< Salmos 80 >

1 O! Pastor de Israel, escucha: tú que pastoreas, como a ovejas, a José: tú que estás entre los querubines, resplandece.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
2 Despierta tu valentía delante de Efraím, y de Ben-jamín, y de Manasés: y ven a salvarnos.
mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
3 O! Dios, háznos tornar: y haz resplandecer tu rostro, y seremos salvos.
Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
4 Jehová Dios de los ejércitos, ¿hasta cuándo te airarás contra la oración de tu pueblo?
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
5 Dísteles a comer pan de lágrimas: y dísteles a beber lágrimas con medida.
Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
6 Pusístenos por contienda a nuestros vecinos: y nuestros enemigos se burlan de nosotros entre sí.
Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
7 O! Dios de los ejércitos, háznos tornar: y haz resplandecer tu rostro, y seremos salvos.
Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
8 Hiciste venir la vid de Egipto: echaste a los Gentiles, y la plantaste.
Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
9 Limpiaste el lugar delante de ella: e hiciste arraigar sus raíces, e hinchió la tierra.
Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
10 Los montes fueron cubiertos de su sombra: y sus ramas como cedros de Dios.
Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
11 Enviaste o! Señor, sus ramas hasta la mar: y hasta el río sus mugrones.
Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
12 ¿Por qué aportillaste sus vallados, y la cogieron todos los que pasaron por el camino?
Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
13 Destruyóla el puerco montés, y la pació la bestia del campo.
Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
14 O! Dios de los ejércitos, vuelve ahora: mira desde el cielo, y vé, y visita esta vid.
Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
15 Y la planta que tu diestra plantó: y sobre el mugrón que tú corroboraste para ti.
mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
16 Quemada a fuego está, y talada: perezcan por la reprensión de tu rostro.
Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.
17 Sea tu mano sobre el varón de tu diestra: sobre el hijo del hombre que tú corroboraste para ti.
Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
18 Y no nos tornaremos de ti: darnos has vida, e invocaremos tu nombre.
Ndipo hatutakuacha tena, utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
19 O! Jehová, Dios de los ejércitos, háznos tornar, haz resplandecer tu rostro, y seremos salvos.
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.

< Salmos 80 >