< 1 Crónicas 1 >

1 Adán, Set, Enós,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Cainán, Mahalaleel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoc, Matusalén, Lamec,
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Noé, Sem, Cam, y Jafet.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Los hijos de Jafet: Gomer, Magog, Madai, Javán, Tubal, Mesec, y Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Los hijos de Gomer: Askenaz, Rifat, y Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Los hijos de Javán: Elisa, Tarsis, Quitim, y Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Los hijos de Cam: Cus, Mizraim, Fut, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Los hijos de Cus: Seba, Havila, Sabta, Raama, y Sabteca. Y los hijos de Raama: Seba y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Cus engendró a Nimrod; éste comenzó a ser poderoso en la tierra.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Mizraim engendró a Ludim, Anamim, Lehabim, Naftuhim,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Patrusim y Casluhim; de éstos salieron los filisteos, y los caftoreos.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Canaán engendró a Sidón, su primogénito;
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 y al heteo, y al jebuseo, y al amorreo, y al gergeseo;
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 y al heveo, y al araceo, y al sineo;
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 al arvadeo, y al zemareo, y al hamateo.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud, Aram, Uz, Hul, Geter, y Mesec.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arfaxad engendró a Sela, y Sela engendró a Heber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Y a Heber nacieron dos hijos; el nombre del uno fue Peleg, por cuanto en sus días fue dividida la tierra; y el nombre de su hermano fue Joctán.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Y Joctán engendró a Almodad, Selef, Hazarmavet, Jera,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Adoram, Uzal, Dicla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Havila, y Jobab: todos hijos de Joctán.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Sem, Arfaxad, Sela,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Heber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nacor, Taré,
Serugi, Nahori, Tera,
27 y Abram, el cual es Abraham.
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Y estas son sus descendencias: el primogénito de Ismael, Nebaiot; después Cedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Misma, Duma, Massa, Hadad, Tema, Jetur, Nafis, y Cedema. Estos son los hijos de Ismael.
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Y Cetura, concubina de Abraham, dio a luz a Zimram, Jocsán, Medán, Madián, Isbac, y a Súa.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Los hijos de Jocsán: Seba y Dedán.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Los hijos de Madián: Efa, Efer, Hanoc, Abida, y Elda; todos estos fueron hijos de Cetura.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Y Abraham engendró a Isaac; y los hijos de Isaac fueron Esaú e Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jaalam, y Coré.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Los hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefo, Gatam, Cenaz, Timna, y Amalec.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Los hijos de Reuel: Nahat, Zera, Sama, y Miza.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Los hijos de Seir: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer, y Disán.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Los hijos de Lotán: Hori, y Homam; y Timna fue hermana de Lotán.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Los hijos de Sobal: Alván, Manahat, Ebal, Sefo y Onam. Los hijos de Zibeón: Aja, y Aná.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Disón fue hijo de Aná. Los hijos de Disón: Amram, Esbán, Itrán y Querán.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Los hijos de Ezer: Bilhán, Zaaván, y Jaacán. Los hijos de Disán: Uz y Arán.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Y estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes que reinase rey sobre los hijos de Israel. Bela, hijo de Beor; y el nombre de su ciudad fue Dinaba.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Y muerto Bela, reinó en su lugar Jobab, hijo de Zera, de Bosra.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Y muerto Jobab reinó en su lugar Husam, de la tierra de los temanitas.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Muerto Husam, reinó en su lugar Hadad, hijo de Bedad, el cual hirió a Madián en la campaña de Moab; y el nombre de su ciudad fue Avit.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Muerto Adad, reinó en su lugar Samla, de Masreca.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Muerto también Samla, reinó en su lugar Saúl de Rehobot, que está junto al río.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Y muerto Saúl, reinó en su lugar Baal-hanán, hijo de Acbor.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Y muerto Baal-hanán, reinó en su lugar Hadad. El nombre de su ciudad fue Pai; y el nombre de su mujer Mehetabel, hija de Matred, y ésta hija de Mezaab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Muerto Hadad, sucedieron los duques en Edom; el duque Timna, el duque Alva, el duque Jetet,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 el duque Aholibama, el duque Ela, el duque Pinón,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 el duque Cenaz, el duque Temán, el duque Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 el duque Magdiel, y el duque Iram. Estos fueron los duques de Edom.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Crónicas 1 >