< Salmos 108 >
1 Mi corazón está aparejado, o! Dios, cantaré y diré salmos, también mi alma.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Despiértate salterio y arpa: yo despertaré al alba.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Alabarte he en pueblos, o! Jehová; cantaré salmos a ti entre las naciones.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 Porque grande más que los cielos es tu misericordia, y hasta los cielos tu verdad.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Ensálzate sobre los cielos, o! Dios: sobre toda la tierra sea ensalzada tu gloria.
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Para que sean librados tus amados: salva con tu diestra, y respóndeme.
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Dios habló por su santuario: Yo me alegraré: repartiré a Siquem, y mediré el valle de Socot.
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 Mío será Galaad, mío será Manasés; y Efraím será la fortaleza de mi cabeza: Judá será mi legislador;
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moab, la olla de mi lavatorio: sobre Edom echaré mi zapato: sobre Palestina me regocijaré.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 ¿Quién me guiará a la ciudad fortalecida? ¿quién me guiará hasta Idumea?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Ciertamente tú, o! Dios, que nos habías desechado; y no salías o! Dios, con nuestros ejércitos.
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Dános socorro en la angustia; porque mentirosa es la salud del hombre.
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 En Dios haremos ejército; y él rehollará a nuestros enemigos.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.