< 2 Juan 1 >
1 Yo, un anciano en la iglesia, a la hermana que es escogida de Dios, y a sus hijos, por quienes tengo amor verdadero; y no solo yo, sino todos los que conocen la verdad;
Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
2 Debido a este conocimiento verdadero que está en nosotros, y estará con nosotros para siempre: (aiōn )
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn )
3 Que la gracia, la misericordia y la paz sean con ustedes de parte de Dios Padre, y de Jesucristo, el Hijo del Padre, en todo amor y verdad.
Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
4 Me alegró mucho ver a algunos de sus hijos viviendo conforme a la verdad, tal como nos ordenó el Padre.
Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
5 Y ahora, señora, esto que les escribo no es un nuevo mandamiento, Sino el que hemos tenido desde el principio, que nos amemos unos a otros.
Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
6 Y este es el amor, que andemos según sus mandamientos. Este es el mandamiento: que oyeron desde el principio, que ustedes anden en amor.
Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
7 Porque una cantidad de falsos maestros han salido al mundo, que no dan testimonio de que Jesucristo vino en la carne. Tal es un falso maestro y Anticristo.
Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
8 Tengan ustedes cuidado, para no perder el fruto de nuestro trabajo, sino que puedan obtener su recompensa completa.
Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
9 Cualquiera que continúe más allá de lo que Cristo enseñó y no obedezca las enseñanzas de Cristo, no tiene a Dios; el que obedece las enseñanzas, tiene al Padre y al Hijo.
Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
10 Si alguno viene a ti sin tener esta enseñanza, no lo lleves a tu casa ni le den la “bienvenida”
Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
11 porque el que le da la “bienvenida” tiene parte en sus malas obras.
Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
12 Teniendo mucho que decirte, no es mi propósito dejarlo todo con papel y tinta: pero espero ir a ti y conversar contigo cara a cara, para que tu alegría sea completa.
Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
13 Los hijos de tu hermana elegida de Dios, te envían saludos.
Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.