< Job 37 >

1 A esto también se espanta mi corazón, y salta de su lugar.
“Kwa hili moyo wangu unatetemeka, nao unaruka kutoka mahali pake.
2 Oíd atentamente su voz terrible, y la palabra que sale de su boca.
Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake, sauti ya ngurumo itokayo kinywani mwake.
3 Debajo de todos los cielos lo enderezará, y su luz se extenderá hasta los fines de la tierra.
Huuachilia umeme wake wa radi chini ya mbingu yote na kuupeleka hata miisho ya dunia.
4 Tras de él bramará el sonido, tronará su valiente voz, y aunque sea oída su voz, no los detiene.
Baada ya hayo huja sauti ya ngurumo yake; Mungu hunguruma kwa sauti yake ya fahari. Wakati sauti yake ingurumapo tena, huuachilia umeme wake wa radi.
5 Tronará Dios maravillosamente con su voz; él hace grandes cosas, y nosotros no lo entendemos.
Sauti ya Mungu hunguruma kwa namna za ajabu; yeye hutenda mambo makuu kupita ufahamu wetu.
6 Porque a la nieve dice: Sé en la tierra; lluvia tras lluvia, y lluvia tras lluvia en su fortaleza.
Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya dunia,’ nayo manyunyu ya mvua, ‘Uwe mvua ya nguvu.’
7 Con la vehemencia de la lluvia encierra a todo hombre; para que todos los hombres conozcan su voz.
Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake, yeye humzuilia kila mtu shughuli zake.
8 La bestia se entrará en su escondrijo, y habitará en sus moradas.
Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao.
9 Del mediodía viene el torbellino, y de los vientos del norte el frío.
Dhoruba hutoka katika chumba chake, baridi hutoka katika upepo uendao kasi.
10 Por el soplo de Dios se da el hielo, y las anchas aguas son constreñidas.
Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda.
11 Además de esto con la claridad fatiga las nubes, y las esparce con su luz.
Huyasheheneza mawingu kwa maji, naye husambaza umeme wake wa radi kupitia hayo.
12 Y ellas se revuelven en derredor por sus designios, para hacer sobre la faz del mundo, en la tierra, lo que él les mandó.
Nayo mawingu huzungukazunguka pande zote kwa amri yake, juu ya uso wa dunia yote, kufanya lolote ayaamuruyo.
13 Unas veces por azote, otras por causa de su tierra, otras por misericordia las hará aparecer.
Huleta mawingu ili kuadhibu wanadamu, au kuinyeshea dunia yake na kuonyesha upendo wake.
14 Escucha esto, Job: Repósate, y considera las maravillas de Dios.
“Ayubu, sikiliza hili; nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.
15 ¿Supiste tú por ventura, cuando Dios las ponía en concierto, y hacía levantar la luz de su nube?
Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza mawingu, na kufanya umeme wake wa radi utoe mwanga?
16 ¿Has conocido tú por ventura las diferencias de las nubes, las maravillas del Perfecto en sabiduría?
Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia, hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?
17 ¿Y eran calientes tus vestidos cuando él daba el reposo a la tierra del mediodía?
Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako wakati nchi imenyamazishwa kimya bila upepo wa kusini,
18 ¿Extendiste tú por ventura con él los cielos firmes como un espejo firme?
je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza anga, zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya kuyeyushwa?
19 Muéstranos, qué le hemos de decir; para que no hablemos disparates.
“Tuambieni yatupasayo kumwambia; hatuwezi kutayarisha shauri letu kwa sababu ya ujinga wetu.
20 ¿Por ventura cuando yo hablare le será contado? ¿Cuando alguno se anegare le será dicho?
Je, aambiwe kwamba nataka kuongea? Je, yuko mtu ambaye angeomba kumezwa?
21 También alguna vez no se ve la luz clara en los cielos, y pasa un viento y los limpia.
Basi hakuna awezaye kulitazama jua, jinsi linavyongʼaa angani, upepo ukishafagia mawingu.
22 De la parte del norte vendrá la serenidad por el Dios terrible de alabanza.
Kutoka kaskazini yeye huja na fahari kuu; Mungu huja katika utukufu wa kutisha.
23 El es Todopoderoso, al cual no alcanzamos; grande en potencia, y en juicio, y en multitud de justicia no aflige.
Yeye Mwenyezi hatuwezi kumfikia, naye ametukuzwa katika uweza; katika hukumu zake na haki yake kuu, hataonea.
24 Por tanto los hombres lo temerán; todos los sabios de corazón no lo verán.
Kwa hiyo, wanadamu mheshimuni, kwa kuwa yeye hamstahi yeyote anayejidhania kuwa ana hekima.”

< Job 37 >