< 1 Crónicas 2 >

1 Estos son los hijos de Israel: Rubén, Simeón, Leví, Judá, Isacar y Zabulón;
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dan, José, Benjamín, Neftalí, Gad y Aser.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Los hijos de Judá: Er, Onán y Sela; estos tres eran sus hijos por Sua, la mujer cananea. Y Er, el hijo mayor de Judá, hizo lo malo ante los ojos del Señor; y le dio muerte.
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4 Y Tamar, su nuera dio a luz a Fares y Zera. Todos los hijos de Judá fueron cinco.
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Los hijos de Fares: Hezrón y Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 Y los hijos de Zera: Zimri y Etán y Heman y Calcol y Dara; cinco de ellos.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 Y los hijos de Carmi: Acán, el transgresor de Israel, que hizo lo malo al tomar lo que Dios había ordenado que se destruyera por completo.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 Y el hijo de Etán: Azarías.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Y los hijos de Hezrón, descendencia de su cuerpo: Jerameel, Ram y Quelubai.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 Y Ram fue el padre de Aminadab; y Aminadab fue el padre de Naasón, príncipe de los hijos de Judá;
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 Y Naason fue el padre de Salmón, y Salmón fue el padre de Booz.
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 Y Booz fue el padre de Obed, y Obed fue el padre de Isaí,
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 E Isaí fue el padre de Eliab, su hijo mayor; y Abinadab, el segundo; y Simea, el tercero;
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 Nethanel, el cuarto; Raddai, el quinto;
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 Ozem, el sexto; David, el séptimo;
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 Y sus hermanas fueron Sarvia y Abigail. Y Sarvia tuvo tres hijos: Abisai, Joab y Asael.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 Y Abigail era la madre de Amasa; y el padre de Amasa fue Jeter el ismaelita.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 Y Caleb, el hijo de Hezrón, tuvo hijos de su esposa Azuba, la hija de Jeriot; Y estos fueron sus hijos: Jeser, Sobab y Ardón.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 Y después de la muerte de Azuba, Caleb tomó por esposa a Efrata, que era la madre de Hur.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 Y Hur fue el padre de Uri; y Uri fue el padre de Bezaleel.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Y después de eso, Hezron se unió con la hija de Maquir, el padre de Galaad, a quien tomó como esposa cuando tenía sesenta años; Y ella tuvo a Segub.
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 Y Segub fue el padre de Jair, que tenía veintitrés ciudades en la tierra de Galaad.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 Y Gesur y Aram se apoderaron de los campamentos de Jair, también de Kenat y las aldeas, en total sesenta ciudades. Todos estos fueron los hijos de Maquir, el padre de Galaad.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 Y después de la muerte de Hezron, Caleb se unió con Efrata, la esposa de su padre Hezron, y ella dio a luz a su hijo Asur, el padre de Tecoa.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 Y los hijos de Jerameel, el hijo mayor de Hezron, fueron Ram, el mayor, Buna, Oren, Ozem y Ahías.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Y Jerameel tenía otra esposa, que se llamaba Atara: era la madre de Onam.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
27 Y los hijos de Ram, el hijo mayor de Jerameel, fueron Maaz, Jamin y Equer.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 Y los hijos de Onam fueron Samai y Jada; y los hijos de Samai: Nadab y Abisur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 Y el nombre de la mujer de Abisur fue Abihail; y fue madre de Ahban y Molid.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 Y los hijos de Nadab: Seled y Apaim; pero Seled llegó a su fin sin hijos.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 Y los hijos de Apaim: Isi. Y los hijos de Isi: Sesan. Y Sesan fue padre de Alai.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 Y los hijos de Jada, el hermano de Samai: Jeter y Jonatán; y Jeter llegó a su fin sin hijos.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 Y los hijos de Jonatán: Pelet y Zaza. Estos fueron los hijos de Jerameel.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 Ahora bien, Sesan no tenía hijos, sino sólo hijas. Y Sesan tenía un sirviente egipcio, cuyo nombre era Jarha.
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 Y Sesan dio a su hija a Jarha, su sirviente, como esposa; y ella tuvo a Atai por él.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 Y Atai fue el padre de Natán, y Natán fue el padre de Zabad.
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
37 Y Zabad fue el padre de Eflal, y Eflal fue el padre de Obed,
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
38 Y Obed fue el padre de Jehú, y Jehú fue el padre de Azarías.
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
39 Y Azarías fue el padre de Helez, y Helez fue el padre de Eleasa.
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
40 Y Eleasa fue el padre de Sismai, y Sismai fue el padre de Salum,
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
41 Y Salum fue el padre de Jecamias, y Jecamias fue el padre de Elisama.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Y los hijos de Caleb, el hermano de Jerameel, fueron Mesa, su hijo mayor, que fue el padre de Zif; y Maresa, él segundo, que fue él padre de Hebrón.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 Y los hijos de Hebrón: Coré y Tapua, Requem y Sema.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 Y Sema fue el padre de Raham, el padre de Jorcoam, y Requem fue el padre de Samai.
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 Y el hijo de Samai fue Maón; y Maón fue el padre de Bet-sur.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 Efa, concubina de Caleb, dio a luz a Harán, Moza y Gazez; y Harán fue el padre de Gazez.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 Y los hijos de Jahdai: Regem, Jotam, Gesan, Pelet, Efa y Saaf.
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Maaca, la concubina de Caleb, era la madre de Sever y Tirhana,
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 Y Saaf, el padre de Madmana, y de Seva, el padre de Macbena y padre de Gibea; y la hija de Caleb era Acsa. Estos fueron los hijos de Caleb.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Los hijos de Hur, el hijo mayor de Efrata. Sobal, el padre de Quiriat-jearim,
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 Salma, el padre de Belén, Haref, el padre de Bet-gader.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 Y Sobal, el padre de Quiriat-jearim, tuvo hijos: Reaia, la mitad de los manahetitas.
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 Y las familias de Quiriat-jearim: los itritas, futitas, sumatitas, misraitas; de ellos vinieron los zoratitas y los estaolitas.
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Los hijos de Salma: Belén y los Netofatitas, Atrot-bet-Joab y la otra mitad de los Manahetitas, los Zoraitas.
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 Y las familias de los escribas que vivían en Jabes: los tirateos, los simeateos, los sucateos. Estos son los quenitas, la descendencia de Hamat, el padre de la familia de Recab.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Crónicas 2 >