la tierra que el Señor tu Dios te está dando, no imiten los caminos repugnantes de esas naciones.
Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
10 Que no se vea entre ustedes a nadie que haga que su hijo o su hija atraviesen el fuego, ni a nadie que practique la adivinación, ni pretenda predecir el futuro, ni a ningún hechicero.
Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
11 O cualquier persona que practique encantamientos, o haga preguntas a un espíritu, adivinos, o vaya a los muertos para obtener instrucciones.
yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
12 Porque todos los que hacen tales cosas son repugnantes para el Señor; y debido a estas cosas repugnantes, el Señor tu Dios supremo los expulsará de delante de ti.
Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
13 Debes ser sincero de corazón ante el Señor tu Dios.
Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
14 Porque estas naciones, cuya tierra estás tomando, prestan atención a los lectores del futuro a aquellos que usan las artes mágicas; pero el Señor tu Dios supremo no les ha permitido hacerlo.
Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
15 El Señor Tu Dios les dará un profeta de entre tu pueblo, como yo; y le obedecerán;
Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
16 Respondiendo a la petición que hiciste al Señor tu Dios en Horeb el día de la gran reunión, cuando dijiste: No dejes que la voz del Señor mi Dios vuelva a mis oídos, y no me dejes ver este gran fuego nunca más, o la muerte me alcanzará.
Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
17 Entonces el Señor me dijo: Bien han hablado lo que han dicho.
Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
18 Les daré un profeta de entre ellos, como tú, y pondré mis palabras en su boca, y él les dirá lo que yo le ordene que diga.
Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
19 Y el que no oiga mis palabras que dirá en mi nombre, será responsable ante mí.
Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
20 Pero el profeta que se encarga de decir palabras en mi nombre que no le he dado órdenes de decir, o que dice algo en nombre de otros dioses, llegará a su muerte.
Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
21 Y si dicen en sus corazones, ¿Cómo podemos estar seguros de que la palabra no viene del Señor?
Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
22 Cuando un profeta hace una declaración en el nombre del Señor, si lo que dice no tiene lugar y sus palabras no se hacen realidad, entonces su palabra no es la palabra del Señor; las palabras del profeta fueron dichas en el orgullo de su corazón, y no deben temerle.
Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.