< Salmos 20 >
1 Oígate, Jehová, en el día de la angustia: ensálcete el nombre del Dios de Jacob.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Envíete ayuda desde el santuario, y desde Sión te sustente.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Tenga memoria de todos tus presentes, y encenice tu holocausto. (Selah)
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Déte conforme a tu corazón, y cumpla todo tu consejo.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Alegrarnos hemos con tu salud, y en el nombre de nuestro Dios alzarémos pendón: cumpla Jehová todas tus peticiones.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Ahora he conocido que Jehová ha guardado a su ungido: oírle ha desde los cielos de su santidad con las valentías de la salud de su diestra.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Estos en carros, y aquellos en caballos confían: mas nosotros del nombre de Jehová nuestro Dios tendremos memoria.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Estos arrodillaron, y cayeron: mas nosotros nos levantamos, y nos enhestamos.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Jehová, salva: que el rey nos oiga el día que le invocáremos.
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.