< 2 Corintios 2 >
1 Pero fue mi decisión, no hacerles otra visita que les causara tristeza.
Hivyo nilikusudia moyoni mwangu nisifanye ziara nyingine yenye kuwaumiza ninyi.
2 Porque si les doy tristeza, ¿quién me alegrará, sino el que se entristece por mí?
Kwa kuwa kama nikiwahuzunisha ninyi, ni nani aliyebaki wa kunifurahisha isipokuwa ninyi ambao nimewahuzunisha?
3 Y dije esto mismo en mi carta, para que cuando llegue no tenga tristezas de parte de aquellos de quien me debería regocijar; confiando en ustedes todos que mi gozo es él de todos ustedes.
Niliandika hivyo kama nilivyofanya, ili nikija nisihuzunishwe na wale watu ambao wangenifanya nifurahi. Nina uhakika na ninyi nyote, kwamba wote mngeshiriki furaha yangu.
4 Porque por la mucha aflicción y angustia del corazón y mucho llanto, les envié mi carta; no para causarles dolor, sino para que vean cuán grande es el amor que tengo hacia ustedes.
Kwa maana niliwaandikia kutokana na dhiki kubwa na kutaabika sana kwa moyo wangu tena kwa machozi mengi, shabaha yangu si ili niwasababishe mhuzunike bali kuwaonyesha kina cha upendo wangu kwenu.
5 Pero si alguien ha sido motivo de dolor, lo ha sido, no solo para mí, sino en cierta medida para todos ustedes (digo esto para no ser demasiado duro con ustedes).
Lakini ikiwa mtu yeyote amesababisha huzuni, kwa kiasi fulani hakunihuzunisha mimi kama vile alivyowahuzunisha ninyi nyote, ili nisiwe mkali kupita kiasi.
6 Que sea suficiente para que tal hombre haya pasado por el castigo que la iglesia le impuso;
Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.
7 De modo que ahora, por otro lado, deben de perdonarlo y consolarlo para que no sea consumido en tanta tristeza.
Basi sasa badala yake, inawapasa kumsamehe na kumfariji, ili asigubikwe na huzuni kupita kiasi.
8 Por lo cual les ruego que le confirmen su amor por él y lo restauren.
Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwa ajili yake.
9 Y por la misma razón les escribí una carta para estar seguro de que son obedientes en todas las cosas.
Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo.
10 Pero si le das perdón a alguien, yo hago lo mismo: porque si he dado perdón por algo, lo he hecho por ustedes en la persona de Cristo;
Kama ninyi mkimsamehe mtu yeyote, mimi pia nimemsamehe. Kile nilichosamehe, kama kulikuwa na kitu chochote cha kusamehe, nimekwisha kusamehe mbele ya Kristo kwa ajili yenu,
11 Para que Satanás no gane ventaja, porque no somos ignorantes de sus maquinaciones.
ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatuachi kuzijua hila zake.
12 Cuando vine a Troas en busca de las buenas nuevas de Cristo, y había una puerta abierta para mí en el Señor,
Basi nilipofika Troa kuhubiri Injili ya Kristo na kukuta kwamba Bwana alikuwa amenifungulia mlango,
13 No tuve descanso en mi espíritu porque Tito, mi hermano, no estaba allí; así que me alejé de ellos, y vino a Macedonia.
bado nilikuwa sina utulivu akilini mwangu kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito huko. Hivyo niliagana nao nikaenda Makedonia.
14 Pero gracias sea a Dios, él cual, nos lleva siempre en triunfo en Cristo, y por medio de nosotros da a conocer su mensaje, el cual se esparce por todas partes como un aroma agradable.
Lakini Mungu ashukuriwe, yeye ambaye siku zote hutufanya tuandamane kwa ushindi tukiwa ndani ya Kristo. Naye kupitia kwetu hueneza kila mahali harufu nzuri ya kumjua yeye.
15 Porque para Dios Somos un grato olor de Cristo en los que se salvan, y en los que van a la destrucción;
Kwa maana sisi kwa Mungu ni harufu nzuri ya manukato ya Kristo miongoni mwa wale wanaookolewa na kwa wale wanaopotea.
16 a estos perfume de muerte a muerte; para el otro un perfume de vida a vida. Y para estas cosas, ¿Y quién es suficiente para tales cosas?
Kwa wale wanaopotea, sisi ni harufu ya mauti iletayo mauti; lakini kwa wale wanaookolewa, sisi ni harufu nzuri iletayo uzima. Ni nani awezaye mambo hayo?
17 Porque no somos como el gran número que hace uso de la palabra de Dios con fines de lucro; al contrario, hablamos con sinceridad delante de Dios, como enviados suyos que somos y por nuestra unión con Cristo.
Tofauti na watu wengine wengi, sisi hatufanyi biashara na Neno la Mungu kwa ajili ya kupata faida. Kinyume chake, katika Kristo tunalisema Neno la Mungu kwa unyoofu, kama watu tuliotumwa kutoka kwa Mungu.