< Salmos 150 >

1 Aleluya. ALABAD á Dios en su santuario: alabadle en la extensión de su fortaleza.
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Alabadle por sus proezas: alabadle conforme á la muchedumbre de su grandeza.
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Alabadle á son de bocina: alabadle con salterio y arpa.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Alabadle con adufe y flauta: alabadle con cuerdas y órgano.
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Alabadle con címbalos resonantes: alabadle con címbalos de júbilo.
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Todo lo que respira alabe á JAH. Aleluya.
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< Salmos 150 >