< Salmos 115 >

1 NO á nosotros, oh Jehová, no á nosotros, sino á tu nombre da gloria; por tu misericordia, por tu verdad.
Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
2 Por qué dirán las gentes: ¿Dónde está ahora su Dios?
Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
3 Y nuestro Dios está en los cielos: todo lo que quiso ha hecho.
Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
4 Sus ídolos son plata y oro, obra de manos de hombres.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
5 Tienen boca, mas no hablarán; tienen ojos, mas no verán;
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
6 Orejas tienen, mas no oirán; tienen narices, mas no olerán;
zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
7 Manos tienen, mas no palparán; tienen pies, mas no andarán; no hablarán con su garganta.
Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
8 Como ellos son los que los hacen; cualquiera que en ellos confía.
Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
9 Oh Israel, confía en Jehová: él es su ayuda y su escudo.
Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
10 Casa de Aarón, confiad en Jehová: él es su ayuda y su escudo.
Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
11 Los que teméis á Jehová, confiad en Jehová: él es su ayuda y su escudo.
Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
12 Jehová se acordó de nosotros: nos bendecirá: bendecirá á la casa de Israel; bendecirá á la casa de Aarón.
Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
13 Bendecirá á los que temen á Jehová; á chicos y á grandes.
Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
14 Acrecentará Jehová [bendición] sobre vosotros; sobre vosotros y sobre vuestros hijos.
Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
15 Benditos vosotros de Jehová, que hizo los cielos y la tierra.
Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
16 Los cielos son los cielos de Jehová: y ha dado la tierra á los hijos de los hombres.
Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
17 No alabarán los muertos á JAH, ni cuantos descienden al silencio;
Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
18 Mas nosotros bendeciremos á JAH, desde ahora para siempre. Aleluya.
bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.

< Salmos 115 >